..Utakuwa umekosea.Hii inanifanya niamini sasa hata taarifa za kuugua na kifo cha Magufuli huenda Lissu alipewa na wasaidizi wa mama Samia?
Mataga bana,shujaa wa Africa.LolHata mimi nimeshangaa sana kuona taarifa nyeti kama hizo ambazo zinamhusu Mkuu wa Nchi zinazagaa mitaani?
Bila shaka kuna umuhimu wa kufanya uchunguzi ili kuona ni nani anahusika zaidi na utoaji wa siri.
Hapo inahitaji akili sana kubaini watu wanaovujisha siri.
Tunaweza tukadhani tumefichama kumbe tupo eneo la wazi kabisa kiasi kwamba kila mtu anatuona. Hii ni hatari sana.
Mwisho, Namshukuru Mungu mwenye nguvu kwa kutuletea CHUMA, SHUJAA, MSHINDI, MZALENDO WA AFRIKA, JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
Ametufundisha mengi, mengi, mengi sana. Kwa pamoja tukiyafuata na kuyaishi kwa vitendo, tutashinda.
JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, uliombee Taifa hili liweze kushinda mitihani yote. Amina.
Clip hiyo ilihusu nn Mkuu? Ikikupendeza naomba unijuze,nilipitwa...Utakuwa umekosea.
..Waliovujisha clip ya Mama Samia na Lissu akiwa Nairobi Hospital walifanya vile kwa nia mbaya.
..Wale hawakutumwa na Mama Samia, na vilevile hawakuwa na ridhaa ya Lissu.
..Lile lilikuwa tukio la baya na la kihuni kufanywa na watendaji wa Ikulu na naamini lilimuumiza hata Mama Samia.
..Mama Samia alikuwa amekwenda Nairobi kuhudhuria kuapishwa kwa Raisi Uhuru Kenyatta.Clip hiyo ilihusu nn Mkuu? Ikikupendeza naomba unijuze,nilipitwa.
TISS siku hizi wanatambukishwa majukwaa ya siasa .ni Nina SanaHakika,hii ni taasisi nyeti sana,inahitaji watu makini.Zamani hawa jamaa tulikuwa tunaishi nao mitaani miaka kumi lakin huwezi jua ni mtu wa TIS,lakin hawa wa siku hizi aaah tunawajua kabisa na ndio wanaotoa taarifa za ndani za Serikali. Kwa vyovyote vile ukiona taarifa za ndani za ikulu zinasambaa ujue hatuko salama.
Mmmmhhh!..Utakuwa umekosea.
..Waliovujisha clip ya Mama Samia na Lissu akiwa Nairobi Hospital walifanya vile kwa nia mbaya.
..Wale hawakutumwa na Mama Samia, na vilevile hawakuwa na ridhaa ya Lissu.
..Lile lilikuwa tukio la baya na la kihuni kufanywa na watendaji wa Ikulu na naamini lilimuumiza hata Mama Samia.
Sasa kwani Mimi nimeàndikaje KADA?acha kutupotosha mh. ni TISS ambayo unamaana ya TANZANIA INTELLIGENCE and SECURITY SERVICE
siku nyingine kua making kabla ujakosoa maana utakosololewa wewe mwenyewe tena vibaya mno
Nashauri serikali badala ya kutunga Sheria kali za mitandao ijikite kuzalisha manguli wa tecnolojia waweze kupambana na Changamoto za kitecnolojia.
Tulionya kwamba wale UVCCM duni mnaowajaza TISS iko siku watawafanyizia lakini mkatupuuza , nadhani sasa mmeanza kutuelewa
Unamkosoa au unajikosoa?Mkuu ni TISS sio TIS.
Mtanzania wa kweli na mwenye uchungu na Tz hawezi kumkumbuka huyu mtu;Mwamba ameongelea ethics za TIS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TIS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TIS na huku ni mwana CCM . Awe ccm kwa kazi maalumu tuu. Lkn cyo kuwa kindakindaki . Tunaitaji kuwa na Strong institution na cyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba Jpm! UlichokifanyaTz! kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya jpm! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.
Mungu awajaalie Vigogo 14 woote kwa unyetishaji wao uliotukuka
Hii ni kweli hiyo video nimeiona nikajiuliza huyu mtu aliwezaje ku record video ya rais akiwa kwenye jeneza? Nikawaza au aliweka simu kwenye mfuko wa shatiakageuza camera ikarecord?Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.
TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.
Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.
Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Marekani kudukuliwa na Urusi sawa
Sasa hawa Tiss pale taifa wamezidiwa kete na akina Shomari wa tTemeke Mikoroshini
Ameedit,, aliandika TIS.Unamkosoa au unajikosoa?
Hata wazazi wanaanza kumtangaza mtoto wao kabla ya hata taratibu za ajira kukamilikaMzazi alikuwa hawezi kujua kazi ya mwanaye, ndugu wengine na majirani ndiyo kabisaa.
Lakini leo hii wanatamani wajulikane hata kwa wasiotaka kuwajua.
Imefika hatua hata wajinga tu kwa kutumia mwamvuli wa ukada na walioaminiwa wanajiona nao ni watu wa vitengo.
Shida sana hii.
Sorry, kama hutojali naomba unirushie Pm au hata unitumie link pmHii ni kweli hiyo video nimeiona nikajiuliza huyu mtu aliwezaje ku record video ya rais akiwa kwenye jeneza? Nikawaza au aliweka simu kwenye mfuko wa shatiakageuza camera ikarecord?
Nikakumbuka movie moja ya kokorea video inarecodiwa kupitia miwani miwani dah.