Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yote ni upambe nuksi ila hilo namba 2 linastaajabisha na kushangaza!So kuhusu hayo 11 they are OK sio,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote ni upambe nuksi ila hilo namba 2 linastaajabisha na kushangaza!So kuhusu hayo 11 they are OK sio,
Niende TRA ili iweje kama document zipo wekeni hapa. Mna kazi ya kusifia ungese tuNenda TRA watamaliza mashaka yako
Unaweza kuta lijamaa limekaa geto linajitungia takwimu na kubandika tu.Hebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?
Eeh maana hio trillion 19 anaiongelea kizembe sanaUnaweza kuta lijamaa limekaa geto linajitungia takwimu na kubandika tu.
5 trilion to 7 trilion mwezi August to September, 700 billion to 959 billion from April to may, mapato yamepanda kutoka fedha za kigeni billion 109 to billion 399 kwa wiki....
Mradi tu kapachika namba! Aisee ni changamoto sana.
🤣👍Hebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?
Weka authenticated documents za wahasibu wa serikali tuone kama unabwabwaja tu ama umetumwa kumwaga mapambio uchwara!Nenda TRA watamaliza mashaka yako
Mbona imesahau mfumuko wa bei wa karne ambao haujawahi kushuhudiwa tangu tupate uhuru.Umesahau,
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia...
Kupatikana kina Hamza ndani ya ccm.Nitaendelea
PumbafNimekusamehe
Nyumbani kwenuSamia mbele Kwa mbele
Kila mwenye nguvuHatimaye Tanzania yarudi enzi kuwa shamba la bibi!.
Anatuona mandezi sana humu ndani! Magufuli pamoja na kubana na kufurukuta hakuwahi fikisha 3 trillion kwa mwezi!Weka authenticated documents za wahasibu wa serikali tuone kama unabwabwaja tu ama umetumwa kumwaga mapambio uchwara!
Acha ulevi bwana mdogo. Usiwafanye watu mazuzu humu.
Hiyo ndiyo kazi yake hivyo hana optionTungekuwa tunakopa na kutegemea mikopo kwa makusanyo haya?
Acha uchawa usiotumia akili.
Ni nchi ya kwanza duniani professor kaokotwa majalalani.Hii nchi ya ajabu sana aliesoma na ambae hakusoma wanafanana
Wacha kujichosha kwa hizi post za vichaa wa lumumba mkuuHebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?