Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Tanzania huenda ikatuchukua karne nzima kumpata Rais Samia mwingine

Weka authenticated documents za wahasibu wa serikali tuone kama unabwabwaja tu ama umetumwa kumwaga mapambio uchwara!

Acha ulevi bwana mdogo. Usiwafanye watu mazuzu humu.
Huenda jamaa analipwa kwa hizi propaganda anazomwaga humu......jaribu kufuatilia hata nyuzi zake za nyuma utagundua hilo.
 
Kiukweli Tanzania iko salama mikononi mwa Rais SSH hasahasa;
1. Hakuna kikundi cha wasiojulikana kilichokuwa kinateka na kuua

2. Hakuna matusi kwenye majukwaa kama yule dikteta alivyokuwa anasema "Baki na mavi yako"

3. Hakuna task force ya TRA iliyokuwa inanyang'anya wafanyabiashara fedha zao

4. Hakuna TAKUKURU iliyokuwa inabambikiza watu makesi ya uwongo

5. Hakuna matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama kujenga Airport Kijijini Chato

6. Hakuna matakwimu ya uwongo kama vile kukua kwa uchumi by 7.8% wakati ukweli ni 4.2%

7. Hakuna uwongo wa kusema tunajenga kwa fedha zetu wakati tunakopa kwenye mabenki ya kimataifa
 
Hebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?

Screenshot_20211126-062756.png
 
Full idiot at his peak level...

Wapuuzi Kama nyie laana haiwezi kuwaacha salama kwa ujinga ujinga wenu huu..

Heti kakusanya 17T/month, hivi unaijua vizuri trillion 17.
Upuuzi na ujinga wako huu peleka huko Facebook kwa vilaza wenzio siyo hapa jf.
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya,


1. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32,

2. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote,

3. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda,

4. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL ,

5. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021,

6. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo,

7. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani,

8. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia,

9. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo,

10. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne ( 4 )

11. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi,

12. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa,


Nitaendelea na tafakuri yangu

View attachment 2023684
kwani amesafiri? amejiuzuru? amelazimishwa kujiuzuru? au kuna nini? au nia yako useme kuwa ''ITACHUKUA MUDA KUMPATA MAGUFULI MWINGINE" ama kweli nimeanini UJINGA NI MZIGO kama tu ZIGO LA MAVI....
 
Kiukweli Tanzania iko salama mikononi mwa Rais SSH hasahasa;
1. Hakuna kikundi cha wasiojulikana kilichokuwa kinateka na kuua

2. Hakuna matusi kwenye majukwaa kama yule dikteta alivyokuwa anasema "Baki na mavi yako"

3. Hakuna task force ya TRA iliyokuwa inanyang'anya wafanyabiashara fedha zao

4. Hakuna TAKUKURU iliyokuwa inabambikiza watu makesi ya uwongo

5. Hakuna matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama kujenga Airport Kijijini Chato

6. Hakuna matakwimu ya uwongo kama vile kukua kwa uchumi by 7.8% wakati ukweli ni 4.2%

7. Hakuna uwongo wa kusema tunajenga kwa fedha zetu wakati tunakopa kwenye mabenki ya kimataifa
Si Bora ya magufuli, tulikuwa na umeme, maji, vifaa vya ujenzi kwa Bei Chee, mfumuko wa Bei ulikuwa hakuna, sasa HUYU SSH dah tunalia sisi wafanyabiashara mzunguko wa pesa hakuna, mauzo hakuna, umeme wa mgao, maji ya mgao, vifaa vya ujenzi Bei juuuuu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya,


1. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32,

2. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote,

3. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda,

4. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL ,

5. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021,

6. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo,

7. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani,

8. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia,

9. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo,

10. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne ( 4 )

11. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi,

12. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa,


Nitaendelea na tafakuri yangu

View attachment 2023684
Mmeanza tena 🤣🤣🤣!!!
 
Kama Taifa hebu tutafakari haya,


1. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32,

2. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote,

3. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda,

4. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL ,

5. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021,

6. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo,

7. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani,

8. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia,

9. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo,

10. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne ( 4 )

11. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi,

12. Nilini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa,


Nitaendelea na tafakuri yangu

View attachment 2023684



nakumbuka kwa jiwe.. kulikuwa na shairi kama hili.. au ndo hili watu wame edit tu.. ila wabongo wazuri sana wa kutoa sifa na kuabudu
 
Back
Top Bottom