Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yana mpotosha bibi ushungi anajiona yeye ndiyo kila kitu Tz kumbe ni hovyo kabisa hajui hata anafanya nini?Mkuu Kuna majamaa ya hovyo sana ndani ya hii nchi.
Yamejaza makamasi tu kwenye mafuvu yao.
Walisema hakuna kama JPM kafa leo hawana time nayeCHAWA na U-turns zenu kwa raha zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi ya ajabu sana aliesoma na ambae hakusoma wanafanana
kwa hiki ulichoandika rasmi we ni kituko cha taifaUmesahau,
Uhuru wa mahakama,
Demokrasia,
Uhuru wa kujieleza,
Ujenzi wa LNG
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote- JAMANI, KUMBE TUNAKUSANYA TRIL 17 KWA MWEZI, KWA HIYO KWA MWAKA TRILION 204. BAJETI YA SERIKALI NI TRILION 29Kama Taifa hebu tutafakari haya:
1. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32.
2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote.
3. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda.
4. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL.
5. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021.
6. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.
7. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani.
8. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia.
9. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo.
10. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne (4).
11. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi.
12. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa.
Nitaendelea na tafakuri yangu
CCM bana, hivi si ni nyie hawa hwa mlitaka Mwendazake apewe muda mwingine wa kutawala ATAKE ASITAKE, leo mshamgeukia maza. ha ha haKama Taifa hebu tutafakari haya:
1. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayeongeza kwa mkupuo wanafunzi wapya elfu 29 kwenye HESLB simnakumbuka mtangulizi wake yeye ilimchukua miaka mitano kufikisha wanafunzi wapya 32.
2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote.
3. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine anayewahurumia na kuwarejesha shuleni watoto wa masikini waliopata mimba wakiwa shuleni kwa kurubuniwa kwa chips na bodaboda.
4. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekuza uwekezaji wa nje FDIs mara sita zaidi kwa miezi sita tu yaani kutoka $510M hadi $3BL.
5. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine kwa miezi saba tu ataongeza hifadhi yetu ya fedha za kigeni kwa TZS 4.4Trilion yaani kutoka $4.8BL mwezi March hadi $6.7BL mwezi September 2021.
6. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua ambulance 395 na magari 214 kwaajili ya chanjo wakati mtangulizi wake kwa miaka mitano alinunua ambulance 117 tu bila magari ya chanjo.
7. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayenunua CT SCAN kila mkoa mtakumbuka tangu uhuru zilikuwepo CT SCAN mbili tu bara na visiwani.
8. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetununulia MRI kwenye kila hospitali ya kanda nchi nzima sina historia kama tulikuwa na MRI yeyote kabla ya hizi mpya za mama Samia.
9. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakaye nunua "Water drilling holes machines " 25 toka mashine moja ya Halmashauri ya Tarime tuliyokuwa nayo,Rais anakwenda kumaliza shida ya maji kwa vitendo.
10. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayetujengea madarasa elfu 15 ya sekondari na mengine elfu 3 ya shule shikizi, Sawa na wastani wa kila shule moja ya sekondari ya serikali madarasa mapya manne (4).
11. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayewapanga wamachinga wetu kwenye Permanent Premises ili watambulike na kupewa mikopo na huduma zingine za kibiashara kama Semina na mafunzo kirahisi badala ya kuwatumia kama mtaji wa kisiasa na kuwaacha wakiogelea kwenye umasikini mwaka wa Uchaguzi hata mwaka wa Uchaguzi.
12. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayefuta wasiojulikana na walevi wa madaraka na kuwafanya watu waishi kwa Uhuru na kujiamini ndani ya nchi yao na kulifungua Taifa kimataifa.
Nitaendelea na tafakuri yangu
Mapambiombuzi ni dalili za kukaukiwa uwezo wa kufikiri na kujitafakari. Kwenye hili tunazidi kudidimia, waTz na hasa wasomi wetu wanatia aibu zaidi. Yaonekana kuna eneo tulifanya makosa makubwa/dhambi kama taifa. Tunahitaji maombi mazito ili tuweze kurudi na kupokelewa kwa Mungu. AMENMataga mmeanza sifa za kijinga kama za magufuli? Natumai mnajua mwisho wa huu ushabiki wa uvccm.
Ahahahahahahaja!!!Hebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?
😅 Ni gashol huyo mwehu2. Ni lini tena baada ya huyu tutampata Samia mwingine atakayekusanya kodi kwa wastani wa TZS 17.2 Trilioni kwa mwezi bila ya kukimbiza wafanyabiashara wala kuwadhulumu chochote- JAMANI, KUMBE TUNAKUSANYA TRIL 17 KWA MWEZI, KWA HIYO KWA MWAKA TRILION 204. BAJETI YA SERIKALI NI TRILION 29
Nguvu ya kuabudu na kusifia unapata wapi ikiwa nchi ipo kwenye mgao wa maji na umeme, huku mfumuko wa bei ya bidhaa ikiwa juu
Au kwasababu unalipwa kwa huu ujinga ndo unakuwa kipofu
Huyu jamaa atakuwa analipwa ndio maana kajitoa akili.Elimu yetu bado sana,inazalisha wajinga na wapumbavu.
Na sidhani ata kama 1.2 T inafikaHebu nipe uthibitisho wa hio point namba 2 with facts & figures kuwa ame arrive vipi katika hayo makusanyo?
😅😅😅😅😂😂 nataka ajiume ume nimpige na kitu kizito kichwani! Watu wanachukulia trillion 1 kitu cha mzaha mzahaNa sidhani ata kama 1.2 T inafika