Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mkoa wa Kilimanjaro ndio wenye vijiji vilivyo endelea zaidi, nyumba bora, umeme, maji hata kipato, sio maneno yangu bali ni takwimu za serikaliKutokana na utaratibu wa wachagga kutokuuza viwanja kama makabila mengine, maendeleo yamezorota maeneo mengi.
Ukibaki kijijini utaishia kuwa mlevi wa mbege