Tanzania ili tuendelee tujiunge na Marekani

Mbaka Sasa china na urusi ndio waneiboost Africa huyo marekani huwezi hata kufanya nae biashara kabla ya uchina kukua tumeishi maisha duni mno Mfano mchina anatuuzia vitu Kwa bei nafuuu mno vinatusaidia sana kwenye biashara viwanda kilimo. We angalia Mfano nimeshuhudia watu wakichana mbao Kwa msumeno wa mkono lakini mchina kaleta amec Sasa watu wanachana mbao nyingi sana Kwa hiVyo uzalishaji unakua. hata kwenye madini wabongo nao wanaweza kufungua migodi Kwa sababu mchina ana vifaa vya bei nafuu
 
Sijui unaongea nn ila numbers hazidanganyi isee dunia zima watu wanamiminika USA sasa km unayoyasema yapo basi si makubwa km yaliyopo kwenye nchi zetu hizi zinamatatizo zaidi kuliko huko USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…