Tanzania imetimiza hatua zote 4 kuwa nchi ya kidikteta

Leo tunanunua dola kwa 2330 tunazidi kupaa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakupigia makofi.
Tatizo la kina Zitto sababu wameona watanzania wengi wanatekwa kiurahisi na propaganda basi wamewekeza huko, wasichojua uongo una mipaka yake.

Hivi Kati ya Mbowe, Zitto na Maghufuli nani ni dikteta? Ukiwa kiongozi wa CCM ni dhahiri kuna ukomo, tena bila ubishi. Lakini jaribu kuhoji ukomo wa Mbowe au Zitto uoni cha moto!

Wnachojifanya kusahau ni kwamba Maghufuli ni chaguo la watanzania kupitia kura, ana ridhaa yetu kutuongoza. Akileta vya kuleta uchaguzi ujao tunamuondoa.

Lakini dalili za wazi zinaonyesha anatekeleza ahadi za uchaguzi. Ndiyo maana kwenye mikutano yake na wasomi wa Chuo kikuu, viongozi wa dini, wafanyabiashara, wadau wa madini inaonyesha hao wanamkubali. Sasa hilo wao wanaligeuza eti anazima sauti zao!

Mtu akionyesha kumkosoa Maghufuli wao wanaona ndiyo demokrasia!
 


Hata wewe ni kama Zito Kabwe much know lkn hakuna kitu mnajua, unafikiri Hitler ndiye mwanzilishi wa nazism? Au unafikiri aliyeuwa Wayahudi ni Hitler peke yake?
Nazism ni ideology ya white supremacy ambayo ilikuwepo kabla hata ya Hitler hajazaliwa, fascism ilianzia Italia hata Jengo la House of Representatives - USA, lina nembo ya fascism, nembo ambayo pia ilitumiwa na Mussolini na A.Hitler na hii ni kabla hata ya Hitler, unajua ni kwa nini?
 
Well said mkuu, lakini kabla ya kufika bungeni kuna mchakato ulifanyika. Nani alitoa wazo la mswada huo? Hata hivyo bunge likipitisha sio lazima Rais asaini. Hivyo, asisaini huo mswada ili kuonyesha tatizo ni bunge sio yeye!


Kwa nini unataka Raisi anayetokana na Chama cha CCM afanye kazi ya Upinzani? Labda pia nikuulize kwa nini Upinzani hawakuuzuia Bungeni usipite?
 
Sasa mkuu Zitto hebu tuongozeni, tunapaswa kufanya nini? Na hivi kuna dikteta asiyekuwa na military background aliyewahi kufanikiwa kweli?
 
Sasa ndo unasema nini? Kwani aliyesema huyu dikteta wa kihutu ataua watu peke yake ni nani, si ataua kwa kusaidiana na nyinyi wapuuzi wenzake mnaomsaidia kutunga hizi sheria za kipumbavu?
 
Hii nchi ni kichekesho cha kipekee, unaanzisha uzi kuhusu udikteta na unasomwa na watu!.

Nchi za kidikteta unaweza hata kuanzisha uzi na ukapata mrejesho wa jamii?.
 
Mkuu Patriot, zipo zile akili ambazo siku nyingi zimesalimu amri kwa matakwa ya wenye kututawala kiuchumi.

Pia zipo akili zenye kujitegemea bila ya kujali wale wanaotutawala wanawaza nini. Tofauti kwa maoni yangu ipo hapo.
 
Kuutaka urais kuna uhusiano gani na kupinga udikteta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani siasa haziruhusu kutoa maoni na mapendekezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stick kwenye realism sio theories, unajua Hitler alishindikana kudhibitiwa kwa sababu ya waimba mapambio kama wewe?

Call a spade spade ndugu, muda ni mwalimu nzuri, hebu hifadhi hii post yangu then kabla ya miaka miwili utaelewa ninachokueleza maana kitakuwa dhahili
 
Zitto Kabwe, kuna mambo mengi hayajui sababu ya uchanga:-
(i). Inapaswa afahamu kwamba wakati wa shida nyingi ndio wakati wa kujenga misingi imara kwa ajili ya kizazi kijacho; (Kama USA kusingekuwapo na mitafaruku kati ya watu weupe na weusi - leo hii sijui USA ingekuwaje - Hivyo migogoro baina ya White vs Black people ulikuwa ufunguo wa misingi imara ya kidemokrasia USA - Swali muhimu ni njia ipi inapaswa kutumiwa na Watanzania ili kumaliza migogoro hiyo ya kivyama);

(ii). Uhakika na Usahihi wa njia za kupata suluhu:- hapa lazima taasisi zinazoona kwamba zinaonewa zifahamu njia sahihi za muda wa kati za kupata suluhu katika maeneo yote yenye shida - kama kunakuwa na mwanya wa mazungumzo basi utumiwe kwa hali na mali kufikia muafaka wa mivutano - iwapo hakuna njia hii ya mazungumzo itashindikana basi alikeni viongozi wawakilishi wa kimataifa kusaidia kupata suluhu ( )
 


Hitler alishindikana kudhibitiwa na nani?
 
Isikilize Hitler's starngrad speech utaelewa nani alianzisha Nazism.
 
ZZK: Ifike wakati mkajifunza kuwa wakweli.
Tanzania hakujawa na huo udikteta unaotaka kutuaminisha.

Siku chache zilizopita Tanganyka Law Society ilikuwa na mkutano kujadili mswaada mpya wa vyama vya siasa. Kama kungekuwa na udikteta unaousema, mkutano ule usingefanyika.

Mara kadhaa tunaona watu wa civil society na vyama vya siasa vikiwa na mikutano ya vyombo vya habari (press conference), tungekuwa ni nchi ya kidikteta, yote hayo yasingafanyika.

Mara ngapi, watu wengi wanamkosoa Rais kupitia majarida na machapisho mbali mbali na hawabughudhiwi. Isipokuwa wale tu ambao wanadhalilisha taasisi ya Urais, sheria imekuwa ikichukua mkondo wake. Hayo yamekuwepo hata enzi za JK.

Ni wakati umefika, ZZK na wenzako mjipambanue kama wanasiasa wenye kupigania maslahi mapana ya Taifa na sio "kunenepesha wallet" zenu.

JPM anatupeleka katika viwango sahihi. Ikiweza kufuata nyayo za akina Lew Kuan Yew wa Singapore na Mahathir Mohamed wa Malyasia, kwa rasimali ambazo Tanzania inazo, tunaweza kupaa kiuchumi na kuwa nchi ya dunia ya kwanza.

Kufikia kiwango cha dunia ya kwanza kitawezekana kwani Rais wetu (JPM) yuko focused. Akina ZZK wana lengo mahsusi ya kutengeneza distraction kupitia porojo nyepesi. The good thing JPM is very intellectual, strategic and tactical skills to ensure his mission to take Tanzanianis to the promise land is realized.
 
Na taifa zima la ujerumani plus acomplises plus his own party.


Unafahamu kwamba A. Hitler alishinda Uchaguzi Ujerumani? Unafahamu kwamba the rise of A.Hitler kulisaidiwa na USA akiwemo baba yake HW Bush aliyeitwa Prescot Bush? Unafahamu Ulaya yote pamoja na English monarchy walisapoti nazism?

Unafahamu apartheid AK ni ideology ya nazism na ilisapotiwa na Muzungu wote USA na Ulaya? Unafahamu Mandela alikuwa kwenye orodha ya terrorist USA?
Unafikiri ni kwa nini Mandela alitambulika kama terrorist na USA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…