Mbadala ni Katiba mpya, si Chama kipya, mbadala ni Akili za Watanzania wajue maana ya vyama mbadala si vyama pinzani, Mtanzania anatakiwa ajue kazi ya vyama Vya mbadala,ajue haki Yake ni ipi,.
Hakuna chama cha upinzani kilichotumia mbinu nyingi tofauti Kama chadema,soon wapi walaumiwe
Sababu mbongo Hajui anataka nini