Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio

Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio

Ni kweli binti, pia umesahau kuwa CCM kupitia Gwajima (Askofu Rashidi) wana sera ya kubadilisha misikiti yote kua Sunday School Classes, kitu ambacho ni kizuri sana kwa maendeleo ya nchi yetu!
 
CCM = wajanja wachache + Jeshi la (wananchi + polisi + magereza) + TISS + Tume ya uchaguzi + Mahakama.

Tanzania INAHITAJI hii equation ivunjwe vunjwe ili CCM ibaki kuwa chama cha siasa tu, vinginevyo ni kama impossible kwa chama cha upinzani kushindana na CCM hata kama kitakua na sera za milele.

CCM itashindwa kama;

  • Wananchi watafanya mapinduzi,
  • mgawanyiko mkubwa wa “Wajanja wachache”,
  • mtutu wa bunduki au/na
  • extreme external forces.
 
CCM = wajanja wachache + Jeshi la (wananchi + polisi + magereza) + TISS + Tume ya uchaguzi + Mahakama.

Tanzania INAHITAJI hii equation ivunjwe vunjwe ili CCM ibaki kuwa chama cha siasa tu, vinginevyo ni kama impossible kwa chama cha upinzani kushindana na CCM hata kama kitakua na sera za milele
Tatizo kubwa kwa CHADEMA na upinzani kwa ujumla hawaelewi kuwa hawa wote kuanzia
CCM, wajanja wachache + Jeshi la (wananchi + polisi + magereza) + TISS + Tume ya uchaguzi + Mahakama. wote hao ni wapiga kura wao binafsi familia zao na ndugu zao na marafiki zao

Chama makini kinatakiwa kikonge nyoyo za wote hao ili kipate kura toka kwao kwa kuwa na sera rafiki na kijitahidi kuwa friendly kwao ili ku attract their love ili ushinde kura Lakini unfortunately upinzani wana dhana kama yako kuwa hao ni maadui

Kwenye kutafuta kupigiwa kura kunataka long range starategy ya kumpata kila raia akupigie kura upinzani hilo wameshindwa totally ndio maana unakuta hata wasanii mlikuwa mkiwatukana mkiona CCM wajinga kuwa as if sio wapiga kura.

Upinzani wa Tanzania bado ulitakiwa uwe na starategy ya kupata kura hata toka kwa wana CCM lakini wapi unakuta wanaporomosha mitusi tu sehemu zingine tuliona hata mtu akivaa nguo ya CCM wakimzomea na kumchania nguo zake badala ya kumtafutia strategy awapigie kura

Huu mtizamo wako ndio ulionisukuma pia kuona umuhimu wa kusema kinakiwa chama kingine kipya cha upinzani chenye cha kueleweka maana nyie vichwa vyenu mnavijua wenyewe

Vyama vya upinzani vilivyopo havikidhi matarajio ya wengi ikiwemo makundi uliyoyataja

Ndio maana kunahitajika chama kingine kipya cha upinzani
 
Kwahiyo hicho chama unachokitaka hakiwezi kuanza mpaka hivi vilivyopo mviue? Sasa uimara wa hicho chama ni upi kama hata hakiwezi kuanza na kukua kwa kuua vingine? Kwa taarifa yako ni kuwa TISS walikuwa na mpango wa kuiua CDM ili waanzishe chama kingine cha upinzani. Hivyo tunaufahamu huo mpango wa kuanzisha igizo kwa hilo Bunge kibogoyo, ili ionekane CCM imegawanyika mpate kuanzisha chama kingine kinachotakiwa na ccm, lakini kwa hilo mmekwama kabla ya kuanza.
 
Upinzani wenye uzalendo kwa maslahi ya taifa

Sio upinzani kwa maslahi ya kina Amstadam
 
Tanzania inahitaji CCM irudi kuwa cha cha siasa kwanza.
Upizani kwamwe hautasitawi na kuwa na muelekeo imara kama
CCM =serekali=nyombo nya dola.
Na kwakuwa watu hawawezi kuwa na mawazo sawa kitu pekee ninachoweza sitawi kwenye mazingira haya ni uasi (rebellion).
Watu wanaliangamiza Taifa huku wakipongezana na visingizio telee
Vita vya rasilimali
Mabeberu
Vyama hivi ni NGOs
Wapinga maendeleo yaani upuuzi teleee kuhalalisha kukandamiza mawazo tafauti na yao.
 
Hivyo vinajifia vyenyewe mbona

Ni kweli, je hicho chama chenu kilikuwa kinangojea nini ili kuanza? Na hicho chama nacho kitategemea nguvu ya vyombo vya dola kama ccm, au chenyewe kitajenga ushawishi?
 
Nchi zote za Africa hazipo tayari kwa UPINZANI. Ngoja tusubiri vizazi sita vijavyo sio hivi vya UNAFIKI NA UBINAFSI AMBAVYO KWAO UPINZANI NI UADUI.
 
Upinzani wenye uzalendo kwa maslahi ya taifa

Sio upinzani kwa maslahi ya kina Amstadam

Uzalendo sasa hivi ni kujipendekeza na kumsujudia rais! Huo sio uzalendo. Maana sasa hivi ni ngumu kutofautisha uzalendo na ujinga.
 
Zitto alianza vizuri sana! Alikuwa na nafasi kubwa ya ku take over, hata sijui alijichanganyaje yaani...
 
Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio.

Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi.

Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu.

Mfano CCM ikisema kila mtanzania lazima awe na shamba upinzani watakuja mbio kupinga na kutishia kuipeleka CCM Umoja wa Mataifa kwa kulazimisha kila mtu awe mkulima!!!

Lakini ukiwauliza vyama vya upinzani vyote kuwa hivi nyie sera zenu za kudumu ni zipi ambazo vyama vyenu vikitajwa tu mtu anajua yes hii ndio sera ya kudumu ya chama changu?
Kianzishe wewe kama unadhani ni rahisi .
 
Tuna vyama zaidi ya 15 unataka nini zaidi ya hapo! What matters is not sera, what matters is how we love and treat our citizens and our country. This you will know by the difference in assets owned by the common man and a politician!!!!
 
Tanzania inahitaji CCM irudi kuwa cha cha siasa kwanza.
Upizani kwamwe hautasitawi na kuwa na muelekeo imara kama
CCM =serekali=nyombo nya dola.
Na kwakuwa watu hawawezi kuwa na mawazo sawa kitu pekee ninachoweza sitawi kwenye mazingira haya ni uasi (rebellion).
Watu wanaliangamiza Taifa huku wakipongezana na visingizio telee
Vita vya rasilimali
Mabeberu
Vyama hivi ni NGOs
Wapinga maendeleo yaani upuuzi teleee kuhalalisha kukandamiza mawazo tafauti na yao.
Tatizo la vyama vya upinzani ni vyama vya upinzani vyenyewe!
Kwanza hawana hoja na hawaeleweki wanataka nini hasa, pili wameshindwa kuungana na uelewa wa jamii ya wapiga kura.

Kwa mfano, kusema mradi wa reli, mradi wa umeme, barabara etc havina maana ni kama kuchallenge uelewa wao na watakudhibu accordingly.
Hapo hujaongelea sera ya majimbo, na ushoga...
 
Back
Top Bottom