La bandari Ni dalili tu. Kuna siku utasikia mkoa wa DSM unakodishwa kwa Waarabu.
Kuna siku tutaamka tutasikia wilaya na vijiji vimeuzwa Oman, na raia watatakiwa kuondoka haraka.
Mama alienda dubai na naambiwa , Sina hakika, kwamba ana vinasaba na Mzee Mwinyi , so Wana vinasaba vya kiarabu.
Walialikwa wabunge 30 kwenda Uarabuni, hatujui agenda ilikua Nini, leo tumejua kilichowapeleka.
Mwinyi aliuza loliondo, leo mnaweka lango la nchi rehani kwa muda usiojulikana.
Wauze tu sababu havina mwenyewe na hata kama yupo amelala.
Nb:Mpango wa Hawa Waarabu na Marekani Ni kuhakikisha bandari ya dar haipanuki zaidi na mpango mahsusi zaidi Ni kuikamata bandari ya dar na kuhakikisha bandari ya Bagamoyo haijengwi.
Kwasababu Bagamoyo ikijengwa maana yake mizigo yote ya Afrika kutoka china 80% haitapita Tena Dubai , Bali itakuja direct to bagamoyo port. Hivyo Dubai itakufa kiuchumi kwa sababu uchumi wake unategemea bandari.
Huu Ni mpango mkakati wa Waarabu na Marekani.