Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea.
Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano, alilipa akapewa risiti ya tshs 250,000/ na kuambiwa nenda tu hakuna mtu atakuuliza chochote.
Jamaa pesa imemtembelea ila hana kisomo wala sio mbishi jamaa akaondoka na kupita na mzigo wake. Mambo km haya yanaonyesha haja ya kuwapa watu kuboresha ukusanyaji wa mapato na utendaji.
Ila hili haliondoi haja ya kuingia mkataba wenye maslahi kwa taifa tofauti na huu ambao wajuvi wamechambua na kutuonyesha matobo yako wapi.
Tatizo kama hili likitokea Uhamiaji, hivyo suluhisho ni kubinafsisha Uhamiaji?
 
Naona kama tunaenda kinyume na wenzetu.

Nchi za Afrika Magharibi mfano Mali, senegal, Bukinafaso zinakimbiza waizi wa raisilimali zao sisi tunapambana kugawa bandari yetu bure kabisa tena tunaigawa milele na milele hakuna cha time limit wala nini!

Hivi nani katuloga?
 
Naona kama tunaenda kinyume na wenzetu.

Nchi za afrika magharibi mfano Mali, senegal, bukinafaso nk nk zinakimbiza waizi wa raisilimali zao sisi tunapambana kugawa bandari yetu bure kabisa tena tunaigawa milele na milele hakuna cha time limit wala nini!

Hivi nani katuloga?
Hivi Mrusi hatonufaika na chochote pale?
 
Naona kama tunaenda kinyume na wenzetu.

Nchi za afrika magharibi mfano Mali, senegal, bukinafaso nk nk zinakimbiza waizi wa raisilimali zao sisi tunapambana kugawa bandari yetu bure kabisa tena tunaigawa milele na milele hakuna cha time limit wala nini!

Hivi nani katuloga?
Wameshapindua Several times huko kaka

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Naona kama tunaenda kinyume na wenzetu.

Nchi za afrika magharibi mfano Mali, senegal, bukinafaso nk nk zinakimbiza waizi wa raisilimali zao sisi tunapambana kugawa bandari yetu bure kabisa tena tunaigawa milele na milele hakuna cha time limit wala nini!

Hivi nani katuloga?
Afu kuna wapumbavu tupo nao humu jukwaani wanasema eti tumechelewa sana kuwagawia hawa DP kwa kisingizio kwamba eti hazitupi faida! Unakaa unajiuliza hivi watu wa hivi wanawaza kwa kutumia makalio ama?
 
Afu kuna wapumbavu tupo nao humu jukwaani wanasema eti tumechelewa sana kuwagawia hawa DP kwa kisingizio kwamba eti hazitupi faida! Unakaa unajiuliza hivi watu wa hivi wanawaza kwa kutumia makalio ama?
Wewe ndio Mpumbavu kutokukubali madhaifu yako, utaratibu wa Uwekezaji ni wa kawaida Duniani kote, huwezi kuwa huna uwezo wa kufanya jambo kwa ufanisi kisha ikapatikana room ya mtu mwingine kufanya kwa ufanisi kisha nawe ukanufaika halafu wakaza bichwa, Tumeleta makocha kwenye Nation Teams, tuna Contractors kwenye mabarabara, kule Rufiji dam/stiegler's Gorge kuna wa misri, SGR yuko Mturuki hata hapo bandalini alikuwepo TICTS wala hakuna ajabu yoyote, hivi kwanini hoja isiwe ibara au vifungu instead ya huyo unaemdharau DP World International?
 
Wewe ndio Mpumbavu kutokukubali madhaifu yako, utaratibu wa Uwekezaji ni wa kawaida Duniani kote, huwezi kuwa huna uwezo wa kufanya jambo kwa ufanisi kisha ikapatikana room ya mtu mwingine kufanya kwa ufanisi kisha nawe ukanufaika halafu wakaza bichwa, Tumeleta makocha kwenye Nation Teams, tuna Contractors kwenye mabarabara, kule Rufiji dam/stiegler's Gorge kuna wa misri, SGR yuko Mturuki hata hapo bandalini alikuwepo TICTS wala hakuna ajabu yoyote, hivi kwanini hoja isiwe ibara au vifungu instead ya huyo unaemdharau DP World International?
Sasa kwani kuna sehemu hawa wanaopinga wanasema hawataki uwekezaji? Watu wanachokataa ni baadhi ya terms kwenye ule mkataba. Wanaotetea hawajui hili, wao kwa vile chama Chao kinasapoti basi na wao wanaingia kichwa kichwa bila kuhoji. Sasa upumbavu wangu hapa ni upi kama wewe sio msenge?
 
Sasa kwani kuna sehemu hawa wanaopinga wanasema hawataki uwekezaji? Watu wanachokataa ni baadhi ya terms kwenye ule mkataba. Wanaotetea hawajui hili, wao kwa vile chama Chao kinasapoti basi na wao wanaingia kichwa kichwa bila kuhoji. Sasa upumbavu wangu hapa ni upi kama wewe sio msenge?
Msenge baba yako
 
Watanzania wasiwe wavivu wa kusoma. Chukua mkataba, soma vizuri, tafakari,,elewa au omba kueleweshwa alafu amua kutetea upande gani Kati ya wanao support na wanaopinga.
 
Kwa mujibu wa Waziri wa Ujenzi na Usafirisha, Profesa Makame Mbarawa, Tanzania na Dubai zinatarajiwa inatarajiwa kujadili na kupitisha Mkataba wa Kiserikali (IGA) kuhusu kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam.

Pia soma > Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha mpaka Bandari? Tusikubali hili

Hili litaweka mazingira ya kufanyika kwa taratibu nyingine, ikiwamo mkataba wa makubaliano, kabla ya kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu.

Kampuni hiyo, ambayo mbinu yake ni kuondoa vizuizi vya biashara na kuunda mfumo ikolojia wa biashara ili kupanua mtiririko wa biashara ya ndani ya kikanda na kimataifa, itapewa gati ya tano hadi saba kushughulikia

Kwa kuingia ubia huo wa mashirikiano, Serikali inatarajia kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia bandari hiyo kwa asilimia 233.7 katika miaka kumi ijayo.

---

Parliament is this month expected to debate and approve the Intergovernmental Agreement (Iga) between Tanzania and Dubai on developing Dar es Salaam Port, The Citizen can reveal.

This will set the stage for other procedures, including the concession agreement, before the commencement of a new chapter for cooperation between the Tanzania Ports Authority (TPA) and DP World, a multinational logistics company based in Dubai, the United Arab Emirates.

The company, whose approach is to remove barriers to trade and create a trade ecosystem to expand the flow of both intra-regional and global trade, will be given berths five to seven to handle, according to Works and Transport minister Makame Mbarawa.

He told The Citizen in an exclusive interview last week that by working with DP World, the government expects to increase revenue collection through the port by 233.7 percent in the next ten years.

Prof Mbarawa said the target was to raise the amount in revenue that is collected from the port from the current Sh7.79 trillion per year to Sh26 trillion in the next decade.

“The potential private sector investment could enhance the competitiveness of Dar es Salaam Port by improving service quality and increasing efficiency,” he said.

It is on those grounds that more business could be drawn to the port, thus boosting revenue and contributing to Tanzania’s overall economic development.

Amidst current inefficiencies impacting end customers and escalating costs, private sector investment in the Port of Dar es Salaam is being recognised as a potential game-changer.

Prof Mbarawa said the government had made up its mind to partner with DP World in developing the port.

On why the government chose DP World, Prof Mbarawa said the company was uniquely positioned to partner with the government as it is a global logistics company that is capable of delivering the required nationwide transformation across the entire logistics value chain.

The company has a proven track record of managing, operating and investing in trade infrastructure in Africa for over 20 years to the highest international standards.

“We have great confidence in DP World and it is on that ground that we are planning to give to it berths five to seven to handle,” Prof Mbarawa said.

“With DP World, we expect to see improvement in the port’s performance. We expect to see the discharge period of vessels being cut to one day from the current four to five.”

This, explained Prof Mbarawa, could mean the removal of barriers to trade, which is key to driving and increasing trade flows.

The potential impact of private sector investment underscores the port’s strategic importance to Tanzania’s economy and its potential to catalyse economic growth and development in the country.

The potential introduction of cutting-edge technologies, advanced equipment and skilled personnel could enable the port to handle more cargo, alleviate congestion, and expedite ship turnaround times, thereby reducing costs for end customers.

Tanzania Shipping Agents Association (Tasaa) chairman Daniel Malongo said he had confidence in DP World, adding that it was among the world’s top four companies in the running of ports.

He commended the way the company has mechanised its handling equipment as well as operating and revenue collection systems.

“Transparency is of high degree since every movement from the time container is coming from the vessel to the port and ICD (Inland Container Depot), is reflected in the system,” said Mr Malongo.

“This will be of paramount importance to our country since it provides no loophole for revenue leakage.”

Tanzania Freight Forwarders Association (Taffa) president Edward Urio was also upbeat, saying DP World will add value to Dar es Salaam Port’s performance.

He said the company will bring in innovation, efficiency and competition to other operators handling berths eight to 11.

“They (DP World) have a good reputation. They handle some of the biggest ports in the world,” said Mr Urio.

Going by the TPA figures, the port handled 17 million metric tonnes of cargo in 2021, up from 14 million tonnes recorded in 2017, thanks to expanded capacity, marketing drive, recovery from Covid-19 and an enabling business environment.

It is believed that the involvement of the private sector brings the prospects for improved connectivity and the potential for expansion and modernisation of facilities at the port.

Stakeholders believe that the involvement of the private sector will pave a way for developing new terminals, refurbishing existing ones, and providing additional services such as warehousing, logistics and ship repair.

This could in turn create new job opportunities, boost revenue, and draw more business to the port.

Moreover, this potential investment could stimulate economic diversification by attracting new sectors and businesses to the port.

DP World investment in Tanzania will modernise the port’s infrastructure by investing in the equipment, processes and systems at the port of Dar es Salaam to bring operations to world class levels of productivity, the company said in its recent statement.

The statement said the company will improve ease of doing business by using modern technology to shape the visibility, transparency, and speed up transit of cargo across Tanzania ports, Inland Container Depots and borders.

Source: The Citizen
Tatizo kubwa ni kuwa haya yoote wanayo yaongelea hayako kwenye mkataba au MoU. Mkataba hautaji wanapewa gati gani, wana"invest" kiasi gani. Mkataba hauna malengo yoyote ya kupima mafanikio au mapungufu. Kilichomo ni ni kuwa TZ haiwezi kuuvunja mkataba hata kama kuna mapungufu au hasara. Maana yake ukiishaingia basi hautoki!
All the best, watanzania tulisubiri kwa muda mrefu sana juhudi kama hizi za kuboresha miundombinu muhimu kwa uchumi wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom