nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Tuwekee tuuone mkuu mimi nashindwa hata pa kuanziaTunasema wewe na nani?
Mbona mkataba uko vizuri tu. Shida iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee tuuone mkuu mimi nashindwa hata pa kuanziaTunasema wewe na nani?
Mbona mkataba uko vizuri tu. Shida iko wapi?
Umepoteza muda kuja na huu uzi. Taratibu za kutengeneza mikataba ya kibiashara zinaendelea.Mama samia asishupaze shingo katika swala hilo ni aibu kwa taifa kuwa na mkatba wa kihuni zama hizi za ukweli na uwazi na watu wzlioelimika, serikali mnatoa elimu kwa nani ambaye hajajuwa mapungufu ya mkataba huo! mnatoa elimu kudanganya taifa kwa faida zenu wenyewe sisi tumesema hapana kama serikali ya ccm imechoka basi iachie madaraka ! tanzania tupo milion 65 siamini kama tuna wztu wote wenye akili kama za wabunge wa ccm wanaotumbukiza nchi kwenye janga kubwa kama hilo.
Kuna kipindi nilisema mama hanampango wa kugombea 2025 maana amekamatwa mabega yote kulia na kushoto anaomba mungu amalize salaama 2025
Yeah, that's what every stupid a.k.a fool a.k.a futile a.k.a dumb a.k.a dull a.k.a laughable a.k.a irrelevant a.k.a ludicrous a.k.a ill-advised person thinks.HIS DEATH WAS PLANNED , IN THAT HE WAS ASSASINATED
🤣🤣Upo sahihi kbs na hili ni tatizo la miaka ming san, yaan wanapewa ushauri mzur kwa maslahi ya Taifa hata kule bungeni lakini CDM watabezwa mpaka kutolewa ndan ya bunge!!CCM huwa wanajidai hawakosegi.Wakirekebishwa na CDM inakuwa nongwa!Stupids!
Hili ndilo CCM walipaswa walifanye na sio kusema wanaopinga hawataki uwekezaji wa DP world.Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea.
Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano, alilipa akapewa risiti ya tshs 250,000/ na kuambiwa nenda tu hakuna mtu atakuuliza chochote.
Jamaa pesa imemtembelea ila hana kisomo wala sio mbishi jamaa akaondoka na kupita na mzigo wake. Mambo km haya yanaonyesha haja ya kuwapa watu kuboresha ukusanyaji wa mapato na utendaji.
Ila hili haliondoi haja ya kuingia mkataba wenye maslahi kwa taifa tofauti na huu ambao wajuvi wamechambua na kutuonyesha matobo yako wapi.
Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea.
Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano, alilipa akapewa risiti ya tshs 250,000/ na kuambiwa nenda tu hakuna mtu atakuuliza chochote.
Jamaa pesa imemtembelea ila hana kisomo wala sio mbishi jamaa akaondoka na kupita na mzigo wake. Mambo km haya yanaonyesha haja ya kuwapa watu kuboresha ukusanyaji wa mapato na utendaji.
Ila hili haliondoi haja ya kuingia mkataba wenye maslahi kwa taifa tofauti na huu ambao wajuvi wamechambua na kutuonyesha matobo yako wapi.
Sote tunajua hilo Boss. Ila mkataba uliopo mezani niwa kifisadi
Uongo mtu hakuna kitu kama hiko,bandari zetu kama ccm zimewashinda chadema watazisimamia vizuri kaa pembeni achana na bandari zetu.Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea.
Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano, alilipa akapewa risiti ya tshs 250,000/ na kuambiwa nenda tu hakuna mtu atakuuliza chochote.
Jamaa pesa imemtembelea ila hana kisomo wala sio mbishi jamaa akaondoka na kupita na mzigo wake. Mambo km haya yanaonyesha haja ya kuwapa watu kuboresha ukusanyaji wa mapato na utendaji.
Ila hili haliondoi haja ya kuingia mkataba wenye maslahi kwa taifa tofauti na huu ambao wajuvi wamechambua na kutuonyesha matobo yako wapi.
Mkataba una ufisadi gani?Sote tunajua hilo Boss. Ila mkataba uliopo mezani niwa kifisadi
Waneshindwa kujenga hata ofisi zao ndo waweze bandari?Uongo mtu hakuna kitu kama hiko,bandari zetu kama ccm zimewashinda chadema watazisimamia vizuri kaa pembeni achana na bandari zetu.
Kivipi mkataba hauna maslahi kwa taifa?Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea.
Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano, alilipa akapewa risiti ya tshs 250,000/ na kuambiwa nenda tu hakuna mtu atakuuliza chochote.
Jamaa pesa imemtembelea ila hana kisomo wala sio mbishi jamaa akaondoka na kupita na mzigo wake. Mambo km haya yanaonyesha haja ya kuwapa watu kuboresha ukusanyaji wa mapato na utendaji.
Ila hili haliondoi haja ya kuingia mkataba wenye maslahi kwa taifa tofauti na huu ambao wajuvi wamechambua na kutuonyesha matobo yako wapi.
Hizo bandari haziuzwi kuwa muelewa.Waneshindwa kujenga hata ofisi zao ndo waweze bandari?
Kwani zimeuzwa? Zimeuzwaje?Hizo bandari haziuzwi kuwa muelewa.
Hizo bandari haziuzwi kuwa muelewa.