Zvi
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 626
- 384
umeona sawa kabisa, nafikiri na rais anajua hiloHe is not alone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona sawa kabisa, nafikiri na rais anajua hiloHe is not alone.
Mimi ni kweli kabisa, hujakosea, unafahamu kuwa neno fala limetokana na neno la Kiarabu "falah" likimaanisha "peasant" - mkulima.Fala mwenyewe!
Hana jipya huyo fala. Mambo mapya haya hapa kwa faida ya wote:
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam Jionee mwenyewe: Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie: Ni nini bima ya Takaful? Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa...www.jamiiforums.com
Kumbe wewe uko mbele ya keyboard?Nyuma ya keyboard
Hata heshima mmekosa? Mtu una akili kibaba, upeo zero, unafiki 100%, halafu unadiriki kumwita mtu mwenye weledi mkubwa fala!! Naona unatembea na shetani wewe. Maana hakuna aliye na Roho wa Mungu mwenye mdomo mchafu kama wako.Hana jipya huyo fala. Mambo mapya haya hapa kwa faida ya wote:
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam Jionee mwenyewe: Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie: Ni nini bima ya Takaful? Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa...www.jamiiforums.com
Sawa fala.Mimi ni kweli kabisa, hujakosea, unafahamu kuwa neno fala limetokana na neno la Kiarabu "falah" likimaanisha "peasant" - mkulima.
Huna hoja!Joined June 23.,2023 ..
Kwa kazi maalum...
NdiyoNafikiri kwa uwingi wetu tumekubaliana agenda kuu iwe kuupinga MKATABA usio na MASLAHI MAPANA kwa Taifa letu, si ndiyo jamani?
Kazi kwelikweliJoined June 23.,2023 ..
Kwa kazi maalum...
Huyo ana ID 11 humu, na zote anatumia kuandika ujinga, kuji comment mwenyew na ku like mwenyewe.Joined June 23.,2023 ..
Kwa kazi maalum...
Kama ni joined June 23,kwa KAZI maalum Kwa maslah ya Taifa, Kuna tatizo Gani?Joined June 23.,2023 ..
Kwa kazi maalum...