Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya haya yote ni katiba mpya ambayo kila raisi atakaye tawala tanzania lazima ashitakiwe akibainika kakosea madaraka vibaya au kakikuka katiba.Team,
Why mara zote linapokuja suala la uwekezaji nchini kelele huwa nyingi?
# Serikali hutumia misuli kuaminisha umma kuwa jambo inalolisimamia halina madhara mbeleni;
# Wananchi nao hutunisha misuli kupinga kwa maneno hoja ya uwekezaji kwa mtizamo tu kwamba huenda viongozi wamepiga 10%.
Sasa:
Ktk hili la DP world Tuiamini Serikali au wavuja jasho na maskini?
Msakila Kabende Msakila
Mchumi Mbobezi
Sasa Bwana mbobezi embu jibu maswali ya wanaopinga hilo dili la DP World kwanza kabla hujaja na blablaTeam,
Why mara zote linapokuja suala la uwekezaji nchini kelele huwa nyingi?
# Serikali hutumia misuli kuaminisha umma kuwa jambo inalolisimamia halina madhara mbeleni;
# Wananchi nao hutunisha misuli kupinga kwa maneno hoja ya uwekezaji kwa mtizamo tu kwamba huenda viongozi wamepiga 10%.
Sasa:
Ktk hili la DP world Tuiamini Serikali au wavuja jasho na maskini?
Msakila Kabende Msakila
Mchumi Mbobezi
Amini kilichoandikwa, kama serikali ina ushahidi wa kimaandishi basi huna budi kulalia upande huo, kama hao uliowapa jina 'genge' wana hoja zenye ushahid wa kimaandishi pia huna budi kuupa nafasi ubongo uweze kuchakata mambo.Team,
Why mara zote linapokuja suala la uwekezaji nchini kelele huwa nyingi?
# Serikali hutumia misuli kuaminisha umma kuwa jambo inalolisimamia halina madhara mbeleni;
# Wananchi nao hutunisha misuli kupinga kwa maneno hoja ya uwekezaji kwa mtizamo tu kwamba huenda viongozi wamepiga 10%.
Sasa:
Ktk hili la DP world Tuiamini Serikali au wavuja jasho na maskini?
Msakila Kabende Msakila
Mchumi Mbobezi
Duu, huyu mwamba🙌🙌🙌Huu ndiyo ulio ukweli mchungu kwa waliokuwa wamjiaminisha kwenye wakiuita ni unyonge wetu:
View attachment 2679527
Kosa ni kurudia kosa.
"Kwenye hili mmegusa pabaya."
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Alipo tupo!Duu, huyu mwamba🙌🙌🙌
Wasije Kumlimboka, Mungu amtunzeNgoja tuone...
Wasije Kumlimboka, Mungu amtunze
Mwambukusi
Hana jipya huyo fala. Mambo mapya haya hapa kwa faida ya wote:Huu ndiyo ulio ukweli mchungu kwa waliokuwa wamejiaminisha kwenye wakiuita ni unyonge wetu:
View attachment 2679527
Kosa ni kurudia kosa.
"Kwenye hili mmegusa pabaya."
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
He is not alone.Hana jipya huyo fala. Mambo mapya haya hapa kwa faida ya wote:
I like this motive, CCM cannot keep on brain washing us, the citizen are knowledgeable and know how to handle their affairs and problemsHuu ndiyo ulio ukweli mchungu kwa waliokuwa wamejiaminisha kwenye wakiuita ni unyonge wetu:
View attachment 2679527
Kosa ni kurudia kosa.
"Kwenye hili mmegusa pabaya."
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Nyuma ya keyboardAlipo tupo!
Mwigulu amedhibitiwa nchi imekuwa ya amaniWasije Kumlimboka, Mungu amtunze
Mwambukusi
Huyu amesoma na kuelimika, si msakatonge. Leo mmoja wa maprofesa na mtetezi wa DP world kapewa cheo cha uwaziri. Wasomi wasio jiamini wako tayari kutetea mambo yasiyo haki hili mradi wapate cheoHuu ndiyo ulio ukweli mchungu kwa waliokuwa wamejiaminisha kwenye wakiuita ni unyonge wetu:
View attachment 2679527
Kosa ni kurudia kosa.
"Kwenye hili mmegusa pabaya."
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Fala mwenyewe!Hana jipya huyo fala. Mambo mapya haya hapa kwa faida ya wote:
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam
Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam Jionee mwenyewe: Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie: Ni nini bima ya Takaful? Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa...www.jamiiforums.com