Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Game changer anatakiwa haraka kubadili upepo! Ili tutoke kwenye mambo ya bandari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Kawajibu Arusha leo,yeye ni kazi,maneno hana time nayo, yani anasema ye ni mtu wa action 🤣🤣🤣
Wananchi ndo bosses wa viongozi,🤣🤣🤣Kawajibu Arusha leo,yeye ni kazi,maneno hana time nayo, yani anasema ye ni mtu wa action 🤣🤣🤣
HOJA nzuri.kama wezi wa ndani wameshindwa je wa nje watawaweza
Chawa mpya kaja naye !Mkataba tushamaliza kuusaini na kuupitisha kwa kishindo ni wakati sasa wa kuanza utekelezaji mara moja bila kuchelewa. Pongezi sana kwa Rais Samia kwa kuona mbali sana, hii fursa tulikuwa tunaisubiri kwa mda mrefu sana. Ndugu watanzania tuendelee kumuunga mkono Rais katika juhudi za kuikomboa Tanzania.
Uzi tayariView attachment 2673657
Kutegemea watu wa nje waje wakujengee nchi yako kwa mikataba mibovu ni ukichaa wa hali ya juu.Mkataba tushamaliza kuusaini na kuupitisha kwa kishindo ni wakati sasa wa kuanza utekelezaji mara moja bila kuchelewa. Pongezi sana kwa Rais Samia kwa kuona mbali sana, hii fursa tulikuwa tunaisubiri kwa mda mrefu sana. Ndugu watanzania tuendelee kumuunga mkono Rais katika juhudi za kuikomboa Tanzania.
Uzi tayariView attachment 2673657