kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Serikali hii iloyopania kuwekwa mfukoni na mabwanyenye wenyeji na mabeberu wa kimataifa wasijaribu kulazimisha suala la uwekezaji bandarini wa Dpworld. Watakua wamewakosea sana watanzania na watawajibishwa muda utakapofika. Pia wataliletea taifa hasara kubwa ya kudaiwa fidia maada mapambano ya kuwatimua hao mabeberu kwa uso wa waarabu lazima yataendeshwa hadi kufanikiwa.
Na kama hawa vibaraka wanabisha kwamba wananchi hawapingi huu uwekezaji waitishe kura ya maoni huru waone jinsi wananchi wanapinga. Haiwezekani eti baada ya miaka 60 ya uhuru na uwekezaji mkubwa wa umma kwenye bandari zetu na miundombinu yake eti tuwaite wageni kuvuna faida.
Hata hao dp tunaoambiwa kwamba watawekeza ni uhuni tu kwa sababu tayari kuna mkopo kwa serikali kwa ajili ya kuimarisha huduma za bandari. Ni wizi na dhuluma tupu inakwenda kufanyika kwa ushirika na vigogo waliyohongwa.
Na kama hawa vibaraka wanabisha kwamba wananchi hawapingi huu uwekezaji waitishe kura ya maoni huru waone jinsi wananchi wanapinga. Haiwezekani eti baada ya miaka 60 ya uhuru na uwekezaji mkubwa wa umma kwenye bandari zetu na miundombinu yake eti tuwaite wageni kuvuna faida.
Hata hao dp tunaoambiwa kwamba watawekeza ni uhuni tu kwa sababu tayari kuna mkopo kwa serikali kwa ajili ya kuimarisha huduma za bandari. Ni wizi na dhuluma tupu inakwenda kufanyika kwa ushirika na vigogo waliyohongwa.