Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam
Sasa serikali inashindwa nini coordination hyo? Hyo kampuni inaundwa na serikali ya UAE sasa sisi tunashindwa nn?
Ndio ujue kabla ya kufikia uamuzi huo hawakulewa "kangara"......

Hili taifa linachezewa kwa visingio vya UTAIFA NA UZALENDO ambao kimsingi unaweza kupatikana tukibinafsisha......

Baba wa taifa alisalitiwa na baadhi ya waliojiita wazalendo wakaua mashirika yetu ya umma kwa ubadhirifu mkubwa kabisa......
 
Naunga mkono bandari kupewa dp world kwa masharti yoyote. Tumechoka na watendaji wetu hawa wazembe, bora kenda shika kuliko kumi nenda uje.

Tunaanzia hapa, kama faida ipo tutaiona. Kama haipo tutaona pia. Waliopo bandari wote wapelekwe halmashauri au wakae pembeni. Wanaopitisha mizigo bure ndio wanaolalamika, aliingia mwarabu bure hakuna tena.

Kuna mwenyekiti fulani wa chama nimeona kashiba asali anaanza kuponda mkataba, mara sijui hauna ukomo. Yeye mbona chamani kwake hana ukomo?

Hatuwezi kuendelea na hawa wafanyakazi wazembe wazembe wenye akili kama za cute wife, lazima tubadilike tunataka utendaji na ufanisi.
Mlete na menejimenti za kukodi kwenye idara zote za serikali maana mtanzania hajaweza kujitawala.
 
Wabongo sekta nyingi sana tumefeli. Unless tubadili mienendo yetu na tabia zetu ikiwemo sheria kali ama tuwaachie wenzetu waendeshe.

Kagame alishawahi kututukana kua tumpe tu bandari ya Dar, ataijenga Rwanda kama Dubai.
 
Bunge DHAIFU la CCM limepitisha azimio la kubinafsisha bandari ya DSM kwa kampuni ya DP World ya Dubai kwa miaka 100 hadi 2123.

#MyTake:
1. Maamuzi haya yamelenga kunufaisha watu wachache na kufuta urithi kwa vizazi vijavyo. Mwaka 2123 hakuna yeyote kati yetu atakayekua hai. Maana yake tumeamua kuwaachia msalaba wajukuu zetu ambao hata hawajazaliwa.

Unadhani Nyerere alishindwa kubinafsisha madini, bandari, mbuga za wanyama? Angeweza but alifikiria vizazi vya baadae. Ila sisi tumeamua kuuza urithi wa vizazi vyetu kwa tamaa ya muda mfupi. Tukikubali huu ujinga wajukuu zetu watapiga viboko makaburi yetu.

2. Kagame aliwahi kutukejeli tumpe bandari ya DSM atupe nusu ya bajeti ya nchi kila mwaka. Tukaona ametudharau. Lakini leo tunajiuza "cheap" kwa waarabu. Hakuna cha nusu wala robo ya bajeti. Kama tumeshindwa kuendesha bandari si bora tungempa Kagame, maana heri mwendawazimu uliyemzoea kuliko kichaa mpya.

3. Kampuni ya DPWorld inatuhumiwa "kupora" bandari nchi mbalimbali kwa kigezo cha uwekezaji. Bandari ya Sarubaya (Indonesia), Batangas (Ufilipino), Palao (Peru), Dakar (Senegal), bandari ya Djibout etc. Huko kote vimebaki vilio. Badala ya kujifunza, tumejipeleka kichwakichwa tukale za uso.

4. Katika kuonesha jinsi bunge lilivyo DHAIFU, limetoa siku 1 tu wananchi kutoa maoni yao. Yani jambo litakaloathiri maisha yetu na vizazi vyetu kwa miaka 100 ijayo litolewe maoni siku 1? Hawa watu wana kichaa? Halafu maoni yatolewe ukumbi wa Msekwa, uliopo bungeni. Ebo.!

Bandari inagusa maisha ya kila mtu, kuanzia mkulima wa Runzewe hadi Mwalimu wa Ludewa. Magari, mafuta, vyakula, nguo, pembejeo vinapita bandarini. Kugusa bandari ni kugusa maisha ya kila mtu. Ingeundwa kamati kukusanya maoni nchi nzima, sio kusema watu wakatoe maoni ukumbi wa Msekwa. Mwananchi wa Namtumbo anafikaje Msekwa?

5. Wananchi kataeni upuuzi huu. Mkinyamaza kwa kuona ni jambo la kisiasa msije kulia baadae. Maana mna "kaupuuzi" ka kunyamaza mkidhani waathirika ni wanasiasa tu. Utadhani bei ya petrol inapanda(ga) kwa wanasiasa tu. Siku yakiwachachia ndo mnaomba kupaziwa sauti. Ukikaa kimya usiombe kupaziwa sauti.
Samahan sana ndugu mtoa mada, huo unapatikana wapi, ili walau namim nyonge nipate kudodosa na kutoa hukumu ya haki na ushauri mujarabu, kuliko kunibugiza kisha nami kubugia na kutoa povu kama lote kwa nisichokijua? Naomba Muongozo wako tafadhali
 
Acheni maneno

Mpo salama kabisaaaa..

Kazi iendelee...

💃🏽💃🏽💃🏽😊
 
Sina ugomvi na hili. Unafukuza wezi na kuingiza wengine. Hii ni akili au matope? Tunachoongelea hapa ni maslahi mapana ya taifa. Kwani hilo pango lilimshinda rais na mamlaka yote na vyombo vyote vya maguvu au alikuwa akinufaika na ujambazi huu? Nadhani kati yangu nawe na huyo unayemtetea kibubusa unaweza kuona nani mkumbaff kumbaff we
Yamshinde rais mwenye "think tankers" uyaweze wewe mnywa kangara?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]Huu nao si "insanity" na "grandeur delusion"?!!! [emoji1787]
 
Bunge DHAIFU la CCM limepitisha azimio la kubinafsisha bandari ya DSM kwa kampuni ya DP World ya Dubai kwa miaka 100 hadi 2123.

#MyTake:
1. Maamuzi haya yamelenga kunufaisha watu wachache na kufuta urithi kwa vizazi vijavyo. Mwaka 2123 hakuna yeyote kati yetu atakayekua hai. Maana yake tumeamua kuwaachia msalaba wajukuu zetu ambao hata hawajazaliwa.

Unadhani Nyerere alishindwa kubinafsisha madini, bandari, mbuga za wanyama? Angeweza but alifikiria vizazi vya baadae. Ila sisi tumeamua kuuza urithi wa vizazi vyetu kwa tamaa ya muda mfupi. Tukikubali huu ujinga wajukuu zetu watapiga viboko makaburi yetu.

2. Kagame aliwahi kutukejeli tumpe bandari ya DSM atupe nusu ya bajeti ya nchi kila mwaka. Tukaona ametudharau. Lakini leo tunajiuza "cheap" kwa waarabu. Hakuna cha nusu wala robo ya bajeti. Kama tumeshindwa kuendesha bandari si bora tungempa Kagame, maana heri mwendawazimu uliyemzoea kuliko kichaa mpya.

3. Kampuni ya DPWorld inatuhumiwa "kupora" bandari nchi mbalimbali kwa kigezo cha uwekezaji. Bandari ya Sarubaya (Indonesia), Batangas (Ufilipino), Palao (Peru), Dakar (Senegal), bandari ya Djibout etc. Huko kote vimebaki vilio. Badala ya kujifunza, tumejipeleka kichwakichwa tukale za uso.

4. Katika kuonesha jinsi bunge lilivyo DHAIFU, limetoa siku 1 tu wananchi kutoa maoni yao. Yani jambo litakaloathiri maisha yetu na vizazi vyetu kwa miaka 100 ijayo litolewe maoni siku 1? Hawa watu wana kichaa? Halafu maoni yatolewe ukumbi wa Msekwa, uliopo bungeni. Ebo.!

Bandari inagusa maisha ya kila mtu, kuanzia mkulima wa Runzewe hadi Mwalimu wa Ludewa. Magari, mafuta, vyakula, nguo, pembejeo vinapita bandarini. Kugusa bandari ni kugusa maisha ya kila mtu. Ingeundwa kamati kukusanya maoni nchi nzima, sio kusema watu wakatoe maoni ukumbi wa Msekwa. Mwananchi wa Namtumbo anafikaje Msekwa?

5. Wananchi kataeni upuuzi huu. Mkinyamaza kwa kuona ni jambo la kisiasa msije kulia baadae. Maana mna "kaupuuzi" ka kunyamaza mkidhani waathirika ni wanasiasa tu. Utadhani bei ya petrol inapanda(ga) kwa wanasiasa tu. Siku yakiwachachia ndo mnaomba kupaziwa sauti. Ukikaa kimya usiombe kupaziwa sauti.
Mama Samia should be careful.
48hrs katika siasa ni very long!

Uzanzibari wa mama Samia hausaidii sana, actually ni liability.
Mbaya zaidi waziri wa ujenzi mzanzibari, Makame Mbarawa, inaufanya uamuzi huo mzito wa bandari kuwa na ukakasi.

Tulimpokea mama Samia kwa bashsha, lakini it seems she has taken us for granted.

Mama Samia be careful, kujinasua hapo inahitaji maelezo ya kina, G55 is round the corner
 
Bunge DHAIFU la CCM limepitisha azimio la kubinafsisha bandari ya DSM kwa kampuni ya DP World ya Dubai kwa miaka 100 hadi 2123.

#MyTake:
1. Maamuzi haya yamelenga kunufaisha watu wachache na kufuta urithi kwa vizazi vijavyo. Mwaka 2123 hakuna yeyote kati yetu atakayekua hai. Maana yake tumeamua kuwaachia msalaba wajukuu zetu ambao hata hawajazaliwa.

Unadhani Nyerere alishindwa kubinafsisha madini, bandari, mbuga za wanyama? Angeweza but alifikiria vizazi vya baadae. Ila sisi tumeamua kuuza urithi wa vizazi vyetu kwa tamaa ya muda mfupi. Tukikubali huu ujinga wajukuu zetu watapiga viboko makaburi yetu.

2. Kagame aliwahi kutukejeli tumpe bandari ya DSM atupe nusu ya bajeti ya nchi kila mwaka. Tukaona ametudharau. Lakini leo tunajiuza "cheap" kwa waarabu. Hakuna cha nusu wala robo ya bajeti. Kama tumeshindwa kuendesha bandari si bora tungempa Kagame, maana heri mwendawazimu uliyemzoea kuliko kichaa mpya.

3. Kampuni ya DPWorld inatuhumiwa "kupora" bandari nchi mbalimbali kwa kigezo cha uwekezaji. Bandari ya Sarubaya (Indonesia), Batangas (Ufilipino), Palao (Peru), Dakar (Senegal), bandari ya Djibout etc. Huko kote vimebaki vilio. Badala ya kujifunza, tumejipeleka kichwakichwa tukale za uso.

4. Katika kuonesha jinsi bunge lilivyo DHAIFU, limetoa siku 1 tu wananchi kutoa maoni yao. Yani jambo litakaloathiri maisha yetu na vizazi vyetu kwa miaka 100 ijayo litolewe maoni siku 1? Hawa watu wana kichaa? Halafu maoni yatolewe ukumbi wa Msekwa, uliopo bungeni. Ebo.!

Bandari inagusa maisha ya kila mtu, kuanzia mkulima wa Runzewe hadi Mwalimu wa Ludewa. Magari, mafuta, vyakula, nguo, pembejeo vinapita bandarini. Kugusa bandari ni kugusa maisha ya kila mtu. Ingeundwa kamati kukusanya maoni nchi nzima, sio kusema watu wakatoe maoni ukumbi wa Msekwa. Mwananchi wa Namtumbo anafikaje Msekwa?

5. Wananchi kataeni upuuzi huu. Mkinyamaza kwa kuona ni jambo la kisiasa msije kulia baadae. Maana mna "kaupuuzi" ka kunyamaza mkidhani waathirika ni wanasiasa tu. Utadhani bei ya petrol inapanda(ga) kwa wanasiasa tu. Siku yakiwachachia ndo mnaomba kupaziwa sauti. Ukikaa kimya usiombe kupaziwa sauti.
Duh
 
Usiwe mjinga wa KUKARIRI....

Kwani ni wote wanaowapa jirani watoto wao huangukia patupu?!!![emoji15]
Bila kupepesa macho ujinga unaanzia kwako punguani mkubwa ,ukiongea kawaida mtu hawezi kuelewa, bila shaka wewe ndiye walikutupia huko ukalelewe
 
Huna ujualo....kalaghabaho.....

Mh.Samia ni mzalendo kukuzidi wewe hapo na ndio maana taifa limeridhia awe rais wetu.....bambash
Kalaghabaho ni wewe na mamako tu. Hebu dhihirisha uzalendo wake hapa kwanza kabla ya kuanza kutukana tukana
 
Tanzania ni mali ya CCM...

Ni hadi pale ambapo wananchi watapoidhoofisha na kuipiga chini CCM, ndipo Tanzania itakuwa ya Watanzania...
 
Kwanza zilipigwa pasi nyingi sana katikati ya uwanja kwa kutoa motisha kwa yanga mara kununua magoli nikajisemea moyoni sio Bure kunakitu. Leo wakaja na mkeka wa wakurugenzi na maDas. [emoji119]
Wanaleta ili msijadili ya maana tuje shituka hakuna pakushika, mnakumbuka tozo, tulishitukia tunalia
 
Back
Top Bottom