Tanzania inatumia teknolojia ya miaka 21 iliyopita katika Telecommunication Industry

Tanzania inatumia teknolojia ya miaka 21 iliyopita katika Telecommunication Industry

Mkuu ni kweli suala la vifurushi Mifumo inatofautiana baina yetu na yao, yote ina advantage zake, ila kusema tunatumia tech za miaka 21 iliopita si sahihi.

1.japo tumerudi nyuma suala zima la mobile network awamu iliopita, ila kabla ya Hapo tulikuwa ni viongozi even kwa level za Dunia, mwaka 2012 Tayari tuna 4g, wakati 4g ni changa, na sio tu tuna 4g Bali tulikuwa na Vifurushi vya Unlimited vya kutosha, mfano smile walishika sana maofisi mengi na 4g unlimited.

2.hatukuishia hapo tuliiupgrade 4g yetu kwenda lte advance, kuanzia Tigo, voda, Halotel etc zote ukawa unapata speed ya maana, na Tigo coverage yao ilifikia Miji yote Tanzania nzima.

3.kwenye 5g tumerudi nyuma, Nchi nyingi Hadi za Africa Nyengine zimetupita na hili linaeleweka.

4. Kuhusu Broadband za majumbani na wifi ni kweli tupo nyuma sana, fiber zinapatikana kwenye majiji makubwa tu, Tena katikati, ukitoka nje kidogo hakuna Access.

Nafkiri hao jamaa walidhani tunatumia Adsl ama dial up connection, tech ya kizamani ya mitandao ya simu,
Heshima yako yako Mkuu.

Kwa mara ya kwanza leo naomba nitofautiane na wewe kidogooo kuhusu hizi 3g na 4g.

Binafsi hizi 3g na 4g naona kwa hapa kwetu Tanzania kuna kiini macho kinachochezwa na network providers. Yaani nahisi kuna maeneo hawa voda na nduguze wanaandika 4g lkn in reality ni 3g au wanaandika 3g lkn in reality 2g.

Kwa nini??

Unaweza kuwa mahali(hata katikati ya miji) ukaona ni 3g lkn kunakuwa na ufanisi mdogo sana wa 3g. Kwa mfano unaweza kuwa na 3g lkn hata WhatsApp video calls zinakuwa zinakatakata na quality mbovu. Wakati mwingine hata hiyo 4g inakuwa na ufanisi kidogo sana.

Wakati mwingine unaweza usione tofauti ya 3g na 4g.

Mkuu kama utaweza kutufafanulia hiyo hoja yangu, basi ifafanue kwa lugha nyepesi ili hata Sisi walaji wa kawaida tuelewe.
 
Kuna mambo hapo si kweli na mengine ni kweli swala la kuwa tunatumia tech ya miaka 20 iliyopita naweza kusema hapana ukweli kwa maana umeshindwa ku indicate kwa mantiki ipi iyo tech tunayotumia ila tu wazungu walipo tuzidi ni vitu kama 5G ambavo hata kwao vimekuwa implemented Practically recently kingine pia Broadband hawa wenzetu wapo mbali sana upande wa fiber almost nyumba zao nyingi kuna Fiber huingia ambapo through wired connection unaweza ku archive high speed na kuweza kucheza vitu kama game online au netflix yale smoothly, Sisi fiber ipo kwenye majiji machace ila pia public wife ni chache sana
Mimi ni mtaalam wa umeme ivo nimeshangaa kaa na watu wa telecom na Computer science wa nje

Mtaalam wa umeme anzisha mada yetu ya umeme
 
Haikuwa research just conversation kama nilivyoshare so after 21 years ndio kujiuliza maswali niliyoambatanisha.

Ww hujaelewa kitu. Watu wanataka kupinga kuwa umeongea na waandamizi wa mitando mikubwa ya simu kama ilivyoitaja sasa wanakuzunguka tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heshima yako yako Mkuu.

Kwa mara ya kwanza leo naomba nitofautiane na wewe kidogooo kuhusu hizi 3g na 4g.

Binafsi hizi 3g na 4g naona kwa hapa kwetu Tanzania kuna kiini macho kinachochezwa na network providers. Yaani nahisi kuna maeneo hawa voda na nduguze wanaandika 4g lkn in reality ni 3g au wanaandika 3g lkn in reality 2g.

Kwa nini??

Unaweza kuwa mahali(hata katikati ya miji) ukaona ni 3g lkn kunakuwa na ufanisi mdogo sana wa 3g. Kwa mfano unaweza kuwa na 3g lkn hata WhatsApp video calls zinakuwa zinakatakata na quality mbovu. Wakati mwingine hata hiyo 4g inakuwa na ufanisi kidogo sana.

Wakati mwingine unaweza usione tofauti ya 3g na 4g.

Mkuu kama utaweza kutufafanulia hiyo hoja yangu, basi ifafanue kwa lugha nyepesi ili hata Sisi walaji wa kawaida tuelewe.

Kaka unatofautiana na chief kwa ujinga wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti hizi 4G wanaadika labda kama Simu zetu wanatengeneza hao Vodacom. Simu inajua huu ni mtandao gani inadisplay sasa kusema wanaandika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani wewe ukiweka sukari mdomoni huijui??

Mtandao ni kweli ni 4G ila issue ya speed ndio itadepend sasa ww kushindwa kudownload au kufanya video calls haibatilishi mtandao kutokuwa 4G
 
Maelezo yako hayajitoahelezi, umeshindwa kujustify kusema Tz inatumia teknolojoa ya miaka 21 nyuma wakati kwa sasa Tz inatumia teknolojoa ya 4G
 
Wenzetu wa Marekani na duniani kwa ujumla walishazima GSM/ 2G. Kuna nchi ukienda hata Huduma ya SMS zilishafutwa mudaaa. Jamaa nachosema tunatumia Tech ya 21 Years ago ni kweli

Kuna Mkorea wangu alishangaa sana Nilivyokua naunga vifurushi. Hata tu *102# alikua anaishangaa simu yake ukiuliza salio inapiga badala ya kurequest kama za kwetu. Yeye huduma zote zinaishia kwenye App

Vidacom nimeona wana app ipo poa inaonyesha salio la vifurushi na huduma nyingine.

Pia lazima ukubali tupo nyuma. tena zaidi ya hiyo miaka 21.
Ukitaka kuona ni TCRA waamuru mitandao ya simu Izime 2G. ndio utajua kuwa tupo nyuma. Nchi yetu hadi leo kuna sehemu hazina 3G sasa huoni kama tupo matakoni mwa dunia??

Hivyo Vi4G vya uongo vya Mijini ambapo ukitembea kilometer 3 vinapotea visikusumbue.
Bado tupo nyuma sana.
Kama tungekuwa na uwezo wa kupata 3G ya marekani basi hatuna haja ya 4G hii tunayotumia kwa miaka 10 mbele ndo tukawa na Demand ya 4G
USA wamezima 2g na Hawana coverage ya 4g nchi nzima, ni decision ya kibiashara zaidi kuliko ya kimaendeleo.

Inapunguza cost na kuwapa faida zaidi. Lakini inaumiza zaidi watu ambao hawaishi mjini. Ndio maana kwa USA starlink ni big issue inatoa coverage kwa maeneo mengine.

Zipo Nchi zinazoweza kubrag kuhusu Mobile data mfano hao wa korea, Ulaya maeneo ya Scandinavia, Japan etc, hawa wana coverage kila mahala na speed ya maana, ila sio USA.

Angalia hizi data

Pamoja na 5g average speed ya Mobile data ni 40mbps ambayo easly unaipata ukiwa Tanzania eneo lililo covered na 4g.

Kipindi cha nyuma kidogo kwenye 4g walikuwa wanaaverage around 20mbps ambayo ni speed ya kawaida sana kibongo bongo.

Kwa mobile data Tanzania tupo vizuri aisee.
 
Heshima yako yako Mkuu.

Kwa mara ya kwanza leo naomba nitofautiane na wewe kidogooo kuhusu hizi 3g na 4g.

Binafsi hizi 3g na 4g naona kwa hapa kwetu Tanzania kuna kiini macho kinachochezwa na network providers. Yaani nahisi kuna maeneo hawa voda na nduguze wanaandika 4g lkn in reality ni 3g au wanaandika 3g lkn in reality 2g.

Kwa nini??

Unaweza kuwa mahali(hata katikati ya miji) ukaona ni 3g lkn kunakuwa na ufanisi mdogo sana wa 3g. Kwa mfano unaweza kuwa na 3g lkn hata WhatsApp video calls zinakuwa zinakatakata na quality mbovu. Wakati mwingine hata hiyo 4g inakuwa na ufanisi kidogo sana.

Wakati mwingine unaweza usione tofauti ya 3g na 4g.

Mkuu kama utaweza kutufafanulia hiyo hoja yangu, basi ifafanue kwa lugha nyepesi ili hata Sisi walaji wa kawaida tuelewe.
Hio ni capacity, mtandao unakuwa na capacity fulani, mfano mnara Una capacity ya kuhudumia watu 1000, na mpo 10,000 Hilo eneo mtandao utakuwa slow.

Kuepuka Hilo kila siku nashauri watu humu
1. Hakikisha simu yako ina mimox2 ama mimox4 ili kuwasiliana na minara mingi Kadri unavyoweza
2. Iwe na Lte advance Sababu wachache wana hii tech hakuwi na congestion.

Mfano mimi nipo Kkoo hii ni tigo ambayo kwa average wapo nyuma ya Halotel na Voda.

Screenshot_20210525-193059.png

Kuna watu hapa hapa Kkoo tigo inawasumbua, na hili ni Tatizo LA kifaa zaidi kuliko Mtandao.

47mbps hapo nina speed kuliko average 5G user wa USA.
 
Hio ni capacity, mtandao unakuwa na capacity fulani, mfano mnara Una capacity ya kuhudumia watu 1000, na mpo 10,000 Hilo eneo mtandao utakuwa slow.

Kuepuka Hilo kila siku nashauri watu humu
1. Hakikisha simu yako ina mimox2 ama mimox4 ili kuwasiliana na minara mingi Kadri unavyoweza
2. Iwe na Lte advance Sababu wachache wana hii tech hakuwi na congestion.

Mfano mimi nipo Kkoo hii ni tigo ambayo kwa average wapo nyuma ya Halotel na Voda.

View attachment 1797410
Kuna watu hapa hapa Kkoo tigo inawasumbua, na hili ni Tatizo LA kifaa zaidi kuliko Mtandao.

47mbps hapo nina speed kuliko average 5G user wa USA.

Mkuu natamani kujua hiyo mimox sijui kama kuna uzi wake
 
Mkuu natamani kujua hiyo mimox sijui kama kuna uzi wake
Mimo ni Aina ya Antenna ambayo huwasiliana na mnara zaidi ya mmoja, kirefu cha Mimo ni multiple input, multiple Output.

Simu ina Wasiliana na minara tofauti kwa pamoja na minara inawasiliana na Antenna tofauti kwenye simu.

Block-diagram-of-MIMO-system.png


Sehemu kama mjini maghorofa kibao yana minara inasaidia.
 
Huyo ni specialist mshenzi ambae hana cinnection huyo ni takataka na tapeli. kama hawajui hao watajwa hapo juu anawajua akina nani sasa

Labda specialist wa kupika biriani
Nimetafuta jibu la kuweka hapa nimekosa. All in all it's cool 🙃
 
Marekani wanatumia bure sababu wachangiaji ni Sisi huku bara giza hole shit... ni sawa na umeme wa viwandani ni bei ghali na wa majumbani ni cheap so wenye viwanda wanachangia gharama za watumiaji wa umeme wa majumbani
 
Mimo ni Aina ya Antenna ambayo huwasiliana na mnara zaidi ya mmoja, kirefu cha Mimo ni multiple input, multiple Output.

Simu ina Wasiliana na minara tofauti kwa pamoja na minara inawasiliana na Antenna tofauti kwenye simu.

Block-diagram-of-MIMO-system.png


Sehemu kama mjini maghorofa kibao yana minara inasaidia.

Asante sana. pia umesema app hebu endelea kidogo
 
Back
Top Bottom