ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Tunalipa kodi wakaleHuku tunahimizwa sana na Mwigulu tulipe Kodi, Ila tusicho kijua hio kodi inatumika kugharamikia anasa za Watawala wa hili Taifa, huku wananchi wakiendelea kuwa masikini.
Hapo shida ipo kwa walipa kodi kwa kukubali hiyo hali wakati uwezo wa kupindua meza upo.
Wale wamepinda, huku Tanzania kuna Maiti, kwa mujibu wa Jomo KenyataIla waKenya kiboko
Mafisadi ni watu anawategemea wampigie kampeni anaweza vipi kuwawajibisha?Kwenye kushughulikia mafisadi hii nchi imeshindwa vibaya sana
Mkuu huku sisi ni maiti huenda tusiamke kamwe na hii ni furaha sana kwa watawalaKumbe inawekana watu wakiwa serious kuandamana? huku wanaongezeana posho na kuiba mali za umma
Ufisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi.Mafisadi ni watu anawategemea wampigie kampeni anaweza vipi kuwawajibisha?
Wakale na kufanya anasa kwa kodi zetu.Tunalipa kodi wakale
Mkuu, ili jimbo liwe na haki ya kuwa na Mbunge lina takiwa like na vigezo vipi? katika kuzingatia eneo na idadi ya wananchi ndani ya jimbo husika.Na baada ya hili linalo fuata Kenya ni kupunguza idadi ya Wabunge huenda uchaguzi ujoa Kenya ikawa na udadi ndogo sana ya Wabunge, make Raia walisha ona mzigo mkubwa uko kwenye kuendesha Serikali.
Huku tunawaza kugawa majimbo, ili kuendelea kuwapa watu ulaji.
Ufisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadiFisadi ajishughulikie mwenyewe?
MIMI NI MWANA CCM, JAMBO HILI LINAFIKIRISHA! 😈Haya mambo yanayo fanyika Kenya huku yanawezekana? Tuzungumzie tu hata Mashirika ya Umma yanayojiendesha kwa hasara na still yanakumbatiwa na kupewa pesa za walipa kodi.
View attachment 3034252
Bajeti ya mwaka huu ya kununua magari ya Kifahari ya Serikali ni kubwa kuliko bajeti ya wizara kama 3 hivi.
Ni lazima tukate huu uhuni.
SureUfisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi
Ni aina ya fursa za ajira.Kuna mtu aliwahi kuibua hoja, mkoa mmoja unakuta unatoa wabunge mpaka watano? Wa nini? Bado kuna viti maalumu wa nini?
Hao ambao wanakosa nafasi hizo wanafanya kazi gani mtaani? Man hiyo ni very weak pointNi aina ya fursa za ajira.
Unadhani Kama viti maalumu visingekuwepo wale maalumu wanhekuwa na kazi gani mtaani?
JPM alipofanya hivyo tukasema ni dikiteta! Kwa nini tuwe vigeu gegu?Leo mchana Ruto anajindaa kwa kile kinacho aminika ni hotuba ya kupunguza baadhi ya mawaziri wake na kuunganisha baadhi ya wizara ili kubana matumizi ya pesa za walipa Kodi wa nchi ya kenya ambao ndio wanaoumia na mzigo mkubwa wa kuendesha Serikali.
======
View attachment 3034286
Kwa Tanzania hali ni tofauti, huku tunahimiza kulipa kodi ambayo sana inatumika kuendesha Serikali hasa hasa kununua Magari ya anasa.
Tuna hadi Naibu waziri mkuu cheo cha mchongo ambacho hakipo kikatba ila kimewekwa kwa sababu za siasa na mzigo tunabeba sisi.
Ukiachana na hayo bado tuna Baraza la Mawaziri kubwa sana na sana limekaa kimchongo sana.
Tanzania tuna Baraza kubwa sana la Mawaziri nazani kiliko hata Kenya ilivyo, na baadhi ya wizara zimekaa kimchongo hazina maana yoyote ile zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi.
Huku tunahimizwa sana hata na mwigulu tulipe Kodi, Ila tusicho kijua hio kodi inatumika kugharamikia anasa za Watawala wa hili Taifa, huku wananchi wakiendelea kuwa masikini.
Na Watawala hawako tayari kupunguza Mzigo wa Baraza la mawaziri kwa sababu limekaa kisiasa hasa kulipana fadhila.
Hajafanya hayo kwa kupenda ,,,huku presha ya wananchi huku presha ya wanaodai mikopo,,,,angekua na hizo akili mapema asingefikia huko, hata ule muswada ulikua kutokana na presha ya madeni japo na wao walitaka wapite humohumo kula,,kwa sasa hana namna lazima apunguze bajet akwepe kufilisika maana deni pia ni kubwaLeo mchana Ruto anajindaa kwa kile kinacho aminika ni hotuba ya kupunguza baadhi ya mawaziri wake na kuunganisha baadhi ya wizara ili kubana matumizi ya pesa za walipa Kodi wa nchi ya kenya ambao ndio wanaoumia na mzigo mkubwa wa kuendesha Serikali.
======
View attachment 3034286
Kwa Tanzania hali ni tofauti, huku tunahimiza kulipa kodi ambayo sana inatumika kuendesha Serikali hasa hasa kununua Magari ya anasa.
Tuna hadi Naibu waziri mkuu cheo cha mchongo ambacho hakipo kikatba ila kimewekwa kwa sababu za siasa na mzigo tunabeba sisi.
Ukiachana na hayo bado tuna Baraza la Mawaziri kubwa sana na sana limekaa kimchongo sana.
Tanzania tuna Baraza kubwa sana la Mawaziri nazani kiliko hata Kenya ilivyo, na baadhi ya wizara zimekaa kimchongo hazina maana yoyote ile zaidi ya kuongeza mzigo kwa wananchi.
Huku tunahimizwa sana hata na mwigulu tulipe Kodi, Ila tusicho kijua hio kodi inatumika kugharamikia anasa za Watawala wa hili Taifa, huku wananchi wakiendelea kuwa masikini.
Na Watawala hawako tayari kupunguza Mzigo wa Baraza la mawaziri kwa sababu limekaa kisiasa hasa kulipana fadhila.
Aaahaa🤣🤣huku wabunge wa chama pendwa wakionekana wanagombana sana kuhusu jimbo serikali inatenga yanakua majimbo mawili ili tu hao wanao pigana kila mmoja aingie ale keki ya taifa🤣🤣Acha nile mchembe mm msukuma
Sugu vs. Tulia🤣🤣huku wabunge wa chama pendwa wakionekana wanagombana sana kuhusu jimbo serikali inatenga yanakua majimbo mawili ili tu hao wanao pigana kila mmoja aingie ale keki ya taifa🤣🤣Acha nile mchembe mm msukuma
JPM alifanya nini?JPM alipofanya hivyo tukasema ni dikiteta! Kwa nini tuwe vigeu gegu?