Tanzania is a dictatorship country than Uganda.

Watu wa chache kwa tamaa ya uongozi na umasikini wa fikra mnatufanya tunaishi kama wakimbizi katika inchi yetu kwanini?
Anko so umeamua kujibu hata visivyokuhusu..una stress na we unaonesha ni mvivu.. Fanya kazi siasa haitakulishaa..
 
Hujui kuwa wiki iliyoisha Jana tu katekwa MDUDE na Wakili wa kujitegemea ?
Kupelekwa polisi siku hizi ni kutekwa??? Aiseee tafuteni ajira muuwe bize mambo ya kushinda vijiweni ndio mnajipa stori ka hizoo???
 
Kashtaki Anko ruksaa
 
Hujitambui ni mtumwa wa fikra mijitu aina yako itaifanya Africa isiendelee miaka mamilioni maana mpo wengi mnafikiri kwakutumia miguu badala ya kichwa
Anayejitambua ni mzazi wako aliyekubali kumchanulia miguu mlevi ili abakwe
 
Nikisema Tanzania ni dictatorship country mnaona vibaya. On a sasa huyu jamaa alishikwa just because he said that your SGR is built using borrowed money na pia uchumi wenyu haikuwi kwa 7% venye your dictator is trying to say.

 
Punguza povu mkuu pambana na hoja sio mleta hoja!!
 
Nikisema Tanzania ni dictatorship country mnaona vibaya. On a sasa huyu jamaa alishikwa just because he said that your SGR is built using borrowed money na pia uchumi wenyu haikuwi kwa 7% venye your dictator is trying to say.

Hahahahaha, nchi inayowapiga risasi wananchi na kuwauwa kwasababu tu wanafanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, na nchi inayokamata watu upi ni udikteta mbaya zaidi?
 
Tundu was shot 16 times, luckily he didn't die.
Hahahahaha, nchi inayowapiga risasi wananchi na kuwauwa kwasababu tu wanafanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, na nchi inayokamata watu upi ni udikteta mbaya zaidi?
 
Kumbe struggler gorge pia mnajenga kwa deni?
Hahahahaha, nchi inayowapiga risasi wananchi na kuwauwa kwasababu tu wanafanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, na nchi inayokamata watu upi ni udikteta mbaya zaidi?
 
Tundu was shot 16 times, luckily he didn't die.
Yes one people was injured in Tanzania vs 70 people killed in Kenya, which is a dictatorial country?
 
Ni one person not one people. Ama hiyo pia umetoa google?
 
Nenda ukagoogle alafu urudi. Wewe nakujua na kugoogle every word.
Usikimbie hoja, Tanzania MTU mmoja(Lisu), alijeruhiwa, Kenya watu 70 waliouliwa kwa risasi, wapi kuna udikteta wa kutisha?
 
Kenya haiko kwa list ya dictatorship countries.
 
Kenya haiko kwa list ya dictatorship countries.
Sawa tu, kwasababu maisha ya wakenya hayana thamani. Mtanzania mmoja akijeruhiwa, dunia inajua na kupiga kelele, na kuiweka Tanzania katika list ya dictatorship, Ila Wakenya 70 wakiuliwa is normal na hakuna MTU anajali.
 
Sawa tu, kwasababu maisha ya wakenya hayana thamani. Mtanzania mmoja akijeruhiwa, dunia inajua na kupiga kelele, na kuiweka Tanzania katika list ya dictatorship, Ila Wakenya 70 wakiuliwa is normal na hakuna MTU anajali.
 
Total is seven of them, compare with this;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…