Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Mambo ya nchi yako umeyamaliza mpaka ujiingize kwa mambo ya watanzania?
Unateseka nini juu ya Tanzania?
Waachie watanzania acha kutokwa na shipa hawajakutuma uwasemee, wivu chuki unafiki na roho mbaya zako na wakenya wenzio zinawazidi kiwango sana hasa nyakati hizi mnapobanwa kende kuliko zama zingine....
Kutwa kuchwa hamuwachi kuwasema ssma watanzania na maisha yao, kama nchi yenu nzuri mithili ya Paradise ni heri kwenu kwani Tanzania imewazuia nini ninyi kula mema ya nchi yenu?
Waacheni wapumue na nchi yao pambaneni na unyang'au wenu wapuuzi ninyi msio faa hata urafiki....
Na katika watu watanzania wanapaswa kujihadhari nao kutokana na chuki zao za wazi ninyi wakenya ni namba moja maana hakuna jema mtatamani kuliona katika hii nchi isipokuwa daima mnatafuta namna ya kulidhoofisha hili taifa, nchi yenu haina uovu mbona mwaupamba?
Tanzania kama nchi ina madhaifu yake yanayopaswa kudaiwa na watanzania wenyewe sio kupitia ufedhuli na unafiki wenu, muwe na aibu wapuuzi ninyi...
Kila siku mnakuja na thread juu ya Tanzania kwani mnateswa na nini kwenye hii nchi? Mmeombwa usaidizi hata wa sima basi muwalishe watanzania? Kuna misaada yenu inapotea bure hata muumie kiasi hicho?
Tunajua furaha yenu ni uharibifu dhidi ya hili taifa hivyo hizi hoja zenu mnaleta leta kujifariji na kutafuta namna ya kuishusha Tanzania ndani na nje ya Africa kwa namna yoyote kwakuwa kiundani kabisa mwajua mbali na jitihada zenu za ufedhuli hii nchi ni kikwazo kwenu kwani imejaaliwa kuwazidi..
Wivu dhidi ya Tanzania ukizidi kuwapelekea ukichaa wakenya. Na inafahamika mko tayari kuungana na adui yoyote dhidi ya Tanzania ili mjione mko juu.
Poleni sana..
Unateseka nini juu ya Tanzania?
Waachie watanzania acha kutokwa na shipa hawajakutuma uwasemee, wivu chuki unafiki na roho mbaya zako na wakenya wenzio zinawazidi kiwango sana hasa nyakati hizi mnapobanwa kende kuliko zama zingine....
Kutwa kuchwa hamuwachi kuwasema ssma watanzania na maisha yao, kama nchi yenu nzuri mithili ya Paradise ni heri kwenu kwani Tanzania imewazuia nini ninyi kula mema ya nchi yenu?
Waacheni wapumue na nchi yao pambaneni na unyang'au wenu wapuuzi ninyi msio faa hata urafiki....
Na katika watu watanzania wanapaswa kujihadhari nao kutokana na chuki zao za wazi ninyi wakenya ni namba moja maana hakuna jema mtatamani kuliona katika hii nchi isipokuwa daima mnatafuta namna ya kulidhoofisha hili taifa, nchi yenu haina uovu mbona mwaupamba?
Tanzania kama nchi ina madhaifu yake yanayopaswa kudaiwa na watanzania wenyewe sio kupitia ufedhuli na unafiki wenu, muwe na aibu wapuuzi ninyi...
Kila siku mnakuja na thread juu ya Tanzania kwani mnateswa na nini kwenye hii nchi? Mmeombwa usaidizi hata wa sima basi muwalishe watanzania? Kuna misaada yenu inapotea bure hata muumie kiasi hicho?
Tunajua furaha yenu ni uharibifu dhidi ya hili taifa hivyo hizi hoja zenu mnaleta leta kujifariji na kutafuta namna ya kuishusha Tanzania ndani na nje ya Africa kwa namna yoyote kwakuwa kiundani kabisa mwajua mbali na jitihada zenu za ufedhuli hii nchi ni kikwazo kwenu kwani imejaaliwa kuwazidi..
Wivu dhidi ya Tanzania ukizidi kuwapelekea ukichaa wakenya. Na inafahamika mko tayari kuungana na adui yoyote dhidi ya Tanzania ili mjione mko juu.
Poleni sana..
Nobody complained when Rogo was killed, in fact almost all Kenyans appreciated the government for the good work. I myself am happy for the killing of Rogo and Makaburi.But the case of Azory nobody is happy Magufuli and his sycophants like you.