kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #241
Hapo umekosea kidogo, Russia hakwenda Syria Kama swaga, Bali pale Ni sehemu ya ulinzi wa bomba la gesi yake kwenda ulayaRussia alienda kumsaidia Syria nchi njaa kali hamna mafuta wala nini just kwa kujimwambafai na swagger sababu alijua wa US anatajiingiza
Ethiopian akiongea vizuri na Putin na Xi
Mwarabu atapotezea ishu yote vita