Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani.Pamoja na shida zote hizo, lakini utakuta majitu majinga yanayoipambania CCM ndio hao hao wanaopigika na shida hizi ziletwazo na ccm.
Unajiuliza hivi hawa wana akili timamu au wamelogwa? Maana haiwezekani ambaye zinamtosha kutenda hivyo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe ni kenge mkuu mshabiki wa chama chakavu bado hujasema ngoja mimi nilambe asali pambana na hali yako mbeya weweManyangau yanatukebehi.
Na tunastahili maana tuna viongozi wabinafsi mno.
Bado anaupiga mwingi, au umepasuka?Nimetoka kununua sukari 5,000/= kwa kilo nimeumia sana.
Asante kwa kuchangia.Wewe mwenyewe ni kenge mkuu mshabiki wa chama chakavu bado hujasema ngoja mimi nilambe asali pambana na hali yako mbeya wewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na bado mpaka akili zikukae uende kwenye maandamano mbeyaMadelu anazengua.
Paper economy!Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Yaani.
Halafu unakuta nao upinzania wanaingia maridhiano na watu wa aina hiyo wasiojali kabisa wananchi.
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Nani kama mamaDhiki ya Awamu hii sio Mchezo.
Waziri wa fedha alikuja mjini baada ya kufaulu form six,akili yake inawaza mikopo tu!Waziri gani wa Fedha huyu?
Wewe mwenyewe ni kadaYaani.
Halafu unakuta nao upinzania wanaingia maridhiano na watu wa aina hiyo wasiojali kabisa wananchi.
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Viatu alivyovaa mwamba wengi visingewatoshaKwenye hilo Mbowe alichemka sana. Sijui walikuwa wanaingia maridhiano kutafuta nini.
Nina hakika Mbowe mwenyewe atakuwa anajilaumu kwa kudanganyika.
Hatuwezi kumlaumu sana maana walimtaimu mara alipotoka jela. Jela, lazima inakutoa kwenye akili ya kawaida. Ndiyo maana wanapenda sana kuwapeleka jela wakosoaji ili wavurugikiwe akili waweze kuwa-win kiurahisi.
Hatukumchagua,Samia ametharau wananchi ,umeme hakuna,sukari hakuna yeye amekimbilia Ethiopia
Na bado mpaka unye mavii chakubanga wewe si ulichagua mwenyewe 2020Anakimbia majukumu kwa kujitungia tu safari zisizokua na mwisho.
Kaenda Vatican, kaunganisha Norway kaenda kwenye msiba na sasa yupo Ethiopia.
Huku nyumbani kuna waka moto.