Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

Pamoja na shida zote hizo, lakini utakuta majitu majinga yanayoipambania CCM ndio hao hao wanaopigika na shida hizi ziletwazo na ccm.
Unajiuliza hivi hawa wana akili timamu au wamelogwa? Maana haiwezekani ambaye zinamtosha kutenda hivyo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Yaani.

Halafu unakuta nao upinzania wanaingia maridhiano na watu wa aina hiyo wasiojali kabisa wananchi.
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Paper economy!
 
Yaani.

Halafu unakuta nao upinzania wanaingia maridhiano na watu wa aina hiyo wasiojali kabisa wananchi.

Kwenye hilo Mbowe alichemka sana. Sijui walikuwa wanaingia maridhiano kutafuta nini.

Nina hakika Mbowe mwenyewe atakuwa anajilaumu kwa kudanganyika.

Hatuwezi kumlaumu sana maana walimtaimu mara alipotoka jela. Jela, lazima inakutoa kwenye akili ya kawaida. Ndiyo maana wanapenda sana kuwapeleka jela wakosoaji ili wavurugikiwe akili waweze kuwa-win kiurahisi.
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Soon maji yataanza mgao na mafuta yatapanda Bei
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??

Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa uchumi wa nchi unaweza kukua bila umeme.

Ndugu yangu usiwaamini hawa wafia CCM, wamehitimu katika uwongo na hadaa. Hawa wanaweza kumhadaa ombaomba kuwa yeye ni tajiri sana, naye akaamini.
 
Kwenye hilo Mbowe alichemka sana. Sijui walikuwa wanaingia maridhiano kutafuta nini.

Nina hakika Mbowe mwenyewe atakuwa anajilaumu kwa kudanganyika.

Hatuwezi kumlaumu sana maana walimtaimu mara alipotoka jela. Jela, lazima inakutoa kwenye akili ya kawaida. Ndiyo maana wanapenda sana kuwapeleka jela wakosoaji ili wavurugikiwe akili waweze kuwa-win kiurahisi.
Viatu alivyovaa mwamba wengi visingewatosha
 
Samia ametharau wananchi ,umeme hakuna,sukari hakuna yeye amekimbilia Ethiopia
Hatukumchagua,

Yeye anaamini dodo lilimdondokea.

Tuendelee kupaza sauti kupitia maandamano ya Amani, huko ndiko kwenye majibu yetu wananchi.
 
Anakimbia majukumu kwa kujitungia tu safari zisizokua na mwisho.

Kaenda Vatican, kaunganisha Norway kaenda kwenye msiba na sasa yupo Ethiopia.

Huku nyumbani kuna waka moto.
Na bado mpaka unye mavii chakubanga wewe si ulichagua mwenyewe 2020
Jaman kazeni haswa mpaka wahame nchi
Mi nalamba asali tuu nipo mpakan huku sukar 2500 sijawah ona umeme umekatika huku

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom