ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
ππππ Trump ametupa rahaWe unaga akili kutopoka tu
Leta ukweli wako.Uongo
Sio kuongeza kodi, waache ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Tuna hela ya kuweza kujiendesha ila ndio tuna viongozi wabovu.Safi kwani shida Iko wapi? Serikali ongezeni Kodi watu wajiendeshe.
Hakuna Cha Bure
View: https://x.com/bbcswahili/status/1886678614504087805?t=mlv_Ow1cw5BUEr44uIq3yg&s=19
Amekupaje Raha, wew dada unashida San,yaan Kila kitu unajua wewππππ Trump ametupa raha
. Kazi ya serikali ni kuhakikisha jamii mambo yao yanaenda Sawa ( afya, maradhi na elimu) ... ( ndo utekelezaji wenyewe huo ukisikia serikali inazungumza kwenye π€,mara nyingi hizo hela haziendi serikalini moja kwa moja. Ni kupitia INGOs na local NGOs kwenda kwenye miradi katika jamii husika, ambapo design na utekelezaji wanashirikiana na serikali, lakini serikali nahisi mara nyingi haishiki hizo hela.
Sure mkuu. Upo sahihi sana..CCM wametupigisha sana maktaimu jangwani, hatukutakiwa kuwepo hapa
Maji ya sindano aka water for injection tunanunua India, Uganda siku hizi sijuhi Kairuki anatengenezaHatuna za Bure ila za kununua zipo,kwanza unajua kwamba tuna kiwanda vya hizo gloves hapo makambako?
Yaani MSD ambayo Ina tenda ya ku supply dawa zaidi ya Nchi 8 za Sadc inaweza kukosa vipi sasa hizo gloves?
Za Bure hazipo ila za kununua zipo
Maji gani hayo? Drips?Majinya sindano aka water for injection tunamuona India, Uganda siku hizi sijuhi Kairuki anatengeneza
Sisi wananchi ndo watatunyoosha,mtakatwa mpaka kodi ya kichwaHela za MSAADA tunalipa gharama za kampeni, tume isiyo na majibu ya kuchunguza kifo cha Mzee Kibao, Posho za Abduli etc tutanyooka awamu hii.
Nimerekebisha, water for injection mkuuMaji gani hayo? Drips?
Sijui ni kitu gani hicho ila hata hivyo tunatengeneza ndege hatuwezi shindwa vitu vidogo kama hivyo vya sindano π€£π€£ππNimerekebisha, water for injection mkuu
Wezi wako NGOs na wale mabosi huko wizarani wa kujilipa mahela ya Bure
Safi sana Trump FUTA hizo takataka zao ππ
View: https://x.com/Maina_Poultry/status/1886301394438685054?t=0xOi9-AnX516rP5tzMtgBQ&s=19
Mkataba ulisainiwa miaka 6 iliyopita wakati karani mkuu wa SADC akiwa mtanzania... π³Kazi inaendelea,hiyo video ni ya mwaka Jana
Ndio nimekwambia fuatilia video ya mwaka Jana kujua progressMkataba ulisainiwa miaka 6 iliyopita wakati karani mkuu wa SADC akiwa mtanzania... π³
Hiyo video nimeiona mkuu, imejaa bla bla za kujitetea tu. Kazi hiyo ya udalali inafanywa vizuri sana na maduka ya jumla private sector kuliko MSD.Ndio nimekwambia fuatilia video ya mwaka Jana kujua progress
Sijui ni kitu gani hicho ila hata hivyo tunatengeneza ndege hatuwezi shindwa vitu vidogo kama hivyo vya sindano π€£π€£ππ
View: https://x.com/InvestTanzania/status/1867121282241773709?t=Go5oUH9tt3uRVoA1tNL8IQ&s=19
Nenda duka la dawa, hospitali au zahanati yoyote iliyokaribu nawe, ulizia maji ya sindano, au sindano made in Tanzania (au MSD) ukipata nakurudishia gharama ulizotumia na bakshishi ya 50,000/=Sijui ni kitu gani hicho ila hata hivyo tunatengeneza ndege hatuwezi shindwa vitu vidogo kama hivyo vya sindano π€£π€£ππ
View: https://x.com/InvestTanzania/status/1867121282241773709?t=Go5oUH9tt3uRVoA1tNL8IQ&s=19
Kwani hayo maji ya sindano ni Msaada? Kama hayopo Nchi inaagiza kwa.pesa zetuNenda duka la dawa, hospitali au zahanati yoyote iliyokaribu nawe, ulizia maji ya sindano, au sindano made in Tanzania (au MSD) ukipata nakurudishia gharama ulizotumia na bakshishi ya 50,000/=
Nipo kwenye biashara ya medical/medicine supplies kitambo Tu....nawapongeza akina Kairuki pharmaceuticals ndio angalau bidhaa zao hasa maji ya drip (dextrose, Normal saline, RL) nayaona, MSD wanatengeza barakoa na sabuni ya maji baaaasi!
HahahaKwani hayo maji ya sindano ni Msaada? Kama hayopo Nchi inaagiza kwa.pesa zetu