Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo miaka 9 mingine tuandike maumivu.Yaani yule mwarabu aliyechukua pori tengefu loliondo bado hajaridhika.
Ile bendera kuweka kwa Ile tower ya dunia sio ya kawaida burebure.
Ila watu wa tamaduni ya kiarabu wakipewa madaraka ni kuuza nchi kwenda mbele.
Cheki gesi madini escrow tegeta downs na mengine mengi ni wao.
Na hawa ndio hata kwenye family level kazi ni kurithishana umasikini tu, toka kwa mababu hadi vitukuu ni umasikini tu, hakuna anaejali descendants wake wataishi vipi..Tatizo lako wewe ndiye mwenye mtizamo wa kimasikini hufikiri kesho,unafikiria njaa zako.
Kwahiyo wananyama wanauawa kisa ni predators? Au waharibifu? Kwanini tusiwaue tu Simba wote ili tubaki salama? Unaonaje hilo?Nyumbu sio wanyama waharibifu,hao sio predators.
Kwa hiyo tuhamishe watu kipisha wanyama wanaoongezeka,acha ujinga.
Akili kisoda hiyo utafanya wewe,sisi tunawapunguza kwa kuua na kuwapiga mnada.Kwahiyo wananyama wanauawa kisa ni predators? Au waharibifu? Kwanini tusiwaue tu Simba wote ili tubaki salama? Unaonaje hilo?
Siku hizi umepiga aboutun nini Stroke ?! Akili zinawaingia tartiibuMajibu ya safari ya Dubai hayo.
Kumbe hawauwawi sababu ni predators kama ulivyosema mwanzo, wala hawauwai kisa ni waharibifu kama ulivyosema mwanzo. Kumbe wanyama wanauwawa sababu ni wengi ili wapungue, sasa wanaposema Simba na Tembo ni endangered species na wamepungua kwa zaidi ya 70% katika kipindi cha miaka 50, huwa wanamaanisha nini?Akili kisoda hiyo utafanya wewe,sisi tunawapunguza kwa kuua na kuwapiga mnada.
Hata kama huhami, sasa umeelewa ni kwanini wapinzani wa ccm wanapiga kelele. Shangilia mama yako anafungua nchiSiwezi kuhama CCM. Haitokaa itokee.
Lion wamefall huko kwingine lakini Tzn inaongoza,ni nyumbani kwa nusu ya lions wote Duniani.Kumbe hawauwawi sababu ni predators kama ulivyosema mwanzo, wala hawauwai kisa ni waharibifu kama ulivyosema mwanzo. Kumbe wanyama wanauwawa sababu ni wengi ili wapungue, sasa wanaposema Simba na Tembo ni endangered species na wamepungua kwa zaidi ya 70% katika kipindi cha miaka 50, huwa wanamaanisha nini?
Lion population falls 68 percent in 50 years
Female lion with wildebeest kill in Tanzania. Photo by: Rhett A. Butler. African lions, one of the most iconic species on the planet, are in rapid decline. According to a new study in Biodiversity Conservation, the African lion (Panthera leo leo) population has dropped from around 100,000...news.mongabay.com
Kwani si huwa wanapewa quota za kuua wanyama kwa kila kitalu?Mbona fresh tu kwani wameanza kuua tembo leo?
Nimekuwekea takwimu hizo, watu wamefanya count ya Simba, wa Tanzania wakiwemo, tafiti zinaonyesha wamepungua kwa 70% katika kipindi cha miaka 50, unasema wamepungua kwingine kwa takwimu zipi?Lion wamefall huko kwingine lakini Tzn inaongoza,ni nyumbani kwa nusu ya lions wote Duniani.
Tunawafyeka kwa sababu wamezidi
Dubai for life wale jamaa wanapenda ngoz za wanyama wetu hatariMajibu ya safari ya Dubai hayo.
Simba na Tembo ni endangered species, hakuna any quota unaweza kumpa mtu ili auwe, na kwa rushwa ilivyotapakaa hatuna sababu ya kuamini kwamba watafuata hiyo quota, maana wako hatarini.Kwani si huwa wanapewa quota za kuua wanyama kwa kila kitalu?
Na hii haikuanza leo wala jana. Ndiyo maana kuna vitalu vinavyokodishwa
Uliwapunguza wewe?👇Nimekuwekea takwimu hizo, watu wamefanya count ya Simba, wa Tanzania wakiwemo, tafiti zinaonyesha wamepungua kwa 70% katika kipindi cha miaka 50, unasema wamepungua kwingine kwa takwimu zipi?