Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Kwahiyo wakizaliana wakawa wengi ni bora wafe kuliko kuwauza na kupata fedha nyingi zaidi? Tumieni vizuri vichwa vyenu.Hao si pesa inapatikana kupitia utalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wakizaliana wakawa wengi ni bora wafe kuliko kuwauza na kupata fedha nyingi zaidi? Tumieni vizuri vichwa vyenu.Hao si pesa inapatikana kupitia utalii
Uwindaji umekuwepo tangu awamu ya nyerere kuna wakati tu wanafunga dirisha lakini baada ya muda tena wanafungua yani mwa kifupi hapa hakuna jipya ni utaratibu wa kawaida kabisa hata wakati wa magufuli wanyama wamewindwa na kuuliwa na trophies zinachukuliwa.Tuko pamoja mkuu. Yaan sijui afisa wanyamapori anayelipwa laki tano akutane na milioni tano tumchape Simba kijana kweli anapingana na hilo? Ni suala la muda tu najua
Wewe Tanapa na Ncaa kazi zake kuu ni kuhifadhi wanyamapori tu for next generation na haifanyi ya uwindaji kabisa bali kuna Utalii wa macho na picha pia ni sehemu ya mafunzo na tafiti mbalimbali zihusuzo wanyamapori na mazingira yao.Professional hunters wanapopewa kibali cha kuwinda wanaambiwa kabisa aina ya mnyama watakaemuua na wanaambatana na wawindaji wa TANNAPA
Watu wapo mbali sana na uelewa wa jambo hili.Hv muwindaji kweli atajali huyu ni Simba Mzee au sio. Ngoja tuone coz mkishaamua mshaamua hata tungepiga kelele vipi.
Hapo hapo mwananchi mmoja huko Kijijini aliekamatwa na nyama ya swala mmoja kwa ajili ya wanae kafungwa miaka 20!!Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee.
Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.
View attachment 2160537
Kizazi kijacho unakijua wewe? Kitaishi kama unavyoishi wewe.Sasa kila mtu akitaka kupiga hicho kizazi kijacho kitaishi vipi.
Ndio tembo wameongezeka Sana kila siku wanaharibu Mazao ya watu.hao wanaenda kuua simba, tembo, vifaru, n.k sio digi digi ama viboko
Bbc wameongea na mh. Ndumbaro anethibitisha.Authenticity ya hii habari please...
Sababu ni stranger than fiction..., na hizo nyara zitakazopatikana baada ya kuua tembo anachukua nani ?
Nadhani hii habari ila walakini, hopefully ni upotoshaji
Tatizo lako wewe ndiye mwenye mtizamo wa kimasikini hufikiri kesho,unafikiria njaa zako.Kizazi kijacho unakijua wewe? Kitaishi kama unavyoishi wewe.
Endelea kuhangaikia kizazi kijacho na umaskini wako.
Na wewe ni kichwa uji nani kakwambia kwamba wingi wa tembo ndiyo sababu ya kuvamia na kuharibu mazao au makazi ya watu? unajua ecosystem ya tembo ilivyo? Mbona Nyumbu hawajavamia mashamba kama issue ni wingi wa wanyama? Shirikisha kiwiliwili chako ubongo wako. USIJIBU KWA MIHEMUKO.Una utoto mwingi Sana,unajua Tzn ninua ngapi Kwa tembo na Simba? Mara ngapi unasikia tembo wanaharibu mashamba na nyumba za watu?
Kwa taarifa yako Tzn inaongoza kwa tembo wengi Dunia shida wewe ni kichwa maji.
Ilitakiwa serikali ianze kuua nyumbu kama wewe
Vya kuja Tembo AKA endangered speciesHii nchi mkuu ina wajinga wengi kweli kweli.
Vitalu vya uwindaji vipo miaka yote sasa hapo kuna jipya gani
Kwahio wakiwa wazee ndio wanawekwa pamoja ili waweze kuwauwa..., na ikitokewa bahati mbaya tukaua na wadogo tutafungana mahakamani au ndio collateral damageBbc wameongea na mh. Ndumbaro anethibitisha.
*Ikumbukwe ni manyama wazee tu
Nyumbu sio wanyama waharibifu,hao sio predators.Na wewe ni kichwa uji nani kakwambia kwamba wingi wa tembo ndiyo sababu ya kuvamia na kuharibu mazao au makazi ya watu? unajua ecosystem ya tembo ilivyo? Mbona Nyumbu hawajavamia mashamba kama issue ni wingi wa wanyama? Shirikisha kiwiliwili chako ubongo wako. USIJIBU KWA MIHEMUKO.
Wewe endelea na harakati za kizazi kijacho ngoja mimi nipige pesa.Tatizo lako wewe ndiye mwenye mtizamo wa kimasikini hufikiri kesho,unafikiria njaa zako.
Sio lazima tufanane,mimi na endelea kupiga hela bila kuharibu future za kizazi kijacho.Wewe endelea na harakati za kizazi kijacho ngoja mimi nipige pesa.
Point yangu ni kwamba, kunakuwa na utofauti ukiwawa chini ya usimamizi wa mkuu wa kituo na ukiuwawa bila usimamizi?Kama mimi ni simba au tembo sawaa waje kuniuwa.
Simba na Tembo wanaelekea kuwa extinct, halafu we unasema nini sijuiSikubaliani na suala la kuwahamisha wamasai kwenye maeneo yao. Lakini pia sioni maana ya kufuga simba na tembo wanaozaliana kwa wingi bila faida.
Ukishaanza kuwapiga risasi tembo na simba maana halisi ya asili inapotea, hao wanyama walitakiwa waachwe wafe kifo cha asili kama wanyama wengine wanavyokufa kiasili na still ngozi na pembe zingeuzwa tu na watalii wangeendelea kuwaona ili wajue tembo na simba wazee wanafananaje na fedha zingeingia serikalini kwa sababu serikali haigharamii matibabu, malazi wala chakula chao kwahiyo hakuna hasara kama wangeachwa, hoja ya kwamba wauliwe serikali ipate fedha sioni kama ina mashiko, ina maana kwingine kote kumeshindikana kupata mapato au kusimamia vema vyanzo vya mapato mengine kwenye migodi gesi nkHivi vitalu vimetengwa maalumu kwa ajili ya kuendesha uwindaji kwa kulipia, na serikali inapata fedha kwa kupitia huu uwindaji kwenye vitalu