Sema wewe mkuuYaani hii jamii ya Tanzania ni ya kuoonea huruma kaka? Una tembo wazee, Simba wazee na wanyama wengine wazee then jamii inayozunguka wanyama hao hawana hata maji. Then mtu mwenye akili anaweka uhalali wa "kuvuna" wanyama hao ili jamii husika wapate maji yeye hataki? Kuna maana gani kuwa na Nyati milioni moja halafu unakufa kwa kukosa maji safi au Huduma nzuri za afya?
Afya ya akili yako ndiyo ikapimwe, umewahi kusikia kitu culling?Kwa kusema tu kwamba, unafahamu kwamba hao wanyama ni endengared species ila bado unataka wauwawe kwa manufaa ya pesa tayari inatia shaka ya afya yako ya akili.
Sawa. Idadi ya wanyama waliokuwepo miaka ya Nyerere sio sawa na iliyopo Sasa hata kama sinaidadi yake. Twendeni tu tutafika.Uwindaji umekuwepo tangu awamu ya nyerere kuna wakati tu wanafunga dirisha lakini baada ya muda tena wanafungua yani mwa kifupi hapa hakuna jipya ni utaratibu wa kawaida kabisa hata wakati wa magufuli wanyama wamewindwa na kuuliwa na trophies zinachukuliwa.
Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?Yaani hii jamii ya Tanzania ni ya kuoonea huruma kaka? Una tembo wazee, Simba wazee na wanyama wengine wazee then jamii inayozunguka wanyama hao hawana hata maji. Then mtu mwenye akili anaweka uhalali wa "kuvuna" wanyama hao ili jamii husika wapate maji yeye hataki? Kuna maana gani kuwa na Nyati milioni moja halafu unakufa kwa kukosa maji safi au Huduma nzuri za afya?
Tufanye sijawahi kusikia, hiyo inakutibu vipi akili yako wewe na kunifanya mimi kuhitaji kupimwa akili?Afya ya akili yako ndiyo ikapimwe, umewahi kusikia kitu culling?
Akili yangu iko sawa kabisa, wewe unayeona wenzako hawana akili ndiyo unatakiwa kupimwa. Ungejibu kwa hoja ndiyo ungekuwa sawa.Tufanye sijawahi kusikia, hiyo inakutibu vipi akili yako wewe na kunifanya mimi kuhitaji kupimwa akili?
It seems you have not understood what is being discussed. Should you be slave on your resources or your resources be slave for you? Who is better to live a lovely life; the old elephant or an old woman around the park. Do you have any idea about that business? Do you have any idea regarding financing national development? How many Tanzanians pay taxes (enough) to finance national development? Sometimes, we need to be wise enough in discussion like this.Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?
Mkuu naona watu ni kama hawana uelewa Wa mambo kuhusu wanyama pori uwindaji upo miaka sema kuna kipindi ujangili ulizidi wakastopisha baadhi ya vitalu ndio vinapigiwa mnadaHivi unajua kwamba shughuli za uwindaji wa kitalii zimekuwepo nchi hii kwa miaka mingi sanaa?
Umeniuliza kama nafahamu culling, nimekujibu sijui. Kuna hoja gani nyingine unataka ujibiwe? Ila nikakazia, hiyo inafanya vipi wewe kupona akili na mimi kuhitaji kupimwa akili? Ukizingatia, unafahamu hao ni endangered species ila bado unataka wauwawe, hivyo kutia shaka utimamu wa akili yako.Akili yangu iko sawa kabisa, wewe unayeona wenzako hawana akili ndiyo unatakiwa kupimwa. Ungejibu kwa hoja ndiyo ungekuwa sawa.
Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.Jangili si anayeua wanyama bila permit ya serikali?
Kwa hii habari inamaanisha serikali na hao wazungu nao hawana morals za kukemea majangili,
Wote wapo motivated na profit na sio mazingira
Hivyo vibali vya kuua endangered species ndivyo tunavyopinga visitolewe. Umeelewa?Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.
Ishu sio vibali, vibali si wanajipa tu.Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.
Nilisema TANNAPA nikimaanisha wahifadhi lakini nafahamu shughuli za uwindaji zinasimamiwa na TAWA ,game reserves pamoja na WMA'sWewe Tanapa na Ncaa kazi zake kuu ni kuhifadhi wanyamapori tu for next generation na haifanyi ya uwindaji kabisa bali kuna Utalii wa macho na picha pia ni sehemu ya mafunzo na tafiti mbalimbali zihusuzo wanyamapori na mazingira yao.
Utalii wa kuwinda ufanyika kwenye Mapori ya Akiba (Game Reserves)mf;Maswa GR,Ikorongo GR, Muyowosi Kigosi GR, nk. Huko ndo utakuta vitalu ambavyo viko chini ya TAWA
Naomba tofauti kati ya TAWA na game reservesNilisema TANNAPA nikimaanisha wahifadhi lakini nafahamu shughuli za uwindaji zinasimamiwa na TAWA ,game reserves pamoja na WMA's
Hebu waeleze basi hawa watanzania wasiojielewa watambue kuwa hata huko ngorongoro au mikumi sijui serengeti ni hifadhi ambazo zinasimamiwa na TANNAPA nahuko serikali hairuhusu shughuli za uwindaji wa kitalii.Wewe Tanapa na Ncaa kazi zake kuu ni kuhifadhi wanyamapori tu for next generation na haifanyi ya uwindaji kabisa bali kuna Utalii wa macho na picha pia ni sehemu ya mafunzo na tafiti mbalimbali zihusuzo wanyamapori na mazingira yao.
Utalii wa kuwinda ufanyika kwenye Mapori ya Akiba (Game Reserves)mf;Maswa GR,Ikorongo GR, Muyowosi Kigosi GR, nk. Huko ndo utakuta vitalu ambavyo viko chini ya TAWA
Regardless, tunapinga kwa nguvu moja ugawaji wa vibali na vitalu kwa ajili ya kuua endangered species. Kwanza unaua Simba na Tembo ili iweje? Absolute nonsense!Nilisema TANNAPA nikimaanisha wahifadhi lakini nafahamu shughuli za uwindaji zinasimamiwa na TAWA ,game reserves pamoja na WMA's
Trophies kama ngozi , kucha ,meno ,mkia n.kNaomba kuuliza hivi hivyo vitalu wao wakiua Simba wao wanachukua nini kwenye Simba?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Wanacuhukua trophies kama meno, mkia , ngozi, kucha n.kHebu mnisaidie kuuliza si ujinga hivi wanaua au simba kwa ajili ya nini ?
Kwahiyo unashauri hawa wanyama wazee tusiwavune tupate pesa tuwaache wajifie. Hii nchi tunachelewa maendeleo kwa sababu ya watu kama nyie ambao hamna akili.Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?