Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee

Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee

Yaani hii jamii ya Tanzania ni ya kuoonea huruma kaka? Una tembo wazee, Simba wazee na wanyama wengine wazee then jamii inayozunguka wanyama hao hawana hata maji. Then mtu mwenye akili anaweka uhalali wa "kuvuna" wanyama hao ili jamii husika wapate maji yeye hataki? Kuna maana gani kuwa na Nyati milioni moja halafu unakufa kwa kukosa maji safi au Huduma nzuri za afya?
Sema wewe mkuu
 
Kwa kusema tu kwamba, unafahamu kwamba hao wanyama ni endengared species ila bado unataka wauwawe kwa manufaa ya pesa tayari inatia shaka ya afya yako ya akili.
Afya ya akili yako ndiyo ikapimwe, umewahi kusikia kitu culling?
 
Uwindaji umekuwepo tangu awamu ya nyerere kuna wakati tu wanafunga dirisha lakini baada ya muda tena wanafungua yani mwa kifupi hapa hakuna jipya ni utaratibu wa kawaida kabisa hata wakati wa magufuli wanyama wamewindwa na kuuliwa na trophies zinachukuliwa.
Sawa. Idadi ya wanyama waliokuwepo miaka ya Nyerere sio sawa na iliyopo Sasa hata kama sinaidadi yake. Twendeni tu tutafika.
 
Yaani hii jamii ya Tanzania ni ya kuoonea huruma kaka? Una tembo wazee, Simba wazee na wanyama wengine wazee then jamii inayozunguka wanyama hao hawana hata maji. Then mtu mwenye akili anaweka uhalali wa "kuvuna" wanyama hao ili jamii husika wapate maji yeye hataki? Kuna maana gani kuwa na Nyati milioni moja halafu unakufa kwa kukosa maji safi au Huduma nzuri za afya?
Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?
 
Tufanye sijawahi kusikia, hiyo inakutibu vipi akili yako wewe na kunifanya mimi kuhitaji kupimwa akili?
Akili yangu iko sawa kabisa, wewe unayeona wenzako hawana akili ndiyo unatakiwa kupimwa. Ungejibu kwa hoja ndiyo ungekuwa sawa.
 
Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?
It seems you have not understood what is being discussed. Should you be slave on your resources or your resources be slave for you? Who is better to live a lovely life; the old elephant or an old woman around the park. Do you have any idea about that business? Do you have any idea regarding financing national development? How many Tanzanians pay taxes (enough) to finance national development? Sometimes, we need to be wise enough in discussion like this.
 
Ninavyojua maisha yangu yote niliyoishi porini kamwe mnyama haweziwindwa Ngorongoro hata awe anataka kukata roho ndani ya hifadhi hakuna atakufa na wanyama wengine watamla ila sio kuwindwa ndani ya hifadhi. Ila Luna vitalu vya uwindaji Wa kienyeji na kitalii huwa watu wanawinda miaka yote sema ni uwezo wako tu unalipia unaenda kuwinda kwenye maeneo maalum hayo ya uwindaji. Ndio maana kuna Game reserve na National parks na kuna TAWA, TAWIRI NA TANAPA
Hao wawindaji wako chini ya Tawa
 
Hivi unajua kwamba shughuli za uwindaji wa kitalii zimekuwepo nchi hii kwa miaka mingi sanaa?
Mkuu naona watu ni kama hawana uelewa Wa mambo kuhusu wanyama pori uwindaji upo miaka sema kuna kipindi ujangili ulizidi wakastopisha baadhi ya vitalu ndio vinapigiwa mnada
 
Akili yangu iko sawa kabisa, wewe unayeona wenzako hawana akili ndiyo unatakiwa kupimwa. Ungejibu kwa hoja ndiyo ungekuwa sawa.
Umeniuliza kama nafahamu culling, nimekujibu sijui. Kuna hoja gani nyingine unataka ujibiwe? Ila nikakazia, hiyo inafanya vipi wewe kupona akili na mimi kuhitaji kupimwa akili? Ukizingatia, unafahamu hao ni endangered species ila bado unataka wauwawe, hivyo kutia shaka utimamu wa akili yako.
 
Jangili si anayeua wanyama bila permit ya serikali?
Kwa hii habari inamaanisha serikali na hao wazungu nao hawana morals za kukemea majangili,
Wote wapo motivated na profit na sio mazingira
Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.
 
Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.
Hivyo vibali vya kuua endangered species ndivyo tunavyopinga visitolewe. Umeelewa?
 
Kwahiyo serikali na hao wazungu watakua wanawinda bila vibali (permit) kwahiyo nao ni majangili.
Ishu sio vibali, vibali si wanajipa tu.
Ishu ni kuzuia uwindaji kwa hoja kuwa wanalinda ikolojia na urithi wa dunia, kisha wao kujipa ruhusa ya kuua kwa ajili ya fedha
 
Wewe Tanapa na Ncaa kazi zake kuu ni kuhifadhi wanyamapori tu for next generation na haifanyi ya uwindaji kabisa bali kuna Utalii wa macho na picha pia ni sehemu ya mafunzo na tafiti mbalimbali zihusuzo wanyamapori na mazingira yao.
Utalii wa kuwinda ufanyika kwenye Mapori ya Akiba (Game Reserves)mf;Maswa GR,Ikorongo GR, Muyowosi Kigosi GR, nk. Huko ndo utakuta vitalu ambavyo viko chini ya TAWA
Nilisema TANNAPA nikimaanisha wahifadhi lakini nafahamu shughuli za uwindaji zinasimamiwa na TAWA ,game reserves pamoja na WMA's
 
Wewe Tanapa na Ncaa kazi zake kuu ni kuhifadhi wanyamapori tu for next generation na haifanyi ya uwindaji kabisa bali kuna Utalii wa macho na picha pia ni sehemu ya mafunzo na tafiti mbalimbali zihusuzo wanyamapori na mazingira yao.
Utalii wa kuwinda ufanyika kwenye Mapori ya Akiba (Game Reserves)mf;Maswa GR,Ikorongo GR, Muyowosi Kigosi GR, nk. Huko ndo utakuta vitalu ambavyo viko chini ya TAWA
Hebu waeleze basi hawa watanzania wasiojielewa watambue kuwa hata huko ngorongoro au mikumi sijui serengeti ni hifadhi ambazo zinasimamiwa na TANNAPA nahuko serikali hairuhusu shughuli za uwindaji wa kitalii.
 
Nilisema TANNAPA nikimaanisha wahifadhi lakini nafahamu shughuli za uwindaji zinasimamiwa na TAWA ,game reserves pamoja na WMA's
Regardless, tunapinga kwa nguvu moja ugawaji wa vibali na vitalu kwa ajili ya kuua endangered species. Kwanza unaua Simba na Tembo ili iweje? Absolute nonsense!
 
Hivi nchi hii hatuna maji sababu hatuuwi tembo na Simba ambao ni endangered species?! Tuna vyanzo vingapi vya mapato ambavyo tunaweza kuvitumia kuwapa wananchi maji? Madini mapato yake yanaenda wapi? Watu wanafanya kazi na wanazalisha na kukatwa kodi, kodi zinaenda wapi?
Kwahiyo unashauri hawa wanyama wazee tusiwavune tupate pesa tuwaache wajifie. Hii nchi tunachelewa maendeleo kwa sababu ya watu kama nyie ambao hamna akili.
 
Back
Top Bottom