Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Siku wakifahamu mmiliki halali wa KAMPUNI YA MeTL, ndio wataelewa kuwa HAYATI MWALIMU alikuwa ni MJAMAA au BEPARI wa kujificha ficha.Unauhakika?yaani MTU yupo madarakani Kwa Miaka 22 alafu familia yake ibaki kuwa masikini?kuna vitu bado hatujui nchi hii.
Unatumia nguvu na akili kuelimisha hii mipunguani ya Mbowe.Hebu tusiwe brainwashed jamani! Kua Wakili sio lazima uwe unasimama kutetea watu mahakamani! Jaji Joseph Sinde Warioba unajua kama ni moja ya Wakili hatari?? Je ulishawahi sikia kasimama mahakamani kutetea mtu au watu?? Kuna wanasheria ni wataalam wa sheria za majini,mipaka au katiba na wengine criminal na wengine biashara,kila sehemu wapo! Elewa hilo
Unauhakika?yaani MTU yupo madarakani Kwa Miaka 22 alafu familia yake ibaki kuwa masikini?kuna vitu bado hatujui nchi hii.
Nimewapiga 4G πππWeeeewe wacha weeee
Mimi nimesoma SHULE YA MSINGI inaitwa TOWN, maana yake ni MJINI. Kwahiyo mimi ni MTOTO WA DOWN TOWN..ππWeeeewe wacha weeee
Leteeeee MaaaneeeenooooMimi nimesoma SHULE YA MSINGI inaitwa TOWN, maana yake ni MJINI. Kwahiyo mimi ni MTOTO WA DOWN TOWN..ππ
Leteeeee Maaaneeeenoooo
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Inaonekana watu wa pwani wanazipenda sana familia zao haongera kwaoHii biashara inafanywa na watu wa pwani
Kesho kesho tu Maza atamteua Mama Magufuli kuwa mbunge. Huo ni utabiri wangu.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Mtoto wa Mama anaitwa nani nami nimtambue bandugu?Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Eeh, wanalamba asali ya nchi na watoto wao wanakwenda SHULE..Wanalamba asali ya nchi
Hao WATU walikuwa wanaleta UTANI na CHAMA CHA MAPINDUZI! CHAMA CHA MAPINDUZI ni CHAMA ππKesho kesho tu Maza atamteua Mama Magufuli kuwa mbunge. Huo ni utabiri wangu.
Nimewapiga 4G πππ
Nimewapiga 4G πππ
Unawatetea watu ambao hata ukimwambia mkate/ vitu vimepanda bei tuingie front anakuambia tangulia wewe. Siku ya kupiga kura wanaenda guest?Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?