Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Maisha ya kibongo / mtaani unaweza jiona umekuja kuwasindikiza tu wenzako.. sio mchezo kabisaHuku kwetu baba ni mkata mkaa...
Mama ni mama wa nyumban!!!
Na watoto hawataki shule...wanavuta bange tuu..
Kweli tupo dunia tofaut,