Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Ndio neema na baraka anazogawa Mungu kwa viumbe wake.why haijatokea kwa nyerere,kawawa,au mzee mangula?.tuwe wavumilivu nanyi siku moja itafika zamu yenu,sisi tunapumua na kutoa hoja JF kuna wengine wanapumulia mashine muhimbili,wengine hawajuwi wanakula nini? Leo na wengine wanauwana ukraine wanatamani wawe kama sisi ila haiwezekani, hayo yote hupangwa na Mungu na anamakusudi yake.cha msingi amani inalindwa tuendele kuchapa kazi maisha yaende.uwaza sana kwanini? Yule yuko vile utatenda dhambi bure ulitaka awe nani? Vile.tuwaombe watuongoze vema wasimwage damu za watu na kutenda haki
Waliozoea za kuchota za kudunduliza hawaziwezi ndio maana wanang'ang'ania humo , na peace of mind hamuna !!! Maisha ni shida tuu kama hakufanya haki !!
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Hizo familia kila siku zinasema watu wajiajiri na wakati wao ukoo mzima upo serikalini na tayari wana mitaji lakini hawataki kujiajiri
 
Hizo familia kila siku zinasema watu wajiajiri na wakati wao ukoo mzima upo serikalini na tayari wana mitaji lakini hawataki kujiajiri
Hayo ni maoni tu si sheria. Kama unaona wanaongea upuuzi unaendelea kutafuta kazi au unaingia kwenye siasa.
 
The way ulivyoandika pale juu nikajua wewe ni ke, pole mkuu
"Hayo ni maoni tu si sheria. Kama unaona wanaongea upuuzi unaendelea kutafuta kazi au unaingia kwenye siasa".

Unamaanisha maandishi haya yamesababisha ufikiri mm ni mwanamke?
 
Halafu kapuku kama mimi huku sina hata kakiwanja ili nijenge.Nipo hapa nahangaika kujichanga walau nipate sehemu nijenge aisee.

Mwenye mawasiliano ya brother Riziwan tafadhari. Mungu amsaidie moyo wa kutoa anisaidie nipate tu ardhi na wala si pesa.Ili niweze kulima na kujenga hapo.

Najua anao uwezo wa kunisaidia maana ndo naibu huko
Hautaushia hapo we bwege. Kama unafikiri kupewa ndio suruhisho. Ukipewa kiwanja,utafikiria upewe na hela ya kujengea. Hata upewe ya kujengea,utataka na ya kula,ukipewa nayo,utambembeleza awe anakupa kila mwezi. Suruhisho la vyote ni katiba nzuri yenye kutanzua hayo mambo ya kurishishana na kuifanya keki ya Taifa imfikie kila mmoja
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanakula Keki ya YAO kwani NCHI ni YAO
 
Hautaushia hapo we bwege. Kama unafikiri kupewa ndio suruhisho. Ukipewa kiwanja,utafikiria upewe na hela ya kujengea. Hata upewe ya kujengea,utataka na ya kula,ukipewa nayo,utambembeleza awe anakupa kila mwezi. Suruhisho la vyote ni katiba nzuri yenye kutanzua hayo mambo ya kurishishana na kuifanya keki ya Taifa imfikie kila mmoja
Bwege mama yako.

Jifunze kuwa muungwa acha lugha za matusi.Kama unaona mtu amekukwaza kwa comment baki kimya.

Kamvue mama yako chupi umchungulie shenzi wewe
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Uwivu tu Sasa kama baba ako alichagua Kuwa mcheza soka au hakutaka siasa shida iko wapi.... Ts all about ur family
 
Swali ni kwamba kwani watadhibitiwa na taasisi gani au sheria gani itawazuia , kama ni hivi hivi basi itakuwa hivi hivi tu hata waje chauma !!
Hata sasa unakuta zipo sheria zenye kukataza jambo fulani ila serikali ya ccm inalifanya hilo jambo au wanafanya kinyume na sheria inavyoelekeza.

Sasa wengine wana matumaini labda tukibadili na kuwaweka chadema kwa sababu wanaonekana kupigania wananchi basi wakiingia madarakani kila kitu kitakuwa sawa.
 
Back
Top Bottom