mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
By whom ??!The choosen one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
By whom ??!The choosen one
Peace of mind huwa haipatikani kwa kuwa na Mali wala nyadhifa !! Hicho ndicho kinachowatesa watu !!Bado kitambo kidogo nao watakuwa wa kawaida tu
Mwl alikoroga udongo akasemaaaaa ( usultani ufamle havina nafasi kwenye ardhi ya Tz)
Acha wajitutumue lakini muda ni mwalimu mzuri sana
Mkuu,Mnaosema katiba mpya itaondoa hili suala ni wajinga watupu, wapumbavu na malofa. Bila kujuana hakuna kula hiyo keki ya taifa CCM wala upinzani. Hapo upinzani wanaofaidi ni ndugu au watu wa karibu wa vigogo wa upinzani. Kwa mfano Lema katoka kijiji kimoja na Mbowe na wana undugu. Zitto alishikwa mkono na marehemu Sita. Wale Covid19 karibu wote utakuta kama sio mke au hawara wa kiongozi basi ni ndugu. Mi naona kama huwezi kutafuta connections zako mwenyewe zikaja kuwabeba kizazi chako basi kubali tu hizo familia ndo ziko hivyo na wanapambana kutoachia nafasi.
Vumilia mkuu,mi nimeamua kuwa mkimbizi ndani ya nchi yangu mwenyewe.Huku kwetu Baba mshona viatu
Mama mchoma vitumbua
Mimi muendesha boda boda
Sister Fundi chereani
Brother Balozi wa nyumba 10
Watoto wote shule vidumu ufagio hakuna aliyekatiza form 4.
Kuna siku hii familia yetu itatoa Mkuu wa Wilaya au Katibu Kata !.
Fred Lowassa ni mbunge wa Jimbo la monduli. Kaachiwa jimbo na baba yake.Mkuu,
Tatizo kubwa watu hawataki kuona uhalisia huu.
Halafu, watu wanatakiwa kujua Wanasiasa wote Ni Wale wale. Hakuna MALAIKA.
Hata ikitokea CCM ikatoka madarakani, kitakachoendelea Ni jina la chama tu, ila watu Ni wale wale.
Lowassa wa CCM ndiyo yule yule wa CDM.
Bible inasemq, palipo na mzoga ndipo wakusanyikapo TAI.
Chama chochote kitakachokuja kuingia madarakani, hata iqe CHAUMA huko huko ndiko wazee wa FURSA watakakohamia, maana kuhama Vyama Ni demokrasia na haki yake.
Kwahiyo, utakuwa Hawa watu unaokesha unatukana kumbe sababu wako CCM au chama usichokipenda na siyo kwamba wanachofanya hukipendi
Anyway, huwezi kutumia nguvu zako zote akili na maarifa kupigania maslahi ya mwanasiasa kuliko yako halafu ukaanza kushangaa kwanini mwanasiasa anafanikiwa kuliko wewe.Fred Lowassa ni mbunge wa Jimbo la monduli. Kaachiwa jimbo na baba yake.
Hali hii mwisho italeta changamoto kwenye jamii isipodhibitiwa.
Hao wanaishi kwa kodi zetu maisha yao yote bila kodi zetu hawawez kuendesha maisha na utawasikia wakiwaambia mjiajiriUnakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Kwani si amepigiwa kuraFred Lowassa ni mbunge wa Jimbo la monduli. Kaachiwa jimbo na baba yake.
Hali hii mwisho italeta changamoto kwenye jamii isipodhibitiwa.
Kusoma sana siku hizi sio tiket tena. Utaishia tu kaanzisha genge la nyanyaNa wewe pambana familia yako iishi kifalme.
Soma sana,
Fanya kazi kwa juhudi sana.
Tafuta konekeksheni sana,
Jipendekeze sana sehemu sahihi kwa wakat sahihi
AU
Pigani katiba mpya itakoyotoa fursa kwa yoyote mwenye talents na jitihada
Wananchi gani waliopiga kura?. Mpaka sasa kuna watu mnaamini bado kuna haki inatendeka kwenye sanduku la kura Tanzania hii?Kwani si amepigiwa kura
Na wananchi jimboni kwake hawana shida nae [emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Wanamonduli kama wako kimya hawasemi chochote ina maana wanamkubaliWananchi gani waliopiga kura?. Mpaka sasa kuna watu mnaamini bado kuna haki inatendeka kwenye sanduku la kura Tanzania hii?
Waambie hao! Tukiwawekea INSTAGRAM ACCOUNT za WAJUKUU watashangaa! WAJUKUU zao wanaishi POSH LIFE nchini MAREKANI 🇺🇲 na ULAYA 🇪🇺.Unauhakika?yaani MTU yupo madarakani Kwa Miaka 22 alafu familia yake ibaki kuwa masikini?kuna vitu bado hatujui nchi hii.