Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Wakati Mstaafu anatengeneza mtandao tangu akiwa chuoni wengine wakawa busy kutenegeza GPA…kila mtu atakula alipopeleka mboga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na GPA ina matter kaka, Mzee alipambana kutengeneza vyote viwili.
 
Sasa haiwezekani sote au familia zote zikawa na marais na wabunge na mawaziri, itakuwa hapatoshi, ni lazima wengine wawe madereva, waalimu, makuli, vibaka, viongozi wa dini , matapeli na wenye roho mbaya kama wewe pia hawakosekani,
Yaani ukipata huo ubunge au urais utadai ziada hivyo ndivyo walivyo wa dizaini hiyo pole sana
Endelea kupiga kazi huwezi jua
 
Babu yako kama alikuwa fala ni wewe tu,mfano Bush alikuwa rais,mtoto nae akawa rais mtoto mungine gavana,na Mbowe baba ake alimchangia Nyerere kwenda UN,Ndeasamburo alikuwa mbunge,mtoto wake mbunge viti maalumu na mkwe wake mbunge viti maalumu Mwinyi nyerere kikwete ni kama wachezaji tu
 
Mtandao una gharama zake boss....

Rejea ule wa mwaka 2003-2005 ulihusisha wakubwa kutoka pande muhimu kuanzia siasa,utumishi mpaka dini.

Hii mitandao ya kwetu huku chini inatusaidia Sana kutukwamua kwenye hali ya kimaisha tunayopitia huwezi kuifananisha na hiyo ya hao wakubwa.
Hujamuelewa! Rudia kusoma.
 
Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...

Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Sidhani.!
 
Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...

Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Mbona Ben hakuitwa mshamba na hakutoka kwenye tree yao?
 
Si ndo wewe umeamua kuja na id mpya baada ya mods kukuchosha kwa ban!..
Unajiita uvimbe na watakuvimbisha kinyama..[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaah
 
Maji Hufuata mkondo
Kuna familia baba daktari. Mama daktari. Watoto madaktari na wajukuu madaktari na wanawaandaa vitukuu kuwa madaktari.. nao wafalme?

Familia ya wanasiasa akiwaandaa watoto wake kuwa wanasiasa kuna shida gani? Au kwa kuwa wao wanajulikana?
 
Unafikiri Bush Junior aliupata urais wa Marekani kama Hussein Mwinyi alivyoupata wa Zanzibar?
Babu yako kama alikuwa fala ni wewe tu,mfano Bush alikuwa rais,mtoto nae akawa rais mtoto mungine gavana,na Mbowe baba ake alimchangia Nyerere kwenda UN,Ndeasamburo alikuwa mbunge,mtoto wake mbunge viti maalumu na mkwe wake mbunge viti maalumu Mwinyi nyerere kikwete ni kama wachezaji tu
 
Huku kwetu Baba mshona viatu
Mama mchoma vitumbua
Mimi muendesha boda boda
Sister Fundi chereani
Brother Balozi wa nyumba 10
Watoto wote shule vidumu ufagio hakuna aliyekatiza form 4.

Kuna siku hii familia yetu itatoa Mkuu wa Wilaya au Katibu Kata !.
Why not?,Tukiwa na katiba nzuri inawezekana kabisa
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Wote hao watu wa pwani, hapo hakuna wa bara.
 
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?

Utaumia ukifikiria sana, elewa tu kuwa mwenye / wenye nacho huongozewa maradufu ndiyo dunia ilivyo. Nimenukuu toka simulizi za maandiko toka vitabu vya enzi na enzi pia wahenga wa sasa wameniambia kwa mifano hai.
 
Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...

Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
Hivyo vifaranga ndio kama kina Sabaya Makonda na wasiojulikana sio?[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom