Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Umenena vema. Sio hao wahuni wanaona kama kuna mtu anapata wivu.

Kila raia awe na nafasi sawa,ili mradi anaouwezo.

Ikibidi pia kuweka some restrictions ili kuzuia ubebanaji.

Kwa mfano ukiwa rais, walau wanafamilia wako wasipate hizo nafasi za ubunge ama zile za uteuzi kwa kipindi fulani.
Acha roho mbaya yani hata kama wamejipambania na uwezo wano?

Wewe mlaumu babako tu
 
Ukitoka tofauti na hiyo tree hata kama ukawa Raisii utatukanwa mubashara ww ni mshamba na ikibid na awamu zako huzimalizi. Lile pigo la kifo cha mwongoza njia kwetu (wanyonge) ni sawa na kuku aliekuwa na vifaranga katikati ya msitu akaliwa na mnyama mkali, kisha vifaranga wakabaki msituni...

Maumivu ya hivyo vifaranga hayasimuliki pia maisha yao ni kama hayapo tena.
 
Mkuu hapo unamaama kwamba wanaofaidi kodi zetu kwa kiasi kikubwa hapa nchini ni hizo familia tatu tu.

Familia ya Jakaya Kikwete.

Familia ya Alhassan Mwinyi

Na Ya Rais Samia Suluhu.

Hapo upo sawa kabisa.
Yani chuki ni ulemavu na uchawi unanzia hapo
 
Acha roho mbaya yani hata kama wamejipambania na uwezo wano?

Wewe mlaumu babako tu

A751F280-E71D-422F-A9AC-ACB985280B00.jpeg
 
Wakati Mstaafu anatengeneza mtandao tangu akiwa chuoni wengine wakawa busy kutenegeza GPA…kila mtu atakula alipopeleka mboga

Mkuu naona wewe ni mtu wa REALPOLITIK tu. Hiyo mitandao ndiyo tena miundombinu ya ufisadi wa kimfumo nchini. Sijui unawachukuliaje watanzania wanaofoka na kulaani ufisadi na mafisadi nchini hasa nyakati za kampeni - naive idiots or hypocrites?
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na Mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , Mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Dah!!!, wakati kwetu Mimi Mwalimu wa Shule ya Msingi Shimo la Udongo, ndio nina kazi kubwa na ukoo mzima unanitegemea.Aisee life is not fair But God is fair and good all the time.
 
Huku kwetu baba ni mkata mkaa...

Mama ni mama wa nyumban!!!

Na watoto hawataki shule...wanavuta bange tuu..

Kweli tupo dunia tofaut,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ama kweli dunia msongamano.
 
Yani chuki ni ulemavu na uchawi unanzia hapo
Hakuna Chuki mkuu call it you may want its all about facts.

Nimejiunga JF 2012 tulikua tunpambania JK na mambo yake hapa awamu yake ikapita.

Akaja Magufuli naye the same.

Awamu ya tano inaisha 2025.

Mwenyenzi Mungu akijaalia tutaona itakuwaje baada ya hapo.

Ila ni vyema watu wakajifunza kutofautisha chuki na uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.

Unapozungumza jambo iwe linafurahisha au linakera lichukuliwe kama uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.
 
Life is not fair.

Umecheza na nani ukiwa mtoto? Umeenda shule gani ulipokuwa mtoto? Vyote hivi vinaweza kuamua hatma yako bila wewe mwenyewe kutaka. Taratibu tunajenga familia za viongozi na waongozwa. Pambana na wewe familia yako iingie kwenye channel au ndio it is what it is.
Ni vipi unafanya kama kila ukipambana unarudi na manundu ?!
 
Hakuna Chuki mkuu call it you may want its all about facts.

Nimejiunga JF 2012 tulikua tunpambania JK na mambo yake hapa awamu yake ikapita.

Akaja Magufuli naye the same.

Awamu ya tano inaisha 2025.

Mwenyenzi Mungu akijaalia tutaona itakuwaje baada ya hapo.

Ila ni vyema watu wakajifunza kutofautisha chuki na uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.

Unapozungumza jambo iwe linafurahisha au linakera lichukuliwe kama uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.

E8FEA642-01DA-4410-8C02-DB7AA7710C96.jpeg
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na Mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , Mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Pambana utoe ukoo wako mkuu, Bush baba alikuwa raisi na Bush mtoto akawa raisi, CLinton mume akawa raisi, na Hillary akawa waziri na kidogo awe raisi.
Shukuru Nyerere hakuwa na mawazo hayo la sivyo mpaka leo tungekuwa tunatawaliwa na ukoo wake. (Huenda wajukuu uwa wanamtukana kimya kimya kwa hili)
 
Pambana utoe ukoo wako mkuu, Bush baba alikuwa raisi na Bush mtoto akawa raisi, CLinton mume akawa raisi, na Hillary akawa waziri na kidogo awe raisi.
Shukuru Nyerere hakuwa na mawazo hayo la sivyo mpaka leo tungekuwa tunatawaliwa na ukoo wake. (Huenda wajukuu uwa wanamtukana kimya kimya kwa hili)
Hii biashara inafanywa na watu wa pwani
 
Back
Top Bottom