peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
-
- #81
Ongeza sauti mkuuHawana mshipa wa aibu
Wamepungukiwa mishipa mkuuOngeza sauti mkuu
Acha roho mbaya yani hata kama wamejipambania na uwezo wano?Umenena vema. Sio hao wahuni wanaona kama kuna mtu anapata wivu.
Kila raia awe na nafasi sawa,ili mradi anaouwezo.
Ikibidi pia kuweka some restrictions ili kuzuia ubebanaji.
Kwa mfano ukiwa rais, walau wanafamilia wako wasipate hizo nafasi za ubunge ama zile za uteuzi kwa kipindi fulani.
Yani chuki ni ulemavu na uchawi unanzia hapoMkuu hapo unamaama kwamba wanaofaidi kodi zetu kwa kiasi kikubwa hapa nchini ni hizo familia tatu tu.
Familia ya Jakaya Kikwete.
Familia ya Alhassan Mwinyi
Na Ya Rais Samia Suluhu.
Hapo upo sawa kabisa.
Acha roho mbaya yani hata kama wamejipambania na uwezo wano?
Wewe mlaumu babako tu
Wakati Mstaafu anatengeneza mtandao tangu akiwa chuoni wengine wakawa busy kutenegeza GPA…kila mtu atakula alipopeleka mboga
Dah!!!, wakati kwetu Mimi Mwalimu wa Shule ya Msingi Shimo la Udongo, ndio nina kazi kubwa na ukoo mzima unanitegemea.Aisee life is not fair But God is fair and good all the time.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na Mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , Mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Chuki itakupa maradhi weweeee acha kuhangaika na maisha ya watu utaroga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku kwetu baba ni mkata mkaa...
Mama ni mama wa nyumban!!!
Na watoto hawataki shule...wanavuta bange tuu..
Kweli tupo dunia tofaut,
Hakuna Chuki mkuu call it you may want its all about facts.Yani chuki ni ulemavu na uchawi unanzia hapo
Ni vipi unafanya kama kila ukipambana unarudi na manundu ?!Life is not fair.
Umecheza na nani ukiwa mtoto? Umeenda shule gani ulipokuwa mtoto? Vyote hivi vinaweza kuamua hatma yako bila wewe mwenyewe kutaka. Taratibu tunajenga familia za viongozi na waongozwa. Pambana na wewe familia yako iingie kwenye channel au ndio it is what it is.
Hakuna Chuki mkuu call it you may want its all about facts.
Nimejiunga JF 2012 tulikua tunpambania JK na mambo yake hapa awamu yake ikapita.
Akaja Magufuli naye the same.
Awamu ya tano inaisha 2025.
Mwenyenzi Mungu akijaalia tutaona itakuwaje baada ya hapo.
Ila ni vyema watu wakajifunza kutofautisha chuki na uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.
Unapozungumza jambo iwe linafurahisha au linakera lichukuliwe kama uhuru wa mtu kutoa mawazo yake.
Ataongezewa ! Na asiyenacho ???Mwenye nacho.....
Hata cha wiziAtaongezewa ! Na asiyenacho ??? cha kudhumumu au cha wizi
Pambana utoe ukoo wako mkuu, Bush baba alikuwa raisi na Bush mtoto akawa raisi, CLinton mume akawa raisi, na Hillary akawa waziri na kidogo awe raisi.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na Mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , Mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Hakuna cha Mungu yupo survival for the fittestMungu Yupo
Hii biashara inafanywa na watu wa pwaniPambana utoe ukoo wako mkuu, Bush baba alikuwa raisi na Bush mtoto akawa raisi, CLinton mume akawa raisi, na Hillary akawa waziri na kidogo awe raisi.
Shukuru Nyerere hakuwa na mawazo hayo la sivyo mpaka leo tungekuwa tunatawaliwa na ukoo wake. (Huenda wajukuu uwa wanamtukana kimya kimya kwa hili)