Tanzania kupokea mkopo wa dollar million 150

Hapo umeoneshwa madudu ya hayo mashirika ,unajidai kugeuza hoja....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Eti biashara, ufisadi wa fedha za serikali ndiyo Ufisadi....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Taja hizo biashara zilizokufa.
 
Ingekuwa white elephant zingeuzika? Mbona unaongea ujinga? Samia Scheme Hadi dakika hii Iko over 80% occupied.

Unajua why? Kwa sababu Samia amerudisha biashara.Subiria mataahira wengine waje baada yake utaona kitakachotokea tena.
Wewe upo Mbeya ,haujui hali ya soko la real estate ya Dar....
Maghorofa ya apartments na ofisi kibao yapo empty....

Eti Samia 80% limechukuliwa, ngoja ujenzi mishe ndiyo uone....

Biashara ipi iliyorudi zaidi ya upigaji.
 
Unauliza katoa wapi Pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hiyo mikopo inayochukuliwa kama Pipi hauioni....
Upo serious.
Unagewa data halafu unabaki kusema kwenda,kwenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiyo miradi wangeenda kukaa akina nani,,,
Unaweza kwenda lips kodi ya Millioni 2 kwa mwezi kwa ajili ya chumba kimoja cha kulala...
Wakati wengi wa watu wanamudu kodi za Alfu 50 hadi 100k kwa chumba.
 
Badala ya kutatua chanzo cha kushuka kwa thamani ya shilingi, wao wanaruhusu kupokea mkopo. Tanzania sihami.
 
Halafu zitaishia kubadilishwa na pesa yetu na kurudi hukohuko. Huu mkopo wa aina gani. Mm naomba Mungu nisiulipe. Hakuna kitu kubabaki hapa. Nashauri ununue trekta za kurahususha kilimo, madawa ya hispitalini na wakatiwe wananchi kupata BIMA YA AFYA.
 
Mwigulu ni first class economist. Anakopa dollar ili shillingi yetu iimarike kama ile ya kenya.
Economists kama yeye duniani wako wawili tu
Wataalam waje na mikakati ya uzalishaji kwenye kilimo na viwandani. Kukopa ili kuinusuru shillingi ni temporary measure. Unakabili vili shilingi dhidi ya dola kama huna cha kukuingizia dola?
Wachumi wawasaidie viongozi waache siasa.
 
Kama hizi takwinu ni za kweli
Basi nchi yetu Ina Hali mbaya
 
Hiyo miradi wangeenda kukaa akina nani,,,
Unaweza kwenda lips kodi ya Millioni 2 kwa mwezi kwa ajili ya chumba kimoja cha kulala...
Wakati wengi wa watu wanamudu kodi za Alfu 50 hadi 100k kwa chumba.
Saizi wanakaa kina nani? Unadhani Kila mtu maskini kama wewe?
 
Unauliza katoa wapi Pesa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hiyo mikopo inayochukuliwa kama Pipi hauioni....
Upo serious.
Unagewa data halafu unabaki kusema kwenda,kwenda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mikopo sio Misaada Wala pipi.Kwa nini mtu wenu hakuchukua mikopo Kila kitu kikafa?
 
Wewe upo Mbeya ,haujui hali ya soko la real estate ya Dar....
Maghorofa ya apartments na ofisi kibao yapo empty....

Eti Samia 80% limechukuliwa, ngoja ujenzi mishe ndiyo uone....

Biashara ipi iliyorudi zaidi ya upigaji.
Kwani hawatangazi? Yalikuwa empty wakati wa mtu wenu asiyekuwa na akili za Uchumi sio Kwa Samia
 
Hapo umeoneshwa madudu ya hayo mashirika ,unajidai kugeuza hoja....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Eti biashara, ufisadi wa fedha za serikali ndiyo Ufisadi....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Taja hizo biashara zilizokufa.
Wewe kima sekta ya ujenzi yote ilikufa,Majumba yalikuwa yanauzwa hovyo na banks,mabenki yenyewe kibao yaligilisika na kuwa na lundo la non performing loans,Kilimo lilikufa.

Vilio vya vyuma kukaza vilishamiri ,Ajira hakuna ,kupora wafanyabiashara na ujinga mwingi kama huo
 
Mabenki yanafanyia biashara pesa za serikali.
Yani watu wanafungua Fixed account kwenye benki binafsi na kuweka pesa za Halmashauri huko....

Kulikuwa na Kilimo gani enzi za kikwete πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mpaka useme kilikufa....
 
Kwani hawatangazi? Yalikuwa empty wakati wa mtu wenu asiyekuwa na akili za Uchumi sio Kwa Samia
Njoo ujionee Majengo yalivyotupu....
Palm Village tu ,ipo empty....
Apartments za Msasani zote zipo empty
Apartments za Kigamboni empty
Morocco square Empty

Hiyo miradi ni white elephants, Heri wawaletee Pembejeo Mbeya.
 
Sekta ya Ujenzi ilikufa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Leta miradi hata mitano ambayo imeleta faida kiuchumi kwa NHIF...
 
Saizi wanakaa kina nani? Unadhani Kila mtu maskini kama wewe?
Haina watu....
Na hiyo kauli yako ndiyo inaonesha unavyosema elimu nyuma na kuweka siasa mbele....
Unalenga miradi ya gharama ,huku ukijua zaidi ya 80% ya raia wako hawafikii hiko kipato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…