Tanzania kurudi Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

Tanzania kurudi Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

Naipendatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
5,096
Reaction score
8,234
Namnukuu waziri wa katiba na sheria hapa chini:

"Sio vizuri sisi tusiwe ndani ya Mahakama [ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu-AfCHPR] ikiwa ipo kwetu, Rais wake ni Mtanzania. Jambo la msingi tupeni muda serikali tutaonesha kwa matendo."- Waziri wa Katiba na Sheria, George Simbachawene.

Tanzania ilijitoa AfCHPR Desemba 2019 kwa sababu ambazo hadi sasa hazijawahi kuwekwa wazi.
 
Mother anaturudisha kwenye mstari taratibu, japo "wanyonge" wanampinga sana, hawapendi moves zake
Hao wanaojiita "Wanyonge" wamekuwa wakitumika kisiasa na kufanywa mitaji ya kisiasa..muda umefika sasa kwa wao kuzinduka kutoka usingizini.
 
Msifanye hii issue kuwa kubwa na kulaumu sijui nani mbona nchi nyingi duniani huwa zinajitoa na baadae zinarudi? Chuki zenu binafsi zinaonyesha udhaifu wenu wa kutumia akili mtaalamu mmoja Mtanzania alituambia kazi ya kichwa sio kufugia nywele tu
 
Hao wanaojiita "Wanyonge" wamekuwa wakitumika kisiasa na kufanywa mitaji ya kisiasa..muda umefika sasa kwa wao kuzinduka kutoka usingizini.
Kabisa Chief, inashangaza mtu anafurahia kuitwa mnyonge
 
Ccm naserikali ngesomesha watuwake uk_ndika huo wasingefanya aliyewatuma wajitoe Nani waje na majibu bwana kwann walijitoa
 
Msifanye hii issue kuwa kubwa na kulaumu sijui nani mbona nchi nyingi duniani huwa zinajitoa na baadae zinarudi? Chuki zenu binafsi zinaonyesha udhaifu wenu wa kutumia akili mtaalamu mmoja Mtanzania alituambia kazi ya kichwa sio kufugia nywele tu

Hizo nchi nyingine hujitoa kwa utashi wa rais aliye madarakani? Kiongozi muovu hujitoa kwenye haki.
 
Jiwe alijitoa mahakama ya haki za binadamu ili aendelee kuua bila kuhojiwa
 
Back
Top Bottom