Tanzania kurudi Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

Tanzania kurudi Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

Msifanye hii issue kuwa kubwa na kulaumu sijui nani mbona nchi nyingi duniani huwa zinajitoa na baadae zinarudi? Chuki zenu binafsi zinaonyesha udhaifu wenu wa kutumia akili mtaalamu mmoja Mtanzania alituambia kazi ya kichwa sio kufugia nywele tu
Uko sahihi lakini haiondoi ukweli kuhusu ukatili wa Mwendazake.
 
Uko sahihi lakini haiondoi ukweli kuhusu ukatili wa Mwendazake.
Kabisa, jamaa alikuwa katili mnooo, na alijua akitoka madarakani watampeleka huko, mjinga sana alikuwa, and uzuri kumbukumbu ya kifo chake ya mwaka mmoja imepotezewa, na hii ni makusudi kabisa
 
Namnukuu waziri wa katiba na sheria hapa chini:

"Sio vizuri sisi tusiwe ndani ya Mahakama [ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu-AfCHPR] ikiwa ipo kwetu, Rais wake ni Mtanzania. Jambo la msingi tupeni muda serikali tutaonesha kwa matendo."- Waziri wa Katiba na Sheria, George Simbachawene.

Tanzania ilijitoa AfCHPR Desemba 2019 kwa sababu ambazo hadi sasa hazijawahi kuwekwa wazi.
Mahakama yenyewe haina tija yeyote ni ujinga ujinga tu! Haisababishi gharama ya maisha kushuka wala kuboresha maisha ya watu! Endeleeni kusifia ujinga!
 
Namnukuu waziri wa katiba na sheria hapa chini:

"Sio vizuri sisi tusiwe ndani ya Mahakama [ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu-AfCHPR] ikiwa ipo kwetu, Rais wake ni Mtanzania. Jambo la msingi tupeni muda serikali tutaonesha kwa matendo."- Waziri wa Katiba na Sheria, George Simbachawene.

Tanzania ilijitoa AfCHPR Desemba 2019 kwa sababu ambazo hadi sasa hazijawahi kuwekwa wazi.
Hata kama mahakama hiyo iko tanzania tusisahau tulijitoa baada ya kuona eti watu binafsi wanaweza kufungulia nchi mashitaka. Jambo hilo ni la ovyo kwa sababu nchi inaweza kusumbuliwa na wanasheria wenye uchu tu wa kupata fedha kwa kuchochea kesi za kuingilia uhuru wa nchi yetu
 
Hata kama mahakama hiyo iko tanzania tusisahau tulijitoa baada ya kuona eti watu binafsi wanaweza kufungulia nchi mashitaka. Jambo hilo ni la ovyo kwa sababu nchi inaweza kusumbuliwa na wanasheria wenye uchu tu wa kupata fedha kwa kuchochea kesi za kuingilia uhuru wa nchi yetu
Uhuru upi? Madikteta huwa hawapendi kuwajibishwa
 
Back
Top Bottom