Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Uko sahihi lakini haiondoi ukweli kuhusu ukatili wa Mwendazake.Msifanye hii issue kuwa kubwa na kulaumu sijui nani mbona nchi nyingi duniani huwa zinajitoa na baadae zinarudi? Chuki zenu binafsi zinaonyesha udhaifu wenu wa kutumia akili mtaalamu mmoja Mtanzania alituambia kazi ya kichwa sio kufugia nywele tu