Uko sahihi lakini haiondoi ukweli kuhusu ukatili wa Mwendazake.Msifanye hii issue kuwa kubwa na kulaumu sijui nani mbona nchi nyingi duniani huwa zinajitoa na baadae zinarudi? Chuki zenu binafsi zinaonyesha udhaifu wenu wa kutumia akili mtaalamu mmoja Mtanzania alituambia kazi ya kichwa sio kufugia nywele tu
Jamaa alikuwa muoga a kuwajibishwa kwa matendo yake maovuHizo nchi nyingine hujitoa kwa utashi wa rais aliye madarakani? Kiongozi muovu hujitoa kwenye haki.
Kabisa, jamaa alikuwa katili mnooo, na alijua akitoka madarakani watampeleka huko, mjinga sana alikuwa, and uzuri kumbukumbu ya kifo chake ya mwaka mmoja imepotezewa, na hii ni makusudi kabisaUko sahihi lakini haiondoi ukweli kuhusu ukatili wa Mwendazake.
Zipo makaburin chatoWatuambie na sababu za kujitoa zilikuwa zipi.
Nagongea msumariWatuambie na sababu za kujitoa zilikuwa zipi.
Mahakama yenyewe haina tija yeyote ni ujinga ujinga tu! Haisababishi gharama ya maisha kushuka wala kuboresha maisha ya watu! Endeleeni kusifia ujinga!Namnukuu waziri wa katiba na sheria hapa chini:
"Sio vizuri sisi tusiwe ndani ya Mahakama [ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu-AfCHPR] ikiwa ipo kwetu, Rais wake ni Mtanzania. Jambo la msingi tupeni muda serikali tutaonesha kwa matendo."- Waziri wa Katiba na Sheria, George Simbachawene.
Tanzania ilijitoa AfCHPR Desemba 2019 kwa sababu ambazo hadi sasa hazijawahi kuwekwa wazi.
Hiyo mindset ndiyo kifo chenuMahakama yenyewe haina tija yeyote ni ujinga ujinga tu! Haisababishi gharama ya maisha kushuka wala kuboresha maisha ya watu! Endeleeni kusifia ujinga!
Hata kama mahakama hiyo iko tanzania tusisahau tulijitoa baada ya kuona eti watu binafsi wanaweza kufungulia nchi mashitaka. Jambo hilo ni la ovyo kwa sababu nchi inaweza kusumbuliwa na wanasheria wenye uchu tu wa kupata fedha kwa kuchochea kesi za kuingilia uhuru wa nchi yetuNamnukuu waziri wa katiba na sheria hapa chini:
"Sio vizuri sisi tusiwe ndani ya Mahakama [ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu-AfCHPR] ikiwa ipo kwetu, Rais wake ni Mtanzania. Jambo la msingi tupeni muda serikali tutaonesha kwa matendo."- Waziri wa Katiba na Sheria, George Simbachawene.
Tanzania ilijitoa AfCHPR Desemba 2019 kwa sababu ambazo hadi sasa hazijawahi kuwekwa wazi.
Uhuru upi? Madikteta huwa hawapendi kuwajibishwaHata kama mahakama hiyo iko tanzania tusisahau tulijitoa baada ya kuona eti watu binafsi wanaweza kufungulia nchi mashitaka. Jambo hilo ni la ovyo kwa sababu nchi inaweza kusumbuliwa na wanasheria wenye uchu tu wa kupata fedha kwa kuchochea kesi za kuingilia uhuru wa nchi yetu