UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
Na hawa ndo walioandika na kujidai ni USA wataula wa chuya mwaka huuWewe huja jua kila weekend chadrama mcharuko mizee ya matukio huja na story mpya kufuraisha baraza, ujinga mtupu walahi ?
Fyeeekelea mbali bavicha Magoti malofaaaa kweli kweli walahi
Licha ya kutoeleweka kwa bandiko lako, lakini hujui chochote ulichokiweka hapa. Hata hiyo 'Trade embargo' inaonyesha huijui, unaisikia tu.
Ngoja nikufurahishe, ujisikie vizuri kabisa na hoja yako hii:
Hivyo vikwazo wakiviweka havitasaidia chochote, kwa sababu 'superpower' wetu kwenye ukanda huu atakuwa yupo upande wetu. Mahitaji yetu yote yataendelea kuwa yanamiminika kwetu kutokea Kenya. Na hao rafiki zako wakizidisha kelele, tutamwomba 'Mkora' wetu awashughulikie! How about that!
Aruhusu watu wapige siasa kama katiba inavyosema,Polisi wasiiingile mikutano ya siasa za na haswa za Upinzani Mbona kikwete alikuwa anakubali kukosolewa Mzee Kikwete ni kama binadamu wengine ananyongo kama Magufuli sasa huyu yeye hataki Upinzani upige siasa,mtu kama Mange hivi Mange Kimambi ndio wa kumuwekea jeshi zima la Polisi?!wakati huo mimi nilikuwa mwanaCCM ilikuwa ni Aibu Polisi badala ya kufanya kazi zao wooote wakafanywa ni Riot police...kiongozi mambo mengine anatakiwa kuyapuuza kama walivyokuwa wenzake waliopitaNi kweli cha msingi tu CCM au CDF afanye jambo jema watuondolee lile kopo la chooni pale kwenye meza ya chakula!!!
Uranium watachukua wapi?, makampuni yao yatachimba wapi dhahabu? Na hayo makampuni ndio hu influence msimamo wa serikali.Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Hakuna rangi tutakayo acha ionaBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Eti na kiongozi mmoja mwandamizi. Pumbavuuuu. Kama wewe ni shoga siai hatuutaki huo ushoga. Mtahangaika sana aisee nyani wa bavicha.Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Jiandae kisaikolojia maana hakuna rangi hutoiona! Jifunzeni kwa wengine hasa Zimbabwe na Iran juu ya vikwazo vya kiuchumi! Hali haitakuwa kama ilivyo sasa!Ndoto za mchana
Kula hizo tetesi.
Bado sana. Hakuna kitu kama hicho.Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Hata lumumba hali ni tete sana ndio maana waziri ameshindwa kujibu mapigo!Tetesi zimetanda ufipa.
Wewe wasema! Unaijua nguvu ya baraza la seneti la marekani na ile ya baraza kuu la EU? Ingekuwa ni nchi moja labda, lakini ni nchi nyingi zenye nguvu za kiuchumi! Tujiandae tu kisaikolojia kwani maumivu yake siyo ya kitoto!Bado sana. Hakuna kitu kama hicho.
nyie ndio wapotoshaji sijui kwa gaida ya nani!Ashakum si matusi kama wataweka vikwazo kwa sababu tunakataa KUFIRANA\ KUFILANA Na waweke tu.
Mkuu umeguswa nini na wewe?mbona umebadilikaHivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania