Nilishafafanua huko nyuma ila nitaweka mkasa mzima siku ya 25/12/2018,Mkuu umeguswa nini na wewe?mbona umebadilika
Demokrasia gani yahitajika, zaidi ile tuliyoishuhusldia wabunge wameziba midomo au kususia vikao vya bunge!Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Marekani wanaandaa nyambizi kubwa wenye Komandoo wa kutosha itakuja mpaka mitaa ya feri usiku kuja kusoma upepo kisha wafanye maamuziWaweke tu hili jitu arrogant sana..ushamba ushamba tu pamoja na hoja zoote wao wamekomalia ushoga as skipping point..hayajui kula na kipofu, stupid
Kweli tayari tuna vikwazo kutoka kwa Mzungu mweusi mwenzetu. Hakuja haja ya kuogopa vikwazo vya Mzungu mweupe.Hivi vikwazo vya magufuli visivyo rasmi bora tuwekewe vilivyo rasmi mpaka atakapokubali Demokrasia mimi naunga mkono vikwazo .
Kum- harass balozi wa EU, lilikuwa ni moja ya kosa kubwa sana kama kutia chumvi kwenye kidonda, hivyo ni lazima watunyooshe.
Usifikiri sisi ni watoto,jenga hoja hata mimi nikiona kinyesi naziba mdomo na pua.Demokrasia gani yahitajika, zaidi ile tuliyoishuhusldia wabunge wameziba midomo au kususia vikao vya bunge!
Hakuna wa kunyooka hapa. Niliwahi kukuuliza Je wewe upo tayari kuwapa wakitakacho yaani uwe shoga wao?Kum- harass balozi wa EU, lilikuwa ni moja ya kosa kubwa sana kama kutia chumvi kwenye kidonda, hivyo ni lazima watunyooshe.
Mkuu Spika wasimhusishe kwenye vikwazo vya kusafiri nje,si unajua anahudhuria kliniki nje?Mabomu hapana viongozi wote wa CCM wawekewe vyikwazo vya kusafiri nchi za nje Pamoja na baadhi ya wakuu wa mikoa
Spika wa Bunge nae vikwazo tuone
Naona inafaa serikali imtumie Rais Mstaafu Kikwete aokoe jahazi kwa masuala ya mahusiano na Marekani nakukumbuka wakati wa utawala wake waliokuwa marais wa Marekani Obama na Bush walikutana hapa TanzaniaBaada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Atibiwe Muhimbili yeye si ndio alikuwa kimbelembele kuwa lissu atibiwe muhimbili na baada ya Lissu kupelekwa Kenya akaweka biti la gharama za matibabu sasa na yeye aende MuhimbiliMkuu Spika wasimhusishe kwenye vikwazo vya kusafiri nje,si unajua anahudhuria kliniki nje?
Mfano EgyptNakubali kwamba Magufuli nchi imemshinda, ila sielewi huu 'Wema' wa wazungu kwetu umeanza lini!!
Nijuavyo, wazungu wana permanent interest, hawanaga rafiki wala adui wa kudumu. ******** hata angeua mashoga kwa risasi hadharani, au kumkatakata lissu kama kashoggi, kama asingegusa maslahi ya wazungu ( issue kama acacia, ku ally na China, ku temper na program zao za ukimwi nk) wasinge mgusa wala kutoa tamko lolote. Kuna mahala ******** kagusa maslahi yao, na huwezi kubaki salama ukigusa maslahi yao. ******** aamue kusuka au kunyoa
Na madhara ya kuua watu, kufunga watu, kununua wapinzani na uvunjaji wa katiba anaoufanya jiwe, bora kipi?Unajua madhara ya kiuchumi wew
Wanakomalia ushoga huenda wanafahamu utamu wake, hawataki na wengine wajue. Wivu wa kitoto sana. Mshasema nchi haina dini, sasa kama watu wanatumia miili yao vibaya wewe kinakuuma nini?Waweke tu hili jitu arrogant sana..ushamba ushamba tu pamoja na hoja zoote wao wamekomalia ushoga as skipping point..hayajui kula na kipofu, stupid
Yaani!Hivyo vikwazo wangeanza navyo hata Kesho,hayo mengine yafuateAtibiwe Muhimbili yeye si ndio alikuwa kimbelembele kuwa lisu atibiwe muhimbili na baada ya Lissu kupelekwa Kenya akaweka biti la gharama za matibabu sasa na yeye aende Muhimbili
CCM wote wanaishi kwa kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite ni hatari kubwaMy take;utawala huu uache kiburi na majivuno ya kiseeeela
Yaani!Hivyo vikwazo wangeanza navyo hata Kesho,hayo mengine yafuate
Yaani!Hivyo vikwazo wangeanza navyo hata Kesho,hayo mengine yafuate