Hapo sasa!....yeye si ndio kapeleka bakuli akiwakubalia itabidi ushoga autie kwenye Ilani yake ya Chama cha MapinduziMpaka akubali ushoga?
Atoke Kwa faida ya wengi.Mijitu ya porini ibakie porini mjini uja kufanya nn?Ndugu yangu usiombe. Angalia Venezuela na Iran. Usiombe yatufike. Bora jiwe atoke
Njaa ikituingia uoga unaisha wewe huji hilo?!Wewe vipi,?? Hivyo vikwazo unavyoviomba unadhani wakubwa vitawagusa??!!, ni sisi walalahoi ndio tutakufa kwa vikwazo kutoka nje na KUKAMULIWA KODI kutoka ndani.
Hahahaha just hahahaMarekani wanaandaa nyambizi kubwa wenye Komandoo wa kutosha itakuja mpaka mitaa ya feri usiku kuja kusoma upepo kisha wafanye maamuzi
Njaa ikituingia uoga unaisha wewe huji hilo?!
Huyo anachanganya Hugo na Madullo. Ndio upotoshaji huo wa kawaida hapaJF. Hugo hakuuliwa, alikufa 'a natural death'.niko nyuma hivi Hugo yuko wapi? alifanywaje? sorry........................... he is dead!.....Hugo Chávez, the 62nd President of Venezuela, died on 5 March 2013 at the age of 58.......... Ila sijui alikufa na nini!
Duh huu uandishi vp
Ndoto za mchana
Unajua madhara ya kiuchumi wew
Mtanyooka tu na vihabari vyenu uchwara! Tunasubiri ndege zetu this month na Bwawa la Umeme la Rufiji limeanza kujengwa nyinyi endeleeni kuhangaika na hao mashoga na mabasha wenu!Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy
Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja
MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Kweli mashoga wote watakomeshwa!Lazima tukomeshwe
Sifuri kabisa huna hata ulichoandika
Tetesi zimetanda ufipa.
Kwahiyo kuwapa kazi ni lazima,shenzi zao
Kweli mashoga wote watakomeshwa!
Njaa huongeza ujasiri hebu wewe shinda na njaa siku 3 wewe na wanao kama hutampiga mtu loba...usicheze na njaa.Ujasiri ni asili ya watu, Watz hatuna ujasiri huo kuliko Wazairwa.
Ili yasitufike toeni ule mkosi mliotuwekea pale bila hivyo kumlaumu huyo ndugu hakuta badili kituNdugu yangu usiombe. Angalia Venezuela na Iran. Usiombe yatufike. Bora jiwe atoke