Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

Tanzania kwa kuogopa aibu, imekamata Wanahabari wawili wa Kenya

20200517_225941.jpg
 
Maroli hakuna kuvuka mpaka hatutaki UNAFIKI hapa eti ohh tumefunga lakini magar ya mizigo yataingia ila kwa kuwapima madereva upuuzi mtupu, Sasa cc tumesema hakuna kuingia kabisaa Kama biashara ngumu bc bora iwe ngumu zaidi halafu tuone nani ataumia zaidi mbona tutawanyoa bila maji mwaka huu tena kwa kiwembe cha kuokota
Wewe unastahili panga ya shingo kichwa kiruke huko Mozambique

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani majirani zetu wale wawili washaamka hivi saa hizi maana usiku wao wa Leo ulikua mrefu kweli maana c kwa mbu wale na lile giza . Huku wakijisaidia Kwenye ndoo hapo wameonjeshwa tu bado kula
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa anakesha citizen na ntv anapick zile news negative anazikimbiza hapa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jirani Moto ukiwaka itabidi uingilie Kati la sivyo utateketea pia. What Kenya, Zambia, Uganda and Rwanda are doing is to protect their people. Wewe unawachilia watoto wako wazurure ovyo ovyo?
Sio mbaya tukikufundisha kiswahili,katika mazingira kama hayo sisi hatujatengwa,ili nyinyi ndo mmejitenga..sisi sio landlocked country
 
Back
Top Bottom