Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Nilikuwa nafanya kazi sector binafsi kwenye mradi wa miaka 3,mkataba kwa wafanya kazi ni mwaka mmoja then una-renew.
Mkataba wangu ulikuwa from 1st April 2017 to 31st March2018.
...mkataba unasema ikitokea hawata renew basi one month notice itatolewa-ila all over sudden Jana tar 29.3...wametangaza haturenew mkataba na siku ya mwisho kuwepo kazini ni tar 31...sijapewa barua...ndio nataka kwenda chukua jmos.
....sijui hii imekaaje wakuu
Utalipwa terminal benefit kwa mujibu wa kifungu 41 cha sheria ya kazi na mahusiano kazini ya mwaka 2004,kwa mujibu wa kifungu 41 cha sheria hiyo ilibidi nakupenda notis.Wakikulipa achana nao,wasipolipa nenda CMA
 
apo amna damage yoyote labda kama kuna malipo hujalipwa/unawadai.inaonekana hukufikiria kama hilo linaweza tokea/ulijisahau.
Yapo kama.
1. Malipo ya nyuma ya kazi zilizofanywa kama hajalipwa
2.severance pay
3.transport allowance
4.likizo iliyokuwa due kama hipo.
5.rightful expectation
 
Kwanza kabisa nikupe pongezi za dhati Mkuu deonova, kwa hii Elimu ya Ajira na Stahiki za waajiriwa for free, wengi sana tumeelimika na kunufaika na somo murua. Barikiwa sana.
 
  • Endapo haya madai yako unayadai ukiwa bado ndani ya ajira hakikisha hazipiti siki 60 kabla hujachukua hatua za kuyadai
  • Endapo una madai ambayo tayari umeshaacha/kuachishwa kazi na unamdai mwajiri hakikisha unachukua hatua za kuyadai ndani ya siku 30 kuanzia ulipoachishwa kazi manake nje ya muda huo utasababisha Mwajiri alete pingamizi (preliminary objection) kwa hoja kuwa madai yako yapo nje ya muda endapo utafungua shauri CMA.
Kiongozi, Asante kwa darasa zuri. Mimi nina matatizo makubwa kazini.
1. Wameniundia zengwe kuwa nimewapa wanafunzi mtihani
2. Wakanizuia kbsa kuingia shule
3. Wamenizuia hata kumalizia kusahisha
4. Wameshamchukua mwl mwingine
ILA
Hawajanihoji na wala sijaaandika maelezo yeyote kuhusu tuhuma zangu
JE
Ni sawa kisheria.?


Mwisho
vp sheria inasemaje kuhusu kumsimamisha na kumfukuza kazini mwajiriwa km mimi. Nimefanya kazi kwa miaka tisa (9) sasa
 
Hakuna tatizo, notice ni kwamba utapewa mshahara ya mwezi mmoja mbele, na barua utapewa siku ya mwisho, Kwa uzoefu wangu
Habari kiongozi.
Mimi ni mwl ktk shule moja ya private hapa Dar es salaam.

Nina matatizo makubwa kazini, Wameniundia zengwe kuwa nimewapa mtihani wanafunzi,

Nikiwa nasahisha, wakanizuia kumalizia wakamalizia wao

Toka siku hyo wamenizuia kuingia shuleni

Na tayari wameshatafuta mtu mwingine

YOTE HAYA YANAFANYIKA
sijaitwa nikahojiwa juu ya tuhuma yangu
Wala sijaandika maelezo yoyote

JE
sheria ikoje ktk kumsimamisha na kumfukuza mwajiriwa. Nina miaka tisa (9) kazini

Pia hawajanipa hata barua ya kumsimamisha zaid ya mkuu wa shule kuwapa amri walinzi wa getini wasiniruhusu

Msaada plz

Natanguliza shukran
 
mkataba wenu wa mwanzo wa kazi mpka mwisho wa kazi unakufunga......mkataba unaonesha haitakiwi uendelee kuwa kazini
Sasa kiongozi, vp kuhusu taratibu za kumfukuza mwajiriwa zinasemaje

Je hata kunihoji juu ya tuhuma walioniundia

Vp kuhusu barua
 
Naomba nitoe kauzoefu kangu kadogo kuhusu hii sekta binafsi.
1. Nadeclare interest kwanza kwamba mimi nimewahi kufanya kazi katika makampuni ya simu chini ya hawa wanaojiita recruitment agency. Yaan huko ni full unyonyaji

2. Sekta nyingi binafsi hasa za mawasiliano zina tabia ya kukwepa kutimiza mahitaji ya msingi kwa mujibu wa sheria na kuwakandamiza wafanyakazi wake mfano mikataba huwa hawatoi na ukianza kudai basi ujue siku zako kazin zinahesabiwa.

3. Nimeshuhudia wafanyakazi wenzangu kibao wakifukuzwa kwa hila na mambo ya hovyo kabisa,kwa hiyo kwa mwenzangu huyo aliyekutana na hicho kisanga si ajabu kuna kitu alifanya kizuri au alitoa maoni yake akaonekana mbaya mwisho wa siku anapigwa chini bila sababu za msingi.

4. Sekta binafsi hasa kwa upande wa sekta ya mawasiliano ni jipu kubwa sana kwa sababu serikali bado haijafanyia kazi kikamilifu pamoja na kwamba kila wakati wanapelekewa taarifa na waziri mwenye dhamana anajua lakin ndio hivyo wameamua kupuuza.

5. Ushauri wangu ni kwamba hizi kazi tunazofanya tuzitumie kama daraja la akuanzisha vyanzo vingine vya mapato maana siku hizi redundancy zipo nje nje sasa ukibweteka kutegemea kazi hata kama upo serikalini umeisha rafiki yangu,hali ni mbaya sana msione watu wanapita na magari yenye brands za majina makubwa ya kampuni kumbe ni tabu tupu aisee.
 
Habari kiongozi.
Mimi ni mwl ktk shule moja ya private hapa Dar es salaam.

Nina matatizo makubwa kazini, Wameniundia zengwe kuwa nimewapa mtihani wanafunzi,

Nikiwa nasahisha, wakanizuia kumalizia wakamalizia wao

Toka siku hyo wamenizuia kuingia shuleni

Na tayari wameshatafuta mtu mwingine

YOTE HAYA YANAFANYIKA
sijaitwa nikahojiwa juu ya tuhuma yangu
Wala sijaandika maelezo yoyote

JE
sheria ikoje ktk kumsimamisha na kumfukuza mwajiriwa. Nina miaka tisa (9) kazini

Pia hawajanipa hata barua ya kumsimamisha zaid ya mkuu wa shule kuwapa amri walinzi wa getini wasiniruhusu

Msaada plz

Natanguliza shukran
Kwa uzoefu wangu na sekta niliyopo mkuu hapo inaonekana ni majungu yanaendelea kwa sababu kama ni ishu tangible kwa nini wasikuite?
 
So kiongozi, Mkali kwanza.
Nafikiria kwenda mbele kisheria wasemaje
 
IGWE kwanza pole sana kwa yaliyokukuta. Pili, mkataba kama unasema ni wa mwaka mmoja wenye uwezekano wa kuongezewa, kuna wengine wanaweka kwamba hawalazimishwi na chochote kukuongezea mkataba baada ya huo wa kwanza kwisha.

Cha msingi, angalia kwa umakini kwenye huo mkataba unasemaje endapo hawataongeza muda. Je, wanatakiwa wakupe taarifa muda gani kabla ya mkataba kwisha muda wake?
 
kwanza pole sana kwa yaliyokukuta. Pili, mkataba kama unasema ni wa mwaka mmoja wenye uwezekano wa kuongezewa, kuna wengine wanaweka kwamba hawalazimishwi na chochote kukuongezea mkataba baada ya huo wa kwanza kwisha.

Cha msingi, angalia kwa umakini kwenye huo mkataba unasemaje endapo hawataongeza muda. Je, wanatakiwa wakupe taarifa muda gani kabla ya mkataba kwisha muda wake?

Mkuu hpa sio issue mkataba. Ni kunifukuza kienyeji kwani mkataba bado haujaisha

Hebu nipe taratibu za kumwondoa mtu ata km ana makosa
 
I mean kiongozi mkali kwanza
Hz smartphone nazo
Mpaka sasa hivi hujaambiwa chochote mkuu? Kama hawajakwambia chukua mkataba wako mtafute mwanasheria naamin atakushauri kitu kizuri cha kufanya lakin nachokiona hapo ni hila na majungu,hata mim nilifanyiwa sana hila ila walijuta
 
IGWE kwanza pole sana kwa yaliyokukuta. Pili, mkataba kama unasema ni wa mwaka mmoja wenye uwezekano wa kuongezewa, kuna wengine wanaweka kwamba hawalazimishwi na chochote kukuongezea mkataba baada ya huo wa kwanza kwisha.

Cha msingi, angalia kwa umakini kwenye huo mkataba unasemaje endapo hawataongeza muda. Je, wanatakiwa wakupe taarifa muda gani kabla ya mkataba kwisha muda wake?
..mkataba unasema in case hawata renew inabidi watoe 1 month notice,...ila in case of redundancy a 2 months notice must be given by employer,and explanatory discussion must take place btn employee and the employer at reasonable time prior to redundancy.
 
...kwenye barua niliyopewa April 6,..wameandika.."the reason is to restructure the department "...sio expire of contract
 
Back
Top Bottom