Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

hivi kumuamisha mtu pahala pa kazi ambopo imetamkwa katika mkataba kama ndio kituo chako cha kazi ni taratibu gani za kuzingatiwa (kampuni binafsi)
 
Pamoja sana mtumishi
Mambo vp deonova Ahsante uzi wako Mkuu umetupa Maarifa katika tasnia utumishi..

Naomba kujua unayo standing order in Swahili version.. Kuna rafiki yangu ameniambia ukiondoa version ya English kuna ya kiswahili kama unayo soft copy tubandikie humu
 
N
Nimeipenda hii..tunashukuru sana kwa hii elim uliyotupatia....ninahitaji pia msaada juu ya sheria za kazi . mim ni mfanya kaz wa kampuni moja hvi la binafsi nina mieZ 8 kazin mpka sas.. Kweny hii kapuni kuna vitu vinaenda tofautkdgo kwa mfano mpka sas tunakatwa pesa za mofukovya hifadh ya jamii ikiwa hatuna kadi. Lakin pia mfanya kaz anaweza kufukuzwa kaz bila kupewa barua . mf. Verbal warning..warning letter..hzo process hazifatw vip ikitokea hvi mfanyakaz anatakiwa kufanyaj ili apate msaada.

Pia mikataba tulisain tulipokua tunaanza kaz ilipofika miez sita walisem tutasain mikataba mipya mpka sas hatujasain na tunafanya kaz jee kipi tunatakiwa kufanya
 
Nashukuti sana kwa haya maelezo naomba msaada wa email ya Tanzania labour law
 
Naomba,kuuliza mimi nimesitishwa mkataba kazini kwang nilikiwa nafanya kazi TANESCO na bahati mbaya nilipata ajali ya kudondoka na nguzo ya umeme na kupelekea kuvunjika vibaya sana mguu wangu nimepata matibabu hata hivo bado siwez kufanya kazi mgumu nimesitishwa mkataba kutokana na kutokuwa na cheti cha kidato cha nne na mwaka huu ndio nipo katika kurudia mtihani wa kidato cha nne naomba msaada
 
Mimi Kuna ofisi nilikuwa nafanya kazi jamaa akakataa kutulipa tukaenda CMA, baada ya kugundua tumeenda kushitaki akabadili jina la kampuni Na kabadili leseni kaandika jina la kimada wake (maana mkewe namjua Na wanakesi mahakamani) halafu alipoitwa mahakamani akasema alishindwa kutulipa kwa kuwa alifilisika, je Kama ukifilisika unatakiwa ufanye nini Ili kuthibitisha kuwa kweli ulifikisika kisheria?
 
ulikua kibarua au umeajiriwa, pia ulipopata hiyo ajali kazini ambayo imekupa ulemavu je ulipewa stahiki zako unazopaswa kupewa.
Nilikuwa kibarua na stahiki bado sijapata mwaka 2016 mwishon nilipewa form nipeleke kwa daktar aijaze kwa ajili ya maandalizi ya malipo lakini ikaonekana siwez kulipwa maana nilikuwa sijamaliza matibabu nilikuwa sijafanyiwa operation ya kutoa chuma tarehe 30/11/2017 ndio nilifanyiwa operation ya kutoa chuma ni baadhi ya pcha za operation na mfupa ulivokuwa umevunjika
 
Pole sana mkuu aisee Mungu akusaidie upate haki yako mtafute huyu mwanasheria nguliwa sheria za kazi deonova atakusaidia nini cha kufanya. Very sad
 
Mkuu unapotosha,soma sheria mpya ya mifuko ya jamii ujue ni nani wanastahili kupata fao la kujitoa na vile vile swali lake nadhani alitaka kujua;Je mwajiri anatoa mafao ukitoa notisi ya kuacha kazi?
 
Mheshimiwa deonova naomba msaada mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la umeme Tanesco lakini nilikuwa sijaajiriwa mwaka 2015/11 nilipata ajali ya kudondoka na nguzo ya umeme na kupelekea kunipa ulemavu wa kuvunjika mguu na kupata majeraha mbali mbali nilifanikiwa kupata matibabu na mwaka 2017/11 nilifanyiwa iperation ya 4 ya katika mguu wangu ilikuwa ni kutoa chuma mwezi wa 6 mwaka huu nilipewa taarifa za kusitishwa mkataba wangu wa kazi kutokana na kukosa cheti cha form four lakini na wakati huo nipo katika masomo ya kurudia mtihani wa kidato cha nne mwaka huu na daktar alinipa maelekezo kuwa naweza kufanya kaz nyepes na sina uwezo wa kubeba kitu chochote kinachozidi kg 10 naomba msaada wako
 
Na hizi ni baadhi ya mfupa wa paja ulivokuwa umevunjika hii byingine ni x-ray baada ya kuungwa mfup
 

Dah pole sana mkuu, nimeangalia picha nikaogopa, hebu njoo private tutete ili niweze kujua wapi ntakuelekeza uanzie chief.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…