Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Wabunge wanaleana sana,kwanza waliendeleaje kumlipa mshahara mtu wasiejua alipo?

Sekta binafsi huu ujinga haupo

Utoro wa siku 90 pekee unamfukuzisha mwanafunzi na kumkosesha haki yake ya msingi why isiwe na kwa wabunge?
 
Wabunge wanaleana sana,kwanza waliendeleaje kumlipa mshahara mtu wasiejua alipo?

Sekta binafsi huu ujinga haupo

Utoro wa siku 90 pekee unamfukuzisha mwanafunzi na kumkosesha haki yake ya msingi why isiwe na kwa wabunge?

Unapaswa kuhurumiwa sababu kufikiri vema sio rahisi kwa wote
 
Alipokufa Samweli Sita nani alithibitisha ? Muhimbili walikuwepo?

Alipokufa Mwl Julius K. Nyerere UK muhimbili walikuwepo kuthibitisha?

Msiwe kama wanyama kutofikiria relevance ya comment zenu
Usiwe mtumwa wa historia.Kama huko nyuma walichemka unataka kuchemka kuendelee?
 
Yeye hakukataa, angekataa vipi akiwa kwenye "vegetative state". Hii itakuwa ni kesi itakayovuta hisia za watu wengi sana.
Alikuwa katika vegetative state kwa kumkodolea macho tu kwa kumwangalia usoni au kwa Ripoti ya daktari?
 
Haya sasa Ni wakati wa Watanzania kuonesha twajua kuchambua na kutafsiri sheria......kila jambo twalijua sisi
 
Unconscious haonekani kwa macho Ripoti ya madaktari ndio huthibitisha Kama Ni unconscious au la.Madaktari bingwa wa muhimbili ndio walitakiwa kufanya hiyo kazi Lakini yeye akakataa akaenda zake Naorobi
kwa hofu ya kumalizwa labda!!
 
Msihangaike. Mahakama itatoa tafsiri sahihi.
 
Asante deonova Mungu akuzidishie ,mimi mke wangu ni mwalimu na likizo za wanafunzi zipo mwezi wa tatu,mwezi wa sita,mwezi wa Tisa, na mwezi wa kumi na mbili sasa wakati wa likizo hizo zote wanaambiwa kama huna likizo inatakiwa ubakie shuleni ufundishe naomba ufafanuzi wa Sheria za likizo deonova
 
Asante deonova Mungu akuzidishie ,mimi mke wangu ni mwalimu na likizo za wanafunzi zipo mwezi wa tatu,mwezi wa sita,mwezi wa Tisa, na mwezi wa kumi na mbili sasa wakati wa likizo hizo zote wanaambiwa kama huna likizo inatakiwa ubakie shuleni ufundishe naomba ufafanuzi wa Sheria za likizo deonova
Mkuu kufunga shule sio likizo ya mwalimu,kwa mwaka mfanyakazi analikizo ya siku 22 za kazi hivyo kama anataka likizo lazima aombe kwa mwajili wake.
 
Asante deonova Mungu akuzidishie ,mimi mke wangu ni mwalimu na likizo za wanafunzi zipo mwezi wa tatu,mwezi wa sita,mwezi wa Tisa, na mwezi wa kumi na mbili sasa wakati wa likizo hizo zote wanaambiwa kama huna likizo inatakiwa ubakie shuleni ufundishe naomba ufafanuzi wa Sheria za likizo deonova

Ni sahihi mkuu, yeye likizo anayostahili kwenda ni ile ya kisheria inayotajwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma (yaani siku 28 kwa kila mwaka, na hii ni kwa watumishi wote hata nje kada ya ualimu), LAKINI wakati wanafunza wanapokuwa wamefunga ktk hizo term ulizotaja, walimu nao wanapoenda likizo sio rasmi, ingawa anaweza kuomba kwa mkuu wake akamruhusu kwenda kama hamna kazi za kufanya hapo shuleni kwa wakati husika.
 
Mkuu kufunga shule sio likizo ya mwalimu,kwa mwaka mfanyakazi analikizo ya siku 22 za kazi hivyo kama anataka likizo lazima aombe kwa mwajili wake.

Ni siku 28 sio 22 mkuu, nimekusahihisha kidogo hapo samahani.
 
Asante Mkuu kwa utaalamu unaouweka kwenye hili jamvi. Mimi nilikuwa Mtumishi wa Shirika la Umma hadi Desemba 2018 na sasa nimestaafu. Lakini mnamo mwaka 2017 mwajiri wangu alinichukilia hatua za nidhamu kwa makosa ambayo aliyafanyia uchunguzi.Hatua alizonichukulia ilikuwa ni 1) Kuniteremsha cheo kwa ngazi moja na 2) kunipunguza ngazi ya mshahara. Nataka kujua kuwa kwa sheria za utumishi wa umma Je Mwajiri alikuwa sahihi kunipa adhabu 2 kwa kosa moja? Pili Je nifanye nini kupata haki yangu kama jibu la hapo juu ni "hakuwa Sahhi". Natanguliza shukrani
 
Mambo ni mengi... Hivi hizi sheria huwa zinawahusu watu wa sector zoote au kuna sector ziko less concern na hizi taratibu....???
 
Naomba kuuliza, Kuhusiana na Swala la ugonjwa...

Nimeona Siku 63 za mwanzo----Mshahara mzima.
Siku 63 zinazofuata, Msahara nusu.

Sasa swali ni je; """Mfanyakazi huyu akiugua zaidi ya Miezi 10"" ataendelea kupokea Mshahara ama?????
 
Asante Mkuu kwa utaalamu unaouweka kwenye hili jamvi. Mimi nilikuwa Mtumishi wa Shirika la Umma hadi Desemba 2018 na sasa nimestaafu. Lakini mnamo mwaka 2017 mwajiri wangu alinichukilia hatua za nidhamu kwa makosa ambayo aliyafanyia uchunguzi.Hatua alizonichukulia ilikuwa ni 1) Kuniteremsha cheo kwa ngazi moja na 2) kunipunguza ngazi ya mshahara. Nataka kujua kuwa kwa sheria za utumishi wa umma Je Mwajiri alikuwa sahihi kunipa adhabu 2 kwa kosa moja? Pili Je nifanye nini kupata haki yangu kama jibu la hapo juu ni "hakuwa Sahhi". Natanguliza shukrani

Kimsingi ktk utumishi wa Umma kama kuna hatua umechukuliwa na unahisi haikuwa sahihi kwako, hatua ya kuchukua ni kuwasilisha malalamiko yako kimaandishi ktk Tume ya Utumishi wa Umma, wao watareview hatua ulizochukuliwa na aidha kuconfirm kama wakijiridhisha ilikuwa sahihi ama kutengua kama wakiona ulionewa mkuu.
 
Back
Top Bottom