Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Mzee, unafananisha Tz na Canada? are you in your senses? 90% ya watz hawajaenda hata sekondari, wanalima huko Vijijini unataka waamue nini? huwezi kutaka demokrasia kwa Watu wanaohitaji maji safi, umeme, huduma za Afya na masoko ya mazao ya kilimo, hatua hii Canada walipita miaka 100 iliyopita,
Mlevi pekee ndiye anaweza fikiria hivyo unavyofikiria,
Kama Rusia wameamua Putin akuwe president for life, tunaweza amua hivyo kwa Tz pia, na kama watu wakiamua na kuridhia JPM atawale mpaka afe ndio demokrasia yenyewe.
..Ni ceremonial head of state.

..Mamlaka na maamuzi yote makubwa yanafanywa na Waziri Mkuu na Bunge.

..Pia pamoja na kuwa Malkia ndiyo head of state bado Wacanada wana HAKI na maamuzi kuhusu serikali yao kuliko Watz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kwanza lazima mkubali kwamba hii taatifa sio ya Knight Frank mumeitengeneza hapo Nairobi kama kawaida yenu, hiyo sio link ya Knight Frank, hahahaha, hahahaha, Hahahaha.

Tukiwaambia hata GDP yenu pia huwa mnadanganya mnapinga, ona sasa jinsi mlivyoumbuka katika hili, tumewakamata mchana kweupeeeeeeeeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua you dont like Kenya
Last year the same organisation had put kenya at 9482 millionaires, na TZ had 6429. Uganda had 1639 na this years report wako na 170.
ata ukicheck US, last year they had 5.9million for 2018, kwa report ya this year wako na 15.38 million 2018, 2019 ikakuwa 16 million, so same company had different figures for the same country, in two different reports
same applies to UK, 2018 wako na 906K kwa report ya last year, report ya this year wako na 2.1 million same 2018
Tukuje kenya, report ya last year, kenya had 9400 in the year 2018, this years report kenya had 3399, tz had 6400 kwa figures za report ya last year na kwa report ya this year, wako na 5118 year 2018
you see where i am getting at
screenshots hapo chini, singe highlight coz sina editor kwa hii Ubuntu. na links pia if you wanna do the math yourself, report ya 2019 enda page 45 na ya huu mwaka enda page 54.
their figures are all over the place, and i am sure report ya next year itakuwa tofauti
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
feel fre to correct me
Screenshot from 2020-03-17 23-26-11.png
Screenshot from 2020-03-17 23-25-37.png
 
Najua you dont like Kenya
Last year the same organisation had put kenya at 9482 millionaires, na TZ had 6429. Uganda had 1639 na this years report wako na 170.
ata ukicheck US, last year they had 5.9million for 2018, kwa report ya this year wako na 15.38 million 2018, 2019 ikakuwa 16 million, so same company had different figures for the same country, in two different reports
same applies to UK, 2018 wako na 906K kwa report ya last year, report ya this year wako na 2.1 million same 2018
Tukuje kenya, report ya last year, kenya had 9400 in the year 2018, this years report kenya had 3399, tz had 6400 kwa figures za report ya last year na kwa report ya this year, wako na 5118 year 2018
you see where i am getting at
screenshots hapo chini, singe highlight coz sina editor kwa hii Ubuntu. na links pia if you wanna do the math yourself, report ya 2019 enda page 45 na ya huu mwaka enda page 54.
their figures are all over the place, and i am sure report ya next year itakuwa tofauti
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
feel fre to correct meView attachment 1391460View attachment 1391461
Last year there was an error in tallying a reason an update puts Kunyaland below Tanzania!
 
Najua you dont like Kenya
Last year the same organisation had put kenya at 9482 millionaires, na TZ had 6429. Uganda had 1639 na this years report wako na 170.
ata ukicheck US, last year they had 5.9million for 2018, kwa report ya this year wako na 15.38 million 2018, 2019 ikakuwa 16 million, so same company had different figures for the same country, in two different reports
same applies to UK, 2018 wako na 906K kwa report ya last year, report ya this year wako na 2.1 million same 2018
Tukuje kenya, report ya last year, kenya had 9400 in the year 2018, this years report kenya had 3399, tz had 6400 kwa figures za report ya last year na kwa report ya this year, wako na 5118 year 2018
you see where i am getting at
screenshots hapo chini, singe highlight coz sina editor kwa hii Ubuntu. na links pia if you wanna do the math yourself, report ya 2019 enda page 45 na ya huu mwaka enda page 54.
their figures are all over the place, and i am sure report ya next year itakuwa tofauti
https://content.knightfrank.com/res.../wealthreport/2019/the-wealth-report-2019.pdf
https://content.knightfrank.com/content/pdfs/global/the-wealth-report-2020.pdf
feel fre to correct meView attachment 1391460View attachment 1391461
Wacheni kupindisha ukweli, hayo mnayosema ni uongo mtu, hakuna ripoti ya Knight frank inayosema Kenya mwaka 2018 ilikua na milionea wengi zaidi ya Tanzania, hizo ni taarifa zinazotengenezwa hapo hapo Kenya kama kawaida yenu ya kupika data.

Taarifa hii hapa chini inaeleza wazi wazi kwamba, mwishoni mwa 2018, Tanzania ilikua na matajiri 5,553 na Kenya 2942.

Mwishoni mwa 2019 idadi ya matajiri Tanzania iliongezeka kwa 8% na kufika 5,668. Kenya mwishoni mwa 2019 ilishuka kwa 13% hadi 2900.
Tanzania tops East Africa on wealth list
Acheni kubishana na World class professionals wanaoaminika duniani kote, hizo ripoti kabla ya kutangazwa zinapita mikononi mwa wasomi wa hali ya juu sana, miongoni mwao ni wakenya wenzenu. Ebdeleeni kupika data na kusema zimetoka Knight Frank. Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
the year before that, 2017, tz had 460 millionaires from 2018 report, report ya 2019, tz had 6200 millionaires in 2017,
https://content.knightfrank.com/res...m/wealthreport2018/the-wealth-report-2018.pdf
figures vary year to year, if you compare all their wealth reports bruv
Acha kudanganya, hakuna ripoti yoyote ya Knight Frank inayoonyesha Tanzania ilifikisha 6200, na kwamba mwaka 2017 Tanzania ilukua na 460, hizo ni data mnazopika hapo Kenya ili kuwapumbaza wakenya wajione wako vizuri, soma hii article hapa chini kwa umakini, kisha nenda katika website ya Knight frank Original ya " www. Knightfrank. com", sio hiyo mliyoitengeneza hapo Kenya ya "www. Knightfrank.co.ke". Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza lazima mkubali kwamba hii taatifa sio ya Knight Frank mumeitengeneza hapo Nairobi kama kawaida yenu, hiyo sio link ya Knight Frank, hahahaha, hahahaha, Hahahaha.

Tukiwaambia hata GDP yenu pia huwa mnadanganya mnapinga, ona sasa jinsi mlivyoumbuka katika hili, tumewakamata mchana kweupeeeeeeeeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si nilijua tu utarukaruka[emoji1787][emoji1787]
Ile siku utaleta ripoti ya 2013-2017 kutoka knight frank inayosema tofauti na hyo hapo chini..na log off jf[emoji38][emoji38][emoji38]
Screenshot_20200310-100918_Samsung%20Internet.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya, hakuna ripoti yoyote ya Knight Frank inayoonyesha Tanzania ilifikisha 6200, na kwamba mwaka 2017 Tanzania ilukua na 460, hizo ni data mnazopika hapo Kenya ili kuwapumbaza wakenya wajione wako vizuri, soma hii article hapa chini kwa umakini, kisha nenda katika website ya Knight frank Original ya " www. Knightfrank. com", sio hiyo mliyoitengeneza hapo Kenya ya "www. Knightfrank.co.ke". Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta hyo data original ya 2013-2017 basi tuione[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacheni kupindisha ukweli, hayo mnayosema ni uongo mtu, hakuna ripoti ya Knight frank inayosema Kenya mwaka 2018 ilikua na milionea wengi zaidi ya Tanzania, hizo ni taarifa zinazotengenezwa hapo hapo Kenya kama kawaida yenu ya kupika data.

Taarifa hii hapa chini inaeleza wazi wazi kwamba, mwishoni mwa 2018, Tanzania ilikua na matajiri 5,553 na Kenya 2942.

Mwishoni mwa 2019 idadi ya matajiri Tanzania iliongezeka kwa 8% na kufika 5,668. Kenya mwishoni mwa 2019 ilishuka kwa 13% hadi 2900.
Tanzania tops East Africa on wealth list
Acheni kubishana na World class professionals wanaoaminika duniani kote, hizo ripoti kabla ya kutangazwa zinapita mikononi mwa wasomi wa hali ya juu sana, miongoni mwao ni wakenya wenzenu. Ebdeleeni kupika data na kusema zimetoka Knight Frank. Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
2942-500=2900[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joto la jiwe unamskia mwenzako kasema kulikuwa na error halafu wewe unasema hzo data zilipikwa kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa tumuelewe nani, kibaraka geza au mmenguaji joto la jiwe
Last year there was an error in tallying a reason an update puts Kunyaland below Tanzania!
Wacheni kupindisha ukweli, hayo mnayosema ni uongo mtu, hakuna ripoti ya Knight frank inayosema Kenya mwaka 2018 ilikua na milionea wengi zaidi ya Tanzania, hizo ni taarifa zinazotengenezwa hapo hapo Kenya kama kawaida yenu ya kupika data.

Taarifa hii hapa chini inaeleza wazi wazi kwamba, mwishoni mwa 2018, Tanzania ilikua na matajiri 5,553 na Kenya 2942.

Mwishoni mwa 2019 idadi ya matajiri Tanzania iliongezeka kwa 8% na kufika 5,668. Kenya mwishoni mwa 2019 ilishuka kwa 13% hadi 2900.
Tanzania tops East Africa on wealth list
Acheni kubishana na World class professionals wanaoaminika duniani kote, hizo ripoti kabla ya kutangazwa zinapita mikononi mwa wasomi wa hali ya juu sana, miongoni mwao ni wakenya wenzenu. Ebdeleeni kupika data na kusema zimetoka Knight Frank. Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joto la jiwe unamskia mwenzako kasema kulikuwa na error halafu wewe unasema hzo data zilipikwa kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa tumuelewe nani, kibaraka geza au mmenguaji joto la jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kukwepa, lete link ya Knightfrank yenye kuonyesha kwamba mwaka 2018 Kenya ilikua na matajiri wengi kuizidi Tanzania, link ya Knight frank ni "www. Knightfrank.com". Hiyo ya "www. Knightfrank.co.ke", sio Original, hiyo ni made in Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom