Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Bwahahaaaa!!kulingana na ile ripoti yao ya kimagumashi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbna mnaogopa hesabu[emoji3][emoji3]
Enheee 2018 mlikua ngapi na kenya ilkua ngapi..najua hapo utakimbia mbio sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hahahaha. Muhimu ni kwamba ninyi size yenu ni Uganda, ndio mnakaribiana, sisi tunamfukuza Morocco kimya kimya, sisi sio wenzenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jueni hesabu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
5553 - 2900 = 2653
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5553 - 2900 = 2653
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaa!!nisaidie na hii hapa
9,400-500=2,900[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza niliye mquote kakimbia kisa kaelewa nilichokiandika hapo mbeleni..

Kaja na mbwembwe za masoko ya dhahabu ni km yalianza wiki mbili kabla ya hyo ripoti kutoka...


Sent using Jamii Forums mobile app
Kakimbia wapi?
Ukiona umepuuzuwa fahamu kuwa unaandika ujinga,
Sio kila mtu ana muda wa kubishana na mjinga mwenye ufinyu wa akili humu,
Nilikuuliza vizuri tu... hayo masoko yalianza lini?
 
Kwanza niliye mquote kakimbia kisa kaelewa nilichokiandika hapo mbeleni..

Kaja na mbwembwe za masoko ya dhahabu ni km yalianza wiki mbili kabla ya hyo ripoti kutoka...


Sent using Jamii Forums mobile app
Masoko ya dhahabu yalianzishwa mwishoni mwa 2018. yameimarika zaidi ndani ya 2019, na tunaendelea kuimarika mwaka huu na kuendelea, ndio sababu idadi ya matajiri itaongezeka kwa 51% ikifika 2024, kutoka idadi ya sasa ya 5553.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masoko ya dhahabu yalianzishwa mwishoni mwa 2018. yameimarika zaidi ndani ya 2019, na tunaendelea kuimarika mwaka huu na kuendelea, ndio sababu idadi ya matajiri itaongezeka kwa 51% ikifika 2024, kutoka idadi ya sasa ya 5553.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kulingana na report ya 2018 ya world wealth mlikua na 6,400 millionaires sai naona baada ya masoko kufunguliawa millionaires wakaongezeka maradufu maka 5,300[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Maskini ccm[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni data ya kupika kama kawaida yenu, ila ripoti ya Knight Frank inaonyesha mwaka 2018 Kenya ilikua na matajiri 3400. Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilipikwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Woooiiii!!na wakati waliitoa wenyewe[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]kweli mara hii mmekalia kuti kavu mpka kuukumbatia ujinga[emoji1787]...


Ripoti yao hyo..wivu mbaya jamani
Screenshot_20200310-100918_Samsung%20Internet.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kakimbia wapi?
Ukiona umepuuzuwa fahamu kuwa unaandika ujinga,
Sio kila mtu ana muda wa kubishana na mjinga mwenye ufinyu wa akili humu,
Nilikuuliza vizuri tu... hayo masoko yalianza lini?
Matusi huaga hayaufuti ukwel, upo jomba?

Kwanza utaulizaje swali km hujaelewa kilichoandikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilipikwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Woooiiii!!na wakati waliitoa wenyewe[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]kweli mara hii mmekalia kuti kavu mpka kuukumbatia ujinga[emoji1787]...


Ripoti yao hyo..wivu mbaya jamaniView attachment 1391198

Sent using Jamii Forums mobile app
Knight Frank haiwezi kujichanga, ninyi kawaida yenu ni kupika data, ona jinsi mlivyopika hiyo data. Hii taarifa sio ya Knight Frank, mumeitengeneza hapo Kenya, link ya Knight Frank Original ni "Knight frank. com". Hii uliyoweka ni "knight frank.co.ke.". Hahahaha, hahahaha,hahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Knight Frank haiwezi kujichanga, ninyi kawaida yenu ni kupika data, ona jinsi mlivyopika hiyo data. Hii taarifa sio ya Knight Frank, mumeitengeneza hapo Kenya, link ya Knight Frank Original ni "Knight frank. com". Hii uliyoweka ni "knight frank.co.ke.". Hahahaha, hahahaha,hahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!niletee pdf basi inayoongelea habari za kutoka 2013-2017 kutoka knight frank km unayo basi...

Oneni jamaa kunengua sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa!!niletee pdf basi inayoongelea habari za kutoka 2013-2017 kutoka knight frank km unayo basi...

Oneni jamaa kunengua sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza lazima mkubali kwamba hii taatifa sio ya Knight Frank mumeitengeneza hapo Nairobi kama kawaida yenu, hiyo sio link ya Knight Frank, hahahaha, hahahaha, Hahahaha.

Tukiwaambia hata GDP yenu pia huwa mnadanganya mnapinga, ona sasa jinsi mlivyoumbuka katika hili, tumewakamata mchana kweupeeeeeeeeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavyoweka 'Tu' unamaanisha wewe na nani?
..Tanzania ya sasa hivi ni ya hovyo sawa na Kenya ya wakati wa Mzee Moi.

..Tumefikaje huko? We made a mistake in 2015. Tulichagua kiongozi asiyependa demokrasi na mkatili.

..Tumekuwa nchi ya ajabu / SKUNKS kuwa chief whip wa opposition camp ktk bunge anapigwa risasi mchana kweupe ktk compound ya serikali na yenye walinzi 24/7. Na baada ya hapo hakuna investigation.

..I never thought waTz tunaweza kuwa WAKATILI kiasi hiki.

..Hawa jamaa wa upinzani wameonewa tu. Walikamatwa wakiandamana kudai vitambulisho vya mawakala wao ktk by election.

..Polisi wakawavamia ktk maandamano na kuua mwanafunzi wa chuo kikuu kimakosa. Sasa kuficha aibu na kumaliza hasira zao ndiyo wameamua kuwashitaki Mbowe na viongozi wenzake.

..Kati ya waliohukumiwa ni mwanamama[ Esther Bulaya] Chief Whip wa opposition camp ambaye alim-suceed yule aliyetwangwa risasi mwaka juzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom