Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Hahahaha, hahahaha. Leo ndio unakataa kwasababu wamesema Tanzania ipo juu, kwanini miaka yote huko nyuma hukukataa data zao kwasababu walisema Kenya ipo juu ya Tanzania.

Mambo mawili lazima ukubali japo ni chungu sana kumeza
1)Kenya haina ubavu wa kupambana na Tanzania ktk uchumi
2)Kenya taarifa nyingi sio kweli, wanajaribu kuomyesha kwamba Kenya ipo vizuri, lakini hali halisi ni tofauti sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia ripoti zengine hazi support hio information

Kwa mfano hii hapa inayoonyesha Total wealth ya wananchi wote,, Kenya iko mbali zaidi ya Tanzania.... kama ingekua kweli kwamba Tz ina matajiri wengi wa dollar millionare basi tungeona Tanzania ikiwa juu kwa hesabu za total wealth ukihesabu wakaazi wote.. Simple logic.


1583514199872.png


Kwahivyo usishtuke ukiskia Knight Frank wakisema wamegundua walikosea na wakarekebisha dollar millionnairs wamefika zaidi ya 12,000 in 2019
 
Nenda Twitter kwa yule ndii, amedebate vizuri na wakenya wenzako, utapata mwanga zaidi, unless labda hukubaliani nae sababu Ni mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Ndii ni nani? Wewe hauna akili ya kuona kwamba hizo takwimu za wealth report ya 2019 na ya 2020 haziendani? mpka ndii akwambie??
 
Sakehigh,

Sioni kitu cha maana cha kujibishana nawe katika bandiko lako hili.

Lakini kilicho wazi ni kuwa hakuna popote uliporekebisha katika niliyoandika.

So I reserve my detailed comment on it.

unajua tatizo la wana cdm, hua mnapinga kila kitu kiwe kizuri lazima mpinge, sasa apo taarifa znasema wameweka kando wana siasa wewe umeleta siasa unategemea nn! huoni kama una tatizo kichwan
 
In fact, we need them. And there is no where I mentioned having problem with their existence. Am just fascinated with the kind of arguments around the subject, it turns out the discussion is rounded on mere boasting.

I was expecting constructive critique!
You are right....
 
unajua tatizo la wana cdm, hua mnapinga kila kitu kiwe kizuri lazima mpinge, sasa apo taarifa znasema wameweka kando wana siasa wewe umeleta siasa unategemea nn! huoni kama una tatizo kichwan
Si ndio upuuzi wako huo?

Ni wapiulipoona uhusiano wangu na CHADEMA katika andiko langu hilo!

Unajionyesha ulivyo mtupu kichwani.

"taarifa zinasema" wapi kwamba wameweka wanasiasa kando. Unajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa wewe?
 
Si ndio upuuzi wako huo?

Ni wapiulipoona uhusiano wangu na CHADEMA katika andiko langu hilo!

Unajionyesha ulivyo mtupu kichwani.

"taarifa zinasema" wapi kwamba wameweka wanasiasa kando. Unajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa wewe?

1583517501019.png


huna macho au
 
Nimejitahidi kusoma yaliyowekwa na wachangiaji mbalimbali kwenye mada hii kujaribu kuelewa wengi wetu tunasimamia wapi katika jambo hili la utajiri.

Nimemsoma kidogo, 'technically' pale, na kufikiri kidogo aliyoweka hapo na kutaka kumuunga mkono ingawa hakufafanua zaidi.




Lakini baadhi yetu, kama.



Akina mkuu 'Gachuma' hapa wanajisikia raha kweli kweli kwa habari kama hiyo kana kwamba inawaongezea chochote mifukoni mwao!

'Anyways', bila shaka hawa matajiri wetu ni masalia ya Mzee Kikwete. Sioni kabisa jinsi gani hawa waliweza kupenya na kuwa matajiri katika hali iliyopo sasa hivi, sioni kamwe uwezekano wa hilo.

Sasa mtu asije hapa na kunilalamikia kwamba mimi sipendi matajiri, au sipendi watu wapate utajiri, napenda sana kuona tukiwa na matajiri wetu wengi tu, wakipigana vibega na sisi sote, "sio wanyonge" bali tulio na hali nzuri kimaisha hata kama hatuwezi kuwa kama hao matajiri wetu.

Napenda sana kuwaona matajiri wetu hawa, wakifanya kila juhudi za kuwekeza utajiri wao hapa, kuzalisha mali, kutoa ajira na kujenga uchumi wetu, na sio matajiri wa kupeleka faida inayozalishwa hapa kwenda kuwekezwa kwenye mahekalu ya ulaya.

Nawapenda sana matajiri wetu wenyewe wa hapa hapa, ambao utajiri wao umepatikana sio kwa wao kuwa kwenye Chama tawala, ambako kazi yao kubwa ilikuwa ni kulangua sukari ya magendo waliyoingiza nchini kwa kuhonga wabunge wenzao walegeze sheria za kulinda biashara zetu.

Matajiri hawa nawapenda sana, kama utajiri wao sio wa kuhujumu juhudi zetu katika kuimarisha Utalii wetu na mbuga zetu za wanyama.

Haya, ngoja mwisho niwaulize swali: Hawa matajiri 5,553 Tanzania ni akina nani?

Tunawajua MO, Bakhresa na wengine wachache, ambao kwa hakika wameweka jitihada kubwa kwenye biashara zao kwa sehemu kubwa.

Tunaowajua matajiri Kenya, (2,900) wengi wao utajiri wao ni kutokana na siasa, kama akina Kenyatta, Moi, Biwott, n.k.,
na baadhi yao wengi wakiwa wafanya biashara, hasa wa asili ya kihindi.

Hawa wa hapa kwetu ni akina nani?

Mwisho, kuna mambo mengi ya kutompenda Magufuli, hasa yale ya msingi kabisa ya haki za watu na kuheshimu sheria zetu.

Lakini yapo mengine ambayo kama angeyafanya kwa utulivu mzuri, yangemletea heshima kubwa sana, kama mambo yanayohusu kulinda utajiri wa nchi yetu na haki za wananchi wa nchi hii kuneemeka na raslimali alizowajaalia Mwenyezi Mungu.

Sasa sijui kwa nini aliamua kuyafanya hata haya mazuri kwa kuvurugavuruga!


na hapa huna macho pia
 
Si ndio upuuzi wako huo?

Ni wapiulipoona uhusiano wangu na CHADEMA katika andiko langu hilo!

Unajionyesha ulivyo mtupu kichwani.

"taarifa zinasema" wapi kwamba wameweka wanasiasa kando. Unajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa wewe?

these easy points are complete to explain how you are very ignorant, thats how your life will always be and forever always! be wise young man and see opportunities or else wewe ni mtu wa kelel kuanza nyerere mpaka sasa magufuli we ni mtu wa kulalamika tu
 
these easy points are complete to explain how you are very ignorant, thats how your life will always be and forever always! be wise young man and see opportunities or else wewe ni mtu wa kelel kuanza nyerere mpaka sasa magufuli we ni mtu wa kulalamika tu
Eeenh, haisaidii kitu mkuu 'Stakehigh'.

Uwezo huna!
 
Mkuu Stuxnet, hii ya bajeti ya Kenya kuwa bigger kuliko the rest of EAC combined ndio naijua leo, hivyo naunga mkono hoja yako ya Kenya ndio uchumi mkubwa, ila hoja ilio mezani its volume ya mamilionea in numbers, not per unit, yes Kenya inaweza kuwa ni uchumi mkubwa ila umeshikwa na mabilionea wachache, lakini Tanzania ikawa ni uchumi mdogo, ila umeshikwa na utitiri wa vimilionea!.

Just imagine kama mimi tuu kazi yangu ni mwandishi wa habari, na wakati wa Kikwete nilikuwa milionea mwenye TZS 100+m kwenye Account yangu, then for sure Tanzania tutakuwa na vimilionea kibao vyenye more than TZS 100m bank account ambao ni zaidi ya 300 lakini tuna Watanzania wachache wenye billions, ambao hawazidi 50, lakini Kenya wao wana mabilionea 100, na vimilionea 100, tukija kwenye total numbers, mamilionea Watanzania watakuwa ni wengi kuliko waKenya in terms of numbers lakini tukija kwenye the volume ya huo umilionea wao, Kenya wakatuacha mbali.

Kuna kitu nilikinote nikauliza humu, sikumbuki hata nilijibiwa nini!.

Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu?, Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?
P
Kwa jibu hili nadhani tumuombe mleta mada kaka yetu Wakudadavuwa aisome post hii kwa utulivu na ikiwezekana hata airudie mara 10 kisha arudi atuambie ameelewaji kulinganisha na hoja yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia ripoti zengine hazi support hio information

Kwa mfano hii hapa inayoonyesha Total wealth ya wananchi wote,, Kenya iko mbali zaidi ya Tanzania.... kama ingekua kweli kwamba Tz ina matajiri wengi wa dollar millionare basi tungeona Tanzania ikiwa juu kwa hesabu za total wealth ukihesabu wakaazi wote.. Simple logic.


View attachment 1379087

Kwahivyo usishtuke ukiskia Knight Frank wakisema wamegundua walikosea na wakarekebisha dollar millionnairs wamefika zaidi ya 12,000 in 2019
Hahahaha, leo ndio unaingia kwa undani kukagua ripoti zao na kutafuta makosa sio?, hadi hapo itakapotoka ripoti tofauti na hii, ila kwa sasa hivi Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri. Hahahaha, hahahaha. Tunajua mnaumia sana kwasababu ninyi ni watu wa kujikweza na kujipiga kifua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuuliza hivyo manake hio ripoti iko na tatizo kwa data ya Kenya..... Hao jamaa lazima wamekosea kati ya ripoti ya 2019 na 2020

Kwa 2019 wealth report , Data ya Tanzania inaonyeshe >1m dollar millionaires ni

Tz usd dollar millionaires ($1m) 2019 wealth report
5,700 - 2013
6,216 - 2017
6,429 - 2018
7,616 - 2023 -projection

Tz usd dollar millionaires(>$1m) 2020 wealth report

3,000 - 2014
5,118 - 2018
5,553 - 2019
8,532 - 2024- projection

--------------

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report

8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection


Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report

800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024



----------------------------------------------------------------------------------


Hebu sasa tupange hizo data za 2019 report na 2020 report zifwatane ki mwaka


TZ Full data consecutive years base on the report

5,700 - 2013
3,000 - 2014
6,216 - 2017
5,118 - 2018
6,429 - 2018
5,553 - 2019
7,616 - 2023
8,532 - 2024



Kenya Full data consecutive years base on the report
8,400 -2013
800 - 2014
9,176 -2017
3,399 - 2018
9,482 -2018
2,900 - 2019
11,584 -2023
3,309 - 2024




Ukiangalia hia data ya Tanzania angalau iko consistent , Lakini ukiangalia hio data ya Kenya ripoti ya 2019 na ya 2020 ni mbingu na nchi e.g 2013 Kenya iko na 8,400 dollar millionaires alafu mwaka mmoja baadae 2014 tumepoteza dollar millionare karibia 8,000!!!!! alafu 2017 wanaongezeka hadi kufika 9,176 alafu ikifika 2019 wanapungua wote hadi 2,900!!!! Hii haiwezekani hapa wamekosea data set moja kati ya 2019, na 2020...





Kenya 2019
View attachment 1378829


Kenya adds 300 dollar millionaires in 2018

Akina Bantugbro hawawezi fanya analysis Kama hii. Mambo ni ushabiki tu.
 
Hahahaha, leo ndio unaingia kwa undani kukagua ripoti zao na kutafuta makosa sio?, hadi hapo itakapotoka ripoti tofauti na hii, ila kwa sasa hivi Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri. Hahahaha, hahahaha. Tunajua mnaumia sana kwasababu ninyi ni watu wa kujikweza na kujipiga kifua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku kukitoka habari yoyote inayotaja ripoti flani, mimi hua nasoma hio habari na analysis ya alieandika hio habari, kisha nikimaliza natafuta hio ripoti original na kuichambua mwenyewe kiundani hadi nielewe. Kwahivyo hii si siku ya kwanza kukagua ripoti...
Hata kuna habari zengine hua zinaisifu Kenya alafu ukitafuta original report na kujisomea mwenywe unagundua mwanahabari hakufaa kusherehekea ama hata alikosa ku interpret data vizuri....
 
Back
Top Bottom