Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Hakuna cha analysis hapo, yaani dataset yenyewe haizidi hata 10 rows unahangaika kupoteza mda. BBC, the Citizen na Knight Frank wote wameshatueleza ukweli, hakuna mjadala tena.

Waambie hao ndugu zako wawili wanajijua wapunguze uongo hapa jamvini, tunawaona sana.
Akina Bantugbro hawawezi fanya analysis Kama hii. Mambo ni ushabiki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Stuxnet, hii ya bajeti ya Kenya kuwa bigger kuliko the rest of EAC combined ndio naijua leo, hivyo naunga mkono hoja yako ya Kenya ndio uchumi mkubwa, ila hoja ilio mezani its volume ya mamilionea in numbers, not per unit, yes Kenya inaweza kuwa ni uchumi mkubwa ila umeshikwa na mabilionea wachache, lakini Tanzania ikawa ni uchumi mdogo, ila umeshikwa na utitiri wa vimilionea!.

Just imagine kama mimi tuu kazi yangu ni mwandishi wa habari, na wakati wa Kikwete nilikuwa milionea mwenye TZS 100+m kwenye Account yangu, then for sure Tanzania tutakuwa na vimilionea kibao vyenye more than TZS 100m bank account ambao ni zaidi ya 300 lakini tuna Watanzania wachache wenye billions, ambao hawazidi 50, lakini Kenya wao wana mabilionea 100, na vimilionea 100, tukija kwenye total numbers, mamilionea Watanzania watakuwa ni wengi kuliko waKenya in terms of numbers lakini tukija kwenye the volume ya huo umilionea wao, Kenya wakatuacha mbali.

Kuna kitu nilikinote nikauliza humu, sikumbuki hata nilijibiwa nini!.

Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu?, Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?
P

a point of correction: millionaire status ni in terms of dollars, hakunaga millioanaire kwenye currency yoyote zaidi ya dollars!
Nimeisoma hiyo article ya citizen na nikaona imeandikwa kufurahisha kadamnasi tu. Nahisi hata mwandishi haijui Kenya kabisa. Hata hivyo kuna mahali amekiri mwenyewe kuwa ni kama taarifa za kufikirika, nanukuu; "A lack of robust data to fit into our complex econometric model on certain countries means we had to make assumptions"

Kiukweli uchumi wa Kenya uko juu na wala tusipepese macho. Jiulize kwa nini Kenya ina makampuni zaidi ya 200 yaliyowekeza Tanzania na je Tanzania wana Makampuni mangapi yaliyopo Kenya? Nchi zote za Afrika Mashariki ni soko la bidhaa za Kenya. Uchumi haudanganyi.

Angalia takwimu za bajeti za Afrika Mashariki kwa mwaka 2019/20; Kenya Tsh 66.8 Trilion, Uganda Tsh 23.6 Trillion na Tanzania 30.4, Rwanda Tsh 6.8 Trilion, Burundi 1.8 Trilion na South Sudan Tsh 3.5 Trillion (ambayo jumla ya yote ni Tsh 66.1 Trilion). Picha unayopata ni kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko nchi zingine zote 4 za Afrika Mashariki yote zikiwekwa pamoja.

Kwa ukanda huu wa afrika mashariki hakuna ubishi kenya wapo mbele sana pamoja na ethiopia, in recent rankings ilikua inaanza ethiopia then inafuata kenya! but kenya has taken its spot again BUT jinsi uchumi unahesabiwa its rarely and it will never happen kuhesabu account za watu, nikupe mfano, tajiri wa kwanza duniani jeff bezoes alivoachana na mke wake alitakiwa kulipa $65B, lakini hakua na hio cash so he had to give some stocks za amazon kwa mke wake as a settlement, if he counld have converted his networth fast to real cash then angempa direct!

back to the point, kenya is a heavy economy and its projected to have a large influence in africa in the years ahead: kenya are very good in almost everything, not even south africa can take over kenya in fields such as telecom! incase kenya stops trading with tanzania there will be disaster to most citizens because wengi ndo kimbilio la bidhaa zao nkimaanisha vyakula sana sana
 
Hoja hii imejibiwa vizuri na post #46 hivyo ungeenda kuisoma itakusaidia kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
a point of correction: millionaire status ni in terms of dollars, hakunaga millioanaire kwenye currency yoyote zaidi ya dollars!


Kwa ukanda huu wa afrika mashariki hakuna ubishi kenya wapo mbele sana pamoja na ethiopia, in recent rankings ilikua inaanza ethiopia then inafuata kenya! but kenya has taken its spot again BUT jinsi uchumi unahesabiwa its rarely and it will never happen kuhesabu account za watu, nikupe mfano, tajiri wa kwanza duniani jeff bezoes alivoachana na mke wake alitakiwa kulipa $65B, lakini hakua na hio cash so he had to give some stocks za amazon kwa mke wake as a settlement, if he counld have converted his networth fast to real cash then angempa direct!

back to the point, kenya is a heavy economy and its projected to have a large influence in africa in the years ahead: kenya are very good in almost everything, not even south africa can take over kenya in fields such as telecom! incase kenya stops trading with tanzania there will be disaster to most citizens because wengi ndo kimbilio la bidhaa zao nkimaanisha vyakula sana sana
 
LOooh, sasa nimejua huna uwezo.
Hiyo lugha inakupita pembeni kabisa?

Na inawezekana wewe upo huko serikalini na cheo kikubwa kabisa!

tatizo lenu hamsomi vitu vizuri, yaani ata magufuli akikohoa saaahv mtakuja kuanzisha mada uku
 
Kwani Ndii ni nani? Wewe hauna akili ya kuona kwamba hizo takwimu za wealth report ya 2019 na ya 2020 haziendani? mpka ndii akwambie??
Ndii ni mtaalam mkubwa sana wa uchumi hapo Kenya, ww usijifanye humjui bhana. Mimi nina akili sana, ila sijasomea uchumi. Ndio maana naamini wachumi waliosoma wakizichambua hizi data za kiuchumi. Data imeandaliwa na wasomi huko, ikaandikwa na vyombo vya kimataifa,
Sasa wewe baki na denialism yako, prepare to oppose a lot of reports concerning tz vs kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku kukitoka habari yoyote inayotaja ripoti flani, mimi hua nasoma hio habari na analysis ya alieandika hio habari, kisha nikimaliza natafuta hio ripoti original na kuichambua mwenyewe kiundani hadi nielewe. Kwahivyo hii si siku ya kwanza kukagua ripoti...
Hata kuna habari zengine hua zinaisifu Kenya alafu ukitafuta original report na kujisomea mwenywe unagundua mwanahabari hakufaa kusherehekea ama hata alikosa ku interpret data vizuri....
Pole, ila ripoti inasema Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri, kama wamekosea watarekebisha.

Sikiliza nikuambie, kabla ripoti za aina hii kutolewa, huwa zinapitia hatua nyingi sana, ukweli ni kwamba, Tanzania inafanya vizuri sana katika maeneo mengi sana, hili tulilitegemea kutokea, kumbuka kwamba uchumi wa Kenya unafanya vibaya sana na ule wa Tanzania unafanya vizuri sana.

Msikilize David Ndii, anaeleza vizuri sana kwa kutumia "Economic facts" kueleza ni kwanini Tanzania itaendelea kufanya vizuri wakati Kenya itaendelea kufanya vibaya Economically. Usijipe "stress", hiyo ripoti ni kweli, na mwakani tofauti ya idadi ya matajiri kati ya Kenya na Tanzania itakuwa kubwa zaidi kwasababu Uchumi wa Kenya unazidi kusambaratika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha analysis hapo, yaani dataset yenyewe haizidi hata 10 rows unahangaika kupoteza mda. BBC, the Citizen na Knight Frank wote wameshatueleza ukweli, hakuna mjadala tena.

Waambie hao ndugu zako wawili wanajijua wapunguze uongo hapa jamvini, tunawaona sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
You're a shallow person. No need to repeat to you what Kafrican already did.
 
Ukiangalia ripoti zengine hazi support hio information

Kwa mfano hii hapa inayoonyesha Total wealth ya wananchi wote,, Kenya iko mbali zaidi ya Tanzania.... kama ingekua kweli kwamba Tz ina matajiri wengi wa dollar millionare basi tungeona Tanzania ikiwa juu kwa hesabu za total wealth ukihesabu wakaazi wote.. Simple logic.


View attachment 1379087

Kwahivyo usishtuke ukiskia Knight Frank wakisema wamegundua walikosea na wakarekebisha dollar millionnairs wamefika zaidi ya 12,000 in 2019
Those are US dollar billionaires, source is, new world wealth, sijui watu gani hao, sijui ni reliable kushinda knight frank. Huku kwetu wamesema US dollar millionaires wapo wengi bongo kushinda Kenya. We understand it's a hard pill to swallow, u better start getting used.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha analysis hapo, yaani dataset yenyewe haizidi hata 10 rows unahangaika kupoteza mda. BBC, the Citizen na Knight Frank wote wameshatueleza ukweli, hakuna mjadala tena.

Waambie hao ndugu zako wawili wanajijua wapunguze uongo hapa jamvini, tunawaona sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo kwenye "Denial stage", watazoea muda si mrefu, tuwape muda wa kusikilizia machungu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo lenu hamsomi vitu vizuri, yaani ata magufuli akikohoa saaahv mtakuja kuanzisha mada uku
Umejidharirisha.

Lakini ni vizuri mtu unapojjitoa wazi kuonyesha uwezo ulionao ili watu wakujue kwa sababu hawatapoteza muda wao tena nawe.
 
Nimekuuliza hivyo manake hio ripoti iko na tatizo kwa data ya Kenya..... Hao jamaa lazima wamekosea kati ya ripoti ya 2019 na 2020

Kwa 2019 wealth report , Data ya Tanzania inaonyeshe >1m dollar millionaires ni

Tz usd dollar millionaires ($1m) 2019 wealth report
5,700 - 2013
6,216 - 2017
6,429 - 2018
7,616 - 2023 -projection

Tz usd dollar millionaires(>$1m) 2020 wealth report

3,000 - 2014
5,118 - 2018
5,553 - 2019
8,532 - 2024- projection

--------------

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report

8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection


Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report

800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024



----------------------------------------------------------------------------------


Hebu sasa tupange hizo data za 2019 report na 2020 report zifwatane ki mwaka


TZ Full data consecutive years base on the report

5,700 - 2013
3,000 - 2014
6,216 - 2017
5,118 - 2018
6,429 - 2018
5,553 - 2019
7,616 - 2023
8,532 - 2024



Kenya Full data consecutive years base on the report
8,400 -2013
800 - 2014
9,176 -2017
3,399 - 2018
9,482 -2018
2,900 - 2019
11,584 -2023
3,309 - 2024




Ukiangalia hia data ya Tanzania angalau iko consistent , Lakini ukiangalia hio data ya Kenya ripoti ya 2019 na ya 2020 ni mbingu na nchi e.g 2013 Kenya iko na 8,400 dollar millionaires alafu mwaka mmoja baadae 2014 tumepoteza dollar millionare karibia 8,000!!!!! alafu 2017 wanaongezeka hadi kufika 9,176 alafu ikifika 2019 wanapungua wote hadi 2,900!!!! Hii haiwezekani hapa wamekosea data set moja kati ya 2019, na 2020...





Kenya 2019
View attachment 1378829


Kenya adds 300 dollar millionaires in 2018
Unafananisha reports za two different sources. Fananisha reports za same source.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejidharirisha.

Lakini ni vizuri mtu unapojjitoa wazi kuonyesha uwezo ulionao ili watu wakujue kwa sababu hawatapoteza muda wao tena nawe.

yaani we jamaa bana, ebu toa ata deatils kisomi sasa ndo nn iki umeandika, mm na wewe sasa nan anaonekana kujidharirisha, we reply zako mara hazina mashiko!
 
Kila siku kukitoka habari yoyote inayotaja ripoti flani, mimi hua nasoma hio habari na analysis ya alieandika hio habari, kisha nikimaliza natafuta hio ripoti original na kuichambua mwenyewe kiundani hadi nielewe. Kwahivyo hii si siku ya kwanza kukagua ripoti...
Hata kuna habari zengine hua zinaisifu Kenya alafu ukitafuta original report na kujisomea mwenywe unagundua mwanahabari hakufaa kusherehekea ama hata alikosa ku interpret data vizuri....
Heheheheheeee hii[emoji116][emoji116] report vp uliipitia? Na unaonaje maoni yako.

Kenya ndio ya nne kwa wingi wa matajiri Afrika
 
Nimekuuliza hivyo manake hio ripoti iko na tatizo kwa data ya Kenya..... Hao jamaa lazima wamekosea kati ya ripoti ya 2019 na 2020

Kwa 2019 wealth report , Data ya Tanzania inaonyeshe >1m dollar millionaires ni

Tz usd dollar millionaires ($1m) 2019 wealth report
5,700 - 2013
6,216 - 2017
6,429 - 2018
7,616 - 2023 -projection

Tz usd dollar millionaires(>$1m) 2020 wealth report

3,000 - 2014
5,118 - 2018
5,553 - 2019
8,532 - 2024- projection

--------------

Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2019 wealth report

8,400 -2013
9,176 -2017
9,482 -2018
11,584 -2023 - projection


Kenya usd dollar millionaires (>$1m) 2020 wealth report

800 - 2014
3,399 - 2018
2,900 - 2019
3,309 - 2024



----------------------------------------------------------------------------------


Hebu sasa tupange hizo data za 2019 report na 2020 report zifwatane ki mwaka


TZ Full data consecutive years base on the report

5,700 - 2013
3,000 - 2014
6,216 - 2017
5,118 - 2018
6,429 - 2018
5,553 - 2019
7,616 - 2023
8,532 - 2024



Kenya Full data consecutive years base on the report
8,400 -2013
800 - 2014
9,176 -2017
3,399 - 2018
9,482 -2018
2,900 - 2019
11,584 -2023
3,309 - 2024




Ukiangalia hia data ya Tanzania angalau iko consistent , Lakini ukiangalia hio data ya Kenya ripoti ya 2019 na ya 2020 ni mbingu na nchi e.g 2013 Kenya iko na 8,400 dollar millionaires alafu mwaka mmoja baadae 2014 tumepoteza dollar millionare karibia 8,000!!!!! alafu 2017 wanaongezeka hadi kufika 9,176 alafu ikifika 2019 wanapungua wote hadi 2,900!!!! Hii haiwezekani hapa wamekosea data set moja kati ya 2019, na 2020...





Kenya 2019
View attachment 1378829


Kenya adds 300 dollar millionaires in 2018

Halafu naomba mwenye link original ya hii table ya 2019 atupatie tuhakiki humo, maana sioni jinsi Knight Frank wanaweza kuboronga kiasi hiki, glaring mistakes kama hizi hao jamaa huwa hawafanyi, hapa nashuku itakua Cicero au Mtanzania fulani kafanya photoshop kizembe bila kufikira na kujua ataumbuliwa na watu ambao hudadavua data herufi kwa herufi.
 
Hahahaha, leo ndio unaingia kwa undani kukagua ripoti zao na kutafuta makosa sio?, hadi hapo itakapotoka ripoti tofauti na hii, ila kwa sasa hivi Tanzania imeipita Kenya kwa idadi ya matajiri. Hahahaha, hahahaha. Tunajua mnaumia sana kwasababu ninyi ni watu wa kujikweza na kujipiga kifua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepewa facts umebakia kujichekesha tu..nadhan imekuingia lkn unajipa matumaini tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom